Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Hali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.

Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.

Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.

Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
 
Hawa vijana wa kuitwa panyard ni watoto wetu, ndugu zetu, jirani zetu nk

Tusipowathibiti hawa panyaroad tutazalisha kundi haramu kama mungiki

Na natamani hawa vijana wakamatwe kisha watoe taarifa kuhusu mikoa, wilaya, mitaa familia walimotokea, wazazi baba na mama n.k

Hawa vijana walizaliwa sawa tuu kama watoto wengine ila kwa wingi wao katika matukio ya uhalifu lazima kuna sehemu sisi tuliowaleta duniani na jamii kwa ujumla tunakosea

Tuanze kwa kuwatafuta mababa na wamama, wajomba, mashangazi, bibi na babu wa hawa panyaroad tunaweza tukapata chanzo na suluhu ya kudumu.
 
Hawa panyaroad hawana hofu kabisa pamoja na kauli ya RC kuwataka waache uhalifu la sivyo watakutwa kituo cha polisi au hospitali
 
Vijana wanajulikana na hawanaga huruma usiombe ukutane nao..Kuna msela huko mbagala kama mwaka Jana walimkata kidole cha mkono akiwa anajaribu kujihami na panga la uso yaani kidole cha mwisho halipo vya kati zimekatwa kaumi ni ulemavu kabisa, kapotwa vitu kibao kama simu na fedha,unaona kabisa ni majangili panga la uso 😥😥😥😥si kutaka kumuua mtu kabisa kwa nn iwe ivi?

Jamaa wa watu alikuwa mzima kazi haweza kufanya mkono wa kulia una maumivu kwa ndani mda sana anakaa kwao umaskini wa hali ya juu.

Wanakamatwa then utasikia sijui dhamana !!! Hao ni kupiga chuma kuchoma moto kabisa sio binadamu wanakula mavalium, bangi ,ugoro kubust wawe na roho ngumu kwa kweli hao watoto kukamata na kupiga kinyama
 
Inasikitisha!!!
Vijana wanajulikana na hawanaga huruma usiombe ukutane nao..Kuna msela huko mbagala kama mwaka Jana walimkata kidole cha mkono akiwa anajaribu kujihami na panga la uso yaani kidole cha mwisho halipo vya kati zimekatwa kaumi ni ulemavu kabisa, kapotwa vitu kibao kama simu na fedha,unaona kabisa ni majangili panga la uso 😥😥😥😥si kutaka kumuua mtu kabisa kwa nn iwe ivi?jamaa wa watu alikuwa mzima kazi haweza kufanya mkono wa kulia una maumivu kwa ndani mda sana anakaa kwao umaskini wa hali ya juu.

Wanakamatwa then utasikia sijui dhamana !!! Hao ni kupiga chuma kuchoma moto kabisa sio binadamu wanakula mavalium, bangi ,ugoro kubust wawe na roho ngumu kwa kweli hao watoto kukamata na kupiga kinyama
 
Hawa vijana wa kuitwa panyard ni watoto wetu, ndugu zetu, jirani zetu nk

Tusipowathibiti hawa panyaroad tutazalisha kundi haramu kama mungiki

Na natamani hawa vijana wakamatwe kisha watoe taarifa kuhusu mikoa, wilaya, mitaa familia walimotokea, wazazi baba na mama n.k

Hawa vijana walizaliwa sawa tuu kama watoto wengine ila kwa wingi wao katika matukio ya uhalifu lazima kuna sehemu sisi tuliowaleta duniani na jamii kwa ujumla tunakosea

Tuanze kwa kuwatafuta mababa na wamama, wajomba, mashangazi, bibi na babu wa hawa panyaroad tunaweza tukapata chanzo na suluhu ya kudumu.
Ni kweli. Chimbuko la vitendo vya hawa watoto vinaanzia majumbani. Utakuta mtoto wa miaka 12 hajulikani anashinda wapi, analala wapi na anakula nini. Na mzazi hata habari hana, Cha zaidi akionana na mwanae anamuomba na pesa kabisa.
Ikitokea kila mzazi/mlezi akachukuwa jukumu lake la ulezi kwa umakini uhalifu mwingi utapungua.
 
Back
Top Bottom