Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Watakua wamemuua tu hakuna namnaKwa masikitiko tunawatangazia kifo cha panya magawa kilichotokea huko nchini Cambodia.
Chanzo cha kifo cha panya Magawa kimetokana na uzee kwani alikua na umri wa miaka minane.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya kipenzi chetu panya magawa.
Pia soma
Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa
Panya Mtanzania atunikiwa nishani ya Dhahabu kwa umahiri wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini
[emoji28][emoji28]magawa alikuwa ni diaspora kumbe....
nillijua TARURA mwenzetu.
Panya MAGAWA amezaliwa tarehe 05/11/2014 mkoa wa morogoro akiwa na uzito wa kilo 1.2>>KUZALIWA
Panya MAGAWA ni Mluguru wa Morogoro>>>KABILA
Panya Magwa alisomea Chuo kikuu Cha SUA na kufaulu vyema kwenye masomo yake na mwaka 2016 akaanza kazi yake RASMI>>>>MASOMO
>>>KAZI
tutamkumbuka Sana MH.MAGAWA kwa weledi wake na uchapa kazi wake≥>>>>>>>>>
Alikua mzalendoAlikua mtawa
[emoji16][emoji16][emoji16]Sawa hajaoa ila taarifa zinasema alikuwa na vimada na ameacha watoto
Pesa za mirathi wapewe watoto wake
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hizo taarifa umezitoa wapi mkuu?Sawa hajaoa ila taarifa zinasema alikuwa na vimada na ameacha watoto
Pesa za mirathi wapewe watoto wake
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
yuko bize na wanga wa kwenye sisitimWaziri mkuu aunde tume kuchunguza kifo chake,hajafaidi hata mafao yake ya kustaafu
Na tunataka mwili wake uletwe nyumbani[emoji16]
Wewe lijamaa ni liongo sana! Amezaliwa na KG1.2 na urefu SM70!!?Panya wa kiume kutoka Tanzania, Magawa ambaye mwaka 2020 alitunukiwa nishani ya dhahabu kutokana na uwezo wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini nchini Cambodia, amekufa akiwa ni panya Mzee mwenye umri wa miaka minane ambao ni umri mkubwa kwa panya.
Mwezi November mwaka jana Magawa alitimiza umri wa miaka minane na alistaafu pia mwaka jana kutokana na uzee wake kwakuwa alianza kupunguza kasi ya kutegua mabomu.
Magawa alizaliwa Tanzania November 5,2014 akiwa na uzani wa KG 1.2 na urefu wa Sentimita 70 na hadi anakufa amenusa mabomu na silaha nyingine zaidi ya 100.
Magawa amefia nchini Cambodia kwakuwa baada ya kustaafu hakurejeshwa Tanzania na amekufa usiku wa kuamkia Jumapili ya juzi.
[emoji3][emoji3]yuko bize na wanga wa kwenye sisitim
Sasa hizi nishani panya anazifanyia nini au ndo majambo tu ya walimwengu!!!Panya wa kiume kutoka Tanzania, Magawa ambaye mwaka 2020 alitunukiwa nishani ya dhahabu kutokana na uwezo wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini nchini Cambodia, amekufa akiwa ni panya Mzee mwenye umri wa miaka minane ambao ni umri mkubwa kwa panya.
Mwezi November mwaka jana Magawa alitimiza umri wa miaka minane na alistaafu pia mwaka jana kutokana na uzee wake kwakuwa alianza kupunguza kasi ya kutegua mabomu.
Magawa alizaliwa Tanzania November 5,2014 akiwa na uzani wa KG 1.2 na urefu wa Sentimita 70 na hadi anakufa amenusa mabomu na silaha nyingine zaidi ya 100.
Magawa amefia nchini Cambodia kwakuwa baada ya kustaafu hakurejeshwa Tanzania na amekufa usiku wa kuamkia Jumapili ya juzi.