Panya Road achomwa moto Manzese

Panya Road achomwa moto Manzese

Niwakati sasa wajumbe wa nyumba kumi kuhusika kwa asilimia 100 katika kuwatambua wakazi wa eneo lao,Wote na shughuli zao,hats kama ni tegemezi ajulikane ni dependent wa nani?,na utengenezwe utaratibu mhalifu atakapoonekana anatoka katika shina husika la mjumbe Fulani mjumbe ahusike,Kwa kutomtambua mkazi huyo au mzazi pia ahusike,wazazi wahusike katika kutoa taarifa za watoto wao ambao wanamienendo isiyojulikana bila kuficha,ili serekali isaidie kuwanyoosha mapema,intact wako watoto ambao wamechapwa na wazazi mpaka wazazi wamechoka,Toto halisikii mishowe linamtesa mzazi kulitoa mahabusu mpaka uchumi wa familia kutetereka,pia SI vibaya NDANI ya jeshi letu kukawa na kitengo cha kurekebisha watoto manunda ambao wanawachosha wazazi,ili wazazi Kwa hiyari yao wawapeleke katika kuwanyoosha,na kuwarudisha katika mstari sahihi.
N.B,Naandika haya nikitumia akili ya hali ya juu kabisa ya kiintelegensia nikimaanisha huenda hawa panya road baada ya kusikia msako mkali wakarudi kwenye familia zao na kuvunja makambi yao ya kialifu,na ajabu wazazi wa kuwapokea majumbani kama mashujaa,ndio maana nikapendekeza zoezi hili lianzie kwenye ofisi za S/M.
 
Sio mazingira yote yanaweza kua hivyo.Kuna kijiji kibaka aliiba gunia la maindi akakimbizwa ilikua usiku akaingia kwenye nyumba ya mtu akajificha mwenye nyumba akahisi kuna mtu kaingia wakati anajipanga kuangalia ni nini wanakijiji wakafika wakidai mwizi wao mzee wawatu kutoka ili awaambie sio yeye na mwizi yuko ndani kajificha wakampiga mapanga.mambo mengine tusiyachukulie kirahisi kwakua halijakukuta.
Duuh!
 
Jinga kabisa wewe.

MTU anapiga watu mapanga na kuua halafu yeye akiuliwa unasema binadamu yupo kwenye mpango WA kuwa evil.


Idiot
Nilijua usingenielewa.Labda niku-ulize mkuu,haya mabadiliko kwa binadamu ya wazi tunayo yaona,unadhani yanaletwa na nini!?
 
Anayetoa Ushahidi ni Mahakama au aliyeshuhudia?

Use your common sense, tukio limetokea mtaani probably uchochoroni huko na wapo walioshuhudia na kuthibitisha mhalifu akipora kwa kutumia silaha...what else do u want?

Kinachogomba anachosema shahidi au uthibitisho?

Mashahidi ni hao hao mahakimu huko vichochoroni? Hiyo ndiyo common sense yako?
 
Kinachogomba anachosema shahidi au uthibitisho?

Mashahidi ni hao hao mahakimu huko vichochoroni? Hiyo ndiyo common sense yako?
MTU anikate panga halafu nishindwe kutoa ushahidi mahakani na anaachiliwa.


Thubutu huku kwenye Street Court haturuhusu Hilo litokee, lazima tukugeuze majibu.

Kama vipi na wewe njoo ujichanganye kuibia MTU uone kama huwi mshikaki within seconds , Fala wewe.
 
Wao hao panya road wanapojichukulia Sheria mkononi wa kutukata mapanga na kutuibia vitu vyetu tulivyovitolea jasho haki inasemaje hapo?? Wachomwe tu ilimradi amethibitika amepora kwanini apore??
Umelishwa story za uongo na panya road.
 
Sio mazingira yote yanaweza kua hivyo.Kuna kijiji kibaka aliiba gunia la maindi akakimbizwa ilikua usiku akaingia kwenye nyumba ya mtu akajificha mwenye nyumba akahisi kuna mtu kaingia wakati anajipanga kuangalia ni nini wanakijiji wakafika wakidai mwizi wao mzee wawatu kutoka ili awaambie sio yeye na mwizi yuko ndani kajificha wakampiga mapanga.mambo mengine tusiyachukulie kirahisi kwakua halijakukuta.

Tunayo safari ndefu sana. Pole Tanzania.
 
Mkuu Hawa panya road dawa yao ndio hio jino kwa jino chuma kwa chuma ukifata sheria kesho utamkuta mtaani ametoka kwa dhamana na kesho atakupora na wewe na ukifanya mchezo aondoke na uhai wako
 
Habari za Jioni,

Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto.

Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu.

Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo.

Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto.

I am very sad about this. We are not savages we are real people and we should be civilized. People should not take the law at their own hands, and tonight I believe Panya Road will retaliate. My house is in the street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families.
Bad very bad
Kuna mwamba aliweka uzi hapa kuwa alimkopesha demu elfu 50, kwenda kudai yule demu akamwitia mwizi. Jamaa alikimbia kuokoa maisha yake, inakuwaje kama watu wangejichukulia sheria mkononi. Angeweza poteza maisha na hakuwa na hatia. WE HAVE TO OBSERVE RULE OF LAW, WE ARE NOT ANIMALS. .
Mkuu hao panya Road ukikutana nao kwenye Anga zao. Hawana huruma na ww. Unakatwa mapanga kama ng'ombe. Now npo hospital juz ucku Brother wng kapigwa panga la kichwa na hao panya Road. Jamaa hali yake n mbaya sana.
So unadhani mimi nkikutana na mmoja wao ntafanya nn......? I'll revenge for my Brothers
 
Mkuu hao panya Road ukikutana nao kwenye Anga zao. Hawana huruma na ww. Unakatwa mapanga kama ng'ombe. Now npo hospital juz ucku Brother wng kapigwa panga la kichwa na hao panya Road. Jamaa hali yake n mbaya sana.
So unadhani mimi nkikutana na mmoja wao ntafanya nn......? I'll revenge for my Brothers
Mkuu nisiache kukupa pole nikiwa mmoja wa wahanga wa hao jamaa:

Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

Ila swali moja kwako. Revenge ni kwa panya road au washukiwa wanaoitwa kuwa ni wenye macho juu juu?
 
As long as he's PANYA ROAD 100%, then worry not.
Bear in mind that PANYA ROAD'S have no regards to HUMAN RIGHTS & RULES OF LAW while executing their missions (So why bothering on the same !!!)
 
SIKU UKIIBIWA NA KUPIGWA MAPANGA NDO UTAONA UCHUNGU WA KUIBIWA
 
As long as he's PANYA ROAD 100%, then worry not.
Bear in mind that PANYA ROAD'S have no regards to HUMAN RIGHTS & RULES OF LAW while executing their missions (So why bothering on the same !!!)

NInakazia: As long as he's PANYA ROAD 100%, then worry not.

NIsiache pia kuongezea: As long as he's a Gaidi 100%, also worry not.
 
SAFI SANA UWAAAAAA ....
WANANCHI MSIPOLINDWA NA SERIKALI NI LAZIMA MJILINDE ...
WAUWAWE WENGINE KA KUMI HIVI AFUU TUONE KUNAENDAJE
 
Huo utawala wa sheria umechukua hatua gani kudhibiti hao panya road? Utawala wa sheria huhusisha vyombo vya dola mfano polisi. Je hao polisi wamefanya lolote? Mapinduzi siku zote hayaletwi na serikali ndugu. Ni raia husukuma ili huko juu nao wajikaze.
Ua tu hao panya road.
 
Back
Top Bottom