Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Hali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.

Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.

Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.

Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
Ccm mbele kwa mbele
 
Hali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.

Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.

Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.

Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
Hizo habari kama ni za kweli basi kuna shida sehemu kwenye uongozi na utendaji wa usalama. Tukio la panya road kuua na kujeruhi pamoja na kuiba lilitakiwa liwe ni la bahati mbaya teni ni mara moja. Na within 24 hours walitakiwa wote kuwa wamekamatwa. Lakini sasa kabla moja halijapoa tunasikia lingine kweli? Maswali ni mengi ya kujiuliza. Jeshi letu la polisi wamekwama wapi? Kama kuna special unit kwa ajili ya majambazi why not treat panya road kama majambazi pia? Je polisi imezidiwa mbinu na panya road? Tumekubali kuwa chini ya panya road? No we need to do something mapema kabla hawajatupanda kichwani
 
Hii kazi wapewe jeshi la ulinzi mapema kabla ya hawa watu hajapata support ya waasi, Polisi wetu wameshindwa
Hivi wale waliokomesha mauaji ya kule pande za Kibiti, Mkuranga........walikuwa wanajeshi au police?
 
Sijaelewa tatizo liko wapi mpaka hawa watoto wanasumbua kiasi hiki.
 
Nakumbuka Jiwe lilikohoa tuu hawa panya wote wakapotea... Sometimes nalielewa sana Jiwe.
 
Tatizo ni
Jamii
Hii ndo huwalea, inawajua kabisa, inajua magenge yote ya bangi, haina ushirikiano na polisi,

Wanasiasa na wanaharakati

Panyaroad wakiumiza watu wanasiasa wataongea ili serikali ionekane vibaya, Wanaharakati watakuwa kimyaaa

Panyaroad wakiumizwa, wanaharakati wanasema haki za binadamu hazijafuatwa, wanasiasa nao watasema haki haijatendeka

Polisi

Lawama zatupiwa polisi ila polisi kisheria sio mahakama, yeye kazi yake kukamata tu, wengi wao ni watoto wadogo, hivyo inakuwa kazi kuwatunza polisi au magerezani
Jamii inajua vijiwe vya bangi na polisi pia inajua vijiwe vyote vya bangi na gongo shida wanaenda kuchukua mgao wao biashara inaendelea kama kawaida je hapo raia unafanyaje
 
Yaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku

Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti

Piga kelele kwa polisi wake weuweeee

Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi
Kapange self bana hao panya road wenyewe watakuogopa[emoji23]

Tamthilia ya Jua kali,
 
Back
Top Bottom