Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ni kuwaua mama D wazazi hawana makosa watoto wenyewe wameshindikanaHawa vijana wa kuitwa panyard ni watoto wetu, ndugu zetu, jirani zetu nk
Tusipowathibiti hawa panyaroad tutazalisha kundi haramu kama mungiki
Na natamani hawa vijana wakamatwe kisha watoe taarifa kuhusu mikoa, wilaya, mitaa familia walimotokea, wazazi baba na mama n.k
Hawa vijana walizaliwa sawa tuu kama watoto wengine ila kwa wingi wao katika matukio ya uhalifu lazima kuna sehemu sisi tuliowaleta duniani na jamii kwa ujumla tunakosea
Tuanze kwa kuwatafuta mababa na wamama, wajomba, mashangazi, bibi na babu wa hawa panyaroad tunaweza tukapata chanzo na suluhu ya kudumu.
Ni baba huyo hukuna Mama hapo.Dawa ni kuwaua mama D wazazi hawana makosa watoto wenyewe wameshindikana
Dawa ni kuwaua mama D wazazi hawana makosa watoto wenyewe wameshindikana
Hao madogo ni kupiga chuma tu hawanaga huruma kabisa.Inasikitisha!!!
Umeona khe!!! Hao ni wale wale Kuna kipindi walikuwa wanaosha magari eti wameacha na wanajulika hapo walishatia watu vilema wamekaa wiki kadhaa eti washajifunza adabu wameachiwa kwa nn tabia isiendelee ??Shida inaanzia POLISI kwenyewe hawa watoto wakikamatwa baada ya siku 3 wanakuwa uraiani yaani POLISI imekuwa njia ya kupitia Tu...
kama wangekuwa wanafungwa wasingekuwepo mtaani
Matatizo ni yaleyale toka kuumbwa kwa duniaTuwapate wazazi ili tujue kilichopelekea kushindikana
Kama ni makuzi au mizimu tujue jinsi ya kuvishughulikia kiserikali na kiimani
Nazana panya road ni ujumbe kwa watawala, ndiyo maana hata Makala kakoroma lakini wao wamemjibu kikazi, inamaana bado ujumbe wao haujasomeka, na wanataka usomeke!!Hawa panyaroad hawana hofu kabisa pamoja na kauli ya RC kuwataka waache uhalifu la sivyo watakutwa kituo cha polisi au hospitali
🤣🤣🤣🤣🤣 wanaume wa DarYaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku
Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti
Piga kelele kwa polisi wake weuweeee
Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi
Wavulana wa Dar [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku
Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti
Piga kelele kwa polisi wake weuweeee
Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi