Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Hali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.

Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.

Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.

Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
CCM wameshindwa kazi ya kuongoza nchi, nchi inaenda mrama
 
Haya matoto yanajulikana kamateni mmoja apewe kifinyo atawaongoza maskani yao wote.Then waueni wote.Wanajeshi nawakubali sana wakiibiwa wanakamata mwizi mmoja tu ila mtatajana wote.
 
Haya matoto yanajulikana kamateni mmoja apewe kifinyo atawaongoza maskani yao wote.Then waueni wote.Wanajeshi nawakubali sana wakiibiwa wanakamata mwizi mmoja tu ila mtatajana wote.
Yule ambaye amethibitishwa UA
 
A clusterfuck of a country.

Huku tozo huku panyaroad.
 
Akinyoosha kidole tu, akutanishwe na muumba wake, hamna namna!
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Jeshi la wananchi liingie kazini siku 3 za toshasaa hata 10 doria
Jeshi la Wananchi la nini kwa vitoto visivyokua hata na gobole!? Police bado hawajaamua ku deal na hivyo vi panya road perpendicular!!!
 
Wale vijana wa jkt walioko mtaani bila ajira wangerudishwa camp kama wiki hivi halafu waingizwe mtaani hata wiki aifiki panya road itakua historia,miaka ya nyuma nasikia jkt walikua wanapiga kazi hizo za mitaani
 
Dah! naona polisi wamezidiwa strategy........sijui nani sasa wapewe jukumu hilo, au tuache iwe freestyle.
 
Wale vijana wa jkt walioko mtaani bika ajira wangerudishwa camp kama wiki hivi halafu waingizwe mtaani hata wiki aifiki panya road itakua historia,miaka ya nyuma nasikia jkt walikua wanapiga kazi hizo za mitaani
Tatizo la hao vijana wa JKT wao wakijua hiyo Nyumba anaishi panya road,huwa wanapiga Nyumba nzima hadi vikongwe wasipopata ushirikiano!!
 
Hali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.

Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.

Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.

Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
Dar bila Makonda haiwezi kamwe kuwa salama, Makala keshaota kitambi hana muda wa kukimbiza panya, Samia tuletee Bashite wetu ashike usukani
 
Back
Top Bottom