Panya Magawa mahiri kwa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini amekufa nchini Cambodia

Habari kutoka ubeligiji zimethibitisha Panya wa kitanzania aliyekuwa anasaidia kutegua mabomu ya ardhini huko nchini Cambodia amefariki dunia

Chanzo cha habari ni BBC Dira ya dunia ya tarehe 11/01/2022

Panya huyo wa kitanzania amewahi tunukiwa medali maalum ya haki za binadamu ya nchini uingereza

Shirika maalum la misaada la Nchini ubeligiji limethibitisha kutokea kwa kifo cha Panya huyo wa kitanzania aitwaye Magawa

Panya Magawa aliweza kupata mafunzo mbalimbali kutoka Shirika la misaada la Nchini ubeligiji

Panya Magawa aliweza kutegua mabomu zaidi ya mia moja Nchini Cambodia

Sina hakika kama mwili wa Panya Magawa utasafirishwa kurudi Tanzania au ndio utahifadhiwa kwenye makumbusho huko ulaya
 
R l P msalimie jiwe mwambie best yake ndugai kajiuzur
 
Kwenye iyo post ya CNN kuna trolls wengi wame iharibu isi onekane ni Tanzania hata wakenya wandiss mbaya kule BBC
 
Gheto kuna panya mmoja nikiweka mtego hanasi sahivi namuwinda na rungu kama vipi waje wamchukue anaviashiria vyote vya kigaidi anaweza akawa marcenary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…