Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Niwakati sasa wajumbe wa nyumba kumi kuhusika kwa asilimia 100 katika kuwatambua wakazi wa eneo lao,Wote na shughuli zao,hats kama ni tegemezi ajulikane ni dependent wa nani?,na utengenezwe utaratibu mhalifu atakapoonekana anatoka katika shina husika la mjumbe Fulani mjumbe ahusike,Kwa kutomtambua mkazi huyo au mzazi pia ahusike,wazazi wahusike katika kutoa taarifa za watoto wao ambao wanamienendo isiyojulikana bila kuficha,ili serekali isaidie kuwanyoosha mapema,intact wako watoto ambao wamechapwa na wazazi mpaka wazazi wamechoka,Toto halisikii mishowe linamtesa mzazi kulitoa mahabusu mpaka uchumi wa familia kutetereka,pia SI vibaya NDANI ya jeshi letu kukawa na kitengo cha kurekebisha watoto manunda ambao wanawachosha wazazi,ili wazazi Kwa hiyari yao wawapeleke katika kuwanyoosha,na kuwarudisha katika mstari sahihi.
N.B,Naandika haya nikitumia akili ya hali ya juu kabisa ya kiintelegensia nikimaanisha huenda hawa panya road baada ya kusikia msako mkali wakarudi kwenye familia zao na kuvunja makambi yao ya kialifu,na ajabu wazazi wa kuwapokea majumbani kama mashujaa,ndio maana nikapendekeza zoezi hili lianzie kwenye ofisi za S/M.
N.B,Naandika haya nikitumia akili ya hali ya juu kabisa ya kiintelegensia nikimaanisha huenda hawa panya road baada ya kusikia msako mkali wakarudi kwenye familia zao na kuvunja makambi yao ya kialifu,na ajabu wazazi wa kuwapokea majumbani kama mashujaa,ndio maana nikapendekeza zoezi hili lianzie kwenye ofisi za S/M.