Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Kama wazazi wananufaika na hizo tabia na wao maadam ni sehemu ya jamii basi jamii imeruhusu kumea kwa hao vijana hivyo ijilaumu yenyewe na ......toka muanze kuwaua wamepungua?
Hawajaanza na hapa tunatafuta solution ila pendekezo ni hilo la kutafuta mbinu ya kuwaua bila kuleta mambo mengi.

Kama unaona kuna njia haraka na more effective itaje tuwasaidie wahanga
 
Vibaka unawaita watoto? Nyie watu vipi mnatakaje sasa. Watoto gani wanavamia raia na nondo...
Tulikuwa tunaongelea theory ya kuweka sumu kwenye chakula halafu uwategeshee mazee.

Tukasema hili siyo wazo zuri kwani kuna uwezekano wa kuua watu wengine wasio na hatia ukitilia maanani uswazi watu wanaweza kuokoteza chochote cha kula.
 
Hawajaanza na hapa tunatafuta solution ila pendekezo ni hilo la kutafuta mbinu ya kuwaua bila kuleta mambo mengi. Kama unaona kuna njia haraka na more effective itaje tuwasaidie wahanga
Mtu akishaamua kuwa kibaka means ameomba kufa so unapomnyima haki yake ni kumkosea Mungu.

Maana nao ukiingia kumi na name zao either wakuue au wakupe ulemavu.

Kuwapunguza ndio njia sahihi.
Kibaka hataki demokrasia
 
Hata speaker zinatoa msaada mzuri Sana mtaa mzima mkiamsha na yowe za maspeaker wanachanganyikiwa wasijue wakimbilie.

Speaker ni njia nzuri Sana ya kumchanganya mwizi au kibaka usiku sauti inasikika zaidi ya kilometa tano za degree 360.

So hii inakuwa tayari ni alert maana Hakuna aogopacho kibaka kama yowe,mwano
 
Tulikuwa tunaongelea theory ya kuweka sumu kwenye chakula halafu uwategeshee mazee. Tukasema hili siyo wazo zuri kwani kuna uwezekano wa kuua watu wengine wasio na hatia ukitilia maanani uswazi watu wanaweza kuokoteza chochote cha kula.
Hiyo idea nimetoa mimi na yawezekana hujaisoma yote ndio maana unasema wasio na hatia watakufa.

Hatubebi chakula tukatupa barabarani tu, kuna timing na kujua location waliyopo na mida yao ya kazi.

Civilians hawawezi jiunga na vibaka usiku bila kuwa washirika wenzao
 
Hiyo idea nimetoa mimi na yawezekana hujaisoma yote ndio maana unasema wasio na hatia watakufa...
Na vibaka wakijua wanapungua upunguza ukibaka au uacha kabisa.Rejea awamu iliyopita vibaka walikuwa wanasema mjomba ataki mchezo hii awamu unapotea.
 
Hebu waache ujinga, wavimwagie petrol hivyo vitoto wavioke kama ndafu uone kama vitafufuka na kuomba uji kama jamaa wa Masasi!! Ebo!!
Jinsi ya kurusha hio petrol ndo mtihani,labda upande zile gun za kurushia moto zile hata wakiwa elf 2 unawafungulia moto ukiwa mbali wakajitibu.
Flame thrower gun

Personal-Flamethrowers(1).jpg


_85331738_1(1).jpg


Screenshot_20211227_220243.jpg
 
Hii njia pia nasikia ilitumika masiku ya karibuni huko maeneo ya Kimara Suka,ilikuwa wanawafata majumbani mwao wanaamrisha wamtoe mtoto wai kisha wanaondoka asubuhi wapata taarifa mtoto wao amechinjwa astari kazi yao ilikuwa kuja kuchukua maiti tu.
 
Hata speaker zinatoa msaada mzuri Sana mtaa mzima mkiamsha na yowe za maspeaker wanachanganyikiwa wasijue wakimbilie.
Speaker ni njia nzuri Sana ya kumchanganya mwizi au kibaka usiku sauti inasikika zaidi ya kilometa tano za degree 360 so hii inakuwa tayari ni alert maana Hakuna aogopacho kibaka kama yowe,mwano
Speaker za aina gani?
Zinauzwa wapi?
 
Speaker za aina gani?
Zinauzwa wapi?
Madukani zipo tele kuanzia elf 20,zile watumiazo machinga kutangazia bidhaa,zile usiku sauti yake inafika kilometa 5 degree 360 so watashindwa wakimbilie direction ipi
 
Madukani zipo tele kuanzia elf 20,zile watumiazo machinga kutangazia bidhaa,zile usiku sauti yake inafika kilometa 5 degree 360 so watashindwa wakimbilie direction ipi
Ooooo nimezijua.
Kwa maana hiyo unarekodi kabisa unaweka attention.
Ukiwasikia tu inawasha.
Nimeipenda hii njia.
 
Ooooo nimezijua.
Kwa maana hiyo unarekodi kabisa unaweka attention.
Ukiwasikia tu inawasha.
Nimeipenda hii njia.
Unarecord kabisa ukiwaona tu unawasha.
Hakuna kitu kinachomchanganya mwizi,kibaka, jambazi kama yowe ukosa utulivu kabisa.Unarekod huwa wanaishiwa nguvu sababu awajui wapelekee wapi
 
Speaker ndio kiboko ya majambazi, wezi, vibaka tena ukipata za remote ndo mwake unaweka nje juu so wakati wanapambana kubomoa mlango au dirisha we unawasha sauti hadi mwisho.

Hii inawaondoa kwenye attention. Pia ni nzuri Sana hata vijijini kwa wezi wa ng'ombe ikipigwa vijiji vyote jirani upata sauti.

So ukiwasha recorded wanakuwa wapo bize kuangalia jinsi ya kutoroka na sio kuendelea na plan ya kuiba.
 
Juzi wamerudi kwa kasi,wamevania Mbagala mahala pa wazi,wameua sungusungu wawili,wamepora.

LookHali kadhalik Chanika ,wakikutana na wewe Kama huna pesa wanasachi either umweweka pesa ktk simu, uwatumie hiyo fedha, Gongo la mboto wamechomwa moto wawili at least wamepaogopa
 
Juzi wamerudi kwa kasi,wamevania Mbagala mahala pa wazi,wameua sungusungu wawili,wamepora ,Hali kadhalik Chanika ,wakikutana na wewe Kama huna pesa wanasachi either umweweka pesa ktk simu,uwatumie hiyo fedha,Gongo la mboto wamechomwa moto wawili at least wamepaogopa
Wapigeni asidi,dawa yao ni mishale tu wazingireni wakienda chini 12 awarudi tena,wakirudi tena kurevenge malizeni wote awatorudi tena,panyaroad uonea mitaa dhaifu.

Ukitekwa wakikuambia hamisha pesa usipingane nao we hamisha au wape simu na password kabisa, wakikuacha mzima mda huo huo unapiga simu customer care wanaziblock pesa, hivyo hawawezi zitoa.
 
Back
Top Bottom