Panya Road waibuka tena Buza, wajeruhi watu na kuchoma mtoto Bisbisi ya kichwa

Panya Road waibuka tena Buza, wajeruhi watu na kuchoma mtoto Bisbisi ya kichwa

Aidha ni udhaifu wa wenye mamlaka au wameamua liwalo na liwe
Hawa wanaonekana wameamua kula sahani moja na wahuni
Ila yatajulikana tu
Hata Mexico yanatokea kwa sababu polisi wanakula na dons
 
atashuka kuokoa au vipi. nyie ndio mtu anaangamia na moto unafanya maombi badala ya kuzima moto. Mungu ameshaweka mamlaka duniani,zitake zifanye kazi
Umefikiri kiutoto sana hapa, waliokupa likes ni watoto zaidi maana wanarukaruka tu bila ya kufikiri.........nilichomaanisha ni kuwa wenye jukumu la ulinzi watapata njia; watajulikana wanaohujumu na kuzuiwa katika njia ambazo wenyewe watabaki wanashangaa wamejulikana vipi. Kibiti lile zuio halikutokea kwa uwezo wa watu tu, mimi mwenye Mungu wangu naamini alihusika katika kutoa 'mwanga' wa kuwafurusha wale jamaa. Mtwara hivyo hivyo. Sasa we endelea na tafsiri zako immature!!
 
Serikali ituruhusu kumiliki 'vya moto', ukikutana nao wakakuletea mchezo unawawasha, wataacha huo ujinga.
 
Kwanini haya matukio ya uhalifu wa mtaani,hujirudia kwa baadhi ya awamu?
Maana sio tu kwa Dar, hata mkoani watu wanalalamika wizi wa mtaani kurudi kwa kasi. Tatizo ni nini???
Biashara ya ngada imerudi, mambo ya ukoo wa mzee wa msoga ndiyo maagent wa ngada hapa tz na matokeo yake ndiyo haya
 
Umefikiri kiutoto sana hapa, waliokupa likes ni watoto zaidi maana wanarukaruka tu bila ya kufikiri.........nilichomaanisha ni kuwa wenye jukumu la ulinzi watapata njia; watajulikana wanaohujumu na kuzuiwa katika njia ambazo wenyewe watabaki wanashangaa wamejulikana vipi. Kibiti lile zuio halikutokea kwa uwezo wa watu tu, mimi mwenye Mungu wangu naamini alihusika katika kutoa 'mwanga' wa kuwafurusha wale jamaa. Mtwara hivyo hivyo. Sasa we endelea na tafsiri zako immature!!
kuna wale wakiumwa homa wanachukua biblia na kupiga fayaaaaaaaaaa,badala ya kwenda hospitali. Nilikuwa najiuliza ni nani walimu wa hawa waumini? kumbe ni watu kama wewe.
 
Ujangiri kuua tembo umerudi, upigaji kwenye miradi ya serikali, biashara ya madawa ya kulevya, panya road pia wamerudi, tutasikia mengi sana
Bado kipindupindu sema mvua zilikata maana usafi umeachwa kusimamiwa ila kilichobaki ni kukusanya pesa za usafi na kuliwa na viongozi wa serikali , kwa sasa takataka zikizolewa ni kwa mwezi tena kwa bahati tu tena wanazoa kibabaishaji
 
Jan nikiwaktk. Dldl nimesikia taharuki sna na watu kuogopakwe nda buza
 
Salute kwa wakurya wa kitunda wamemkamata panya road na kumzika mzima mzima mpaka kamanda siro kaogopa ilibid aje kuwaomba wasifanye tena maana jesh litaonekana limeshindwa kaz
 
Back
Top Bottom