T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hawajaanza na hapa tunatafuta solution ila pendekezo ni hilo la kutafuta mbinu ya kuwaua bila kuleta mambo mengi.Kama wazazi wananufaika na hizo tabia na wao maadam ni sehemu ya jamii basi jamii imeruhusu kumea kwa hao vijana hivyo ijilaumu yenyewe na ......toka muanze kuwaua wamepungua?
Na SGRRufiji ndio sheria ilikuwa inaruhusiwa kuchukuliwa mikononi?
Huko kirakata ni wapi (Mkoa , Nchin) ?
Ipo jirani na uwanja wa mpira, Gwambina!Kwa hapa Misungwi hiyo karakata ipo wap
Tulikuwa tunaongelea theory ya kuweka sumu kwenye chakula halafu uwategeshee mazee.Vibaka unawaita watoto? Nyie watu vipi mnatakaje sasa. Watoto gani wanavamia raia na nondo...
Mtu akishaamua kuwa kibaka means ameomba kufa so unapomnyima haki yake ni kumkosea Mungu.Hawajaanza na hapa tunatafuta solution ila pendekezo ni hilo la kutafuta mbinu ya kuwaua bila kuleta mambo mengi. Kama unaona kuna njia haraka na more effective itaje tuwasaidie wahanga
Hiyo idea nimetoa mimi na yawezekana hujaisoma yote ndio maana unasema wasio na hatia watakufa.Tulikuwa tunaongelea theory ya kuweka sumu kwenye chakula halafu uwategeshee mazee. Tukasema hili siyo wazo zuri kwani kuna uwezekano wa kuua watu wengine wasio na hatia ukitilia maanani uswazi watu wanaweza kuokoteza chochote cha kula.
Na vibaka wakijua wanapungua upunguza ukibaka au uacha kabisa.Rejea awamu iliyopita vibaka walikuwa wanasema mjomba ataki mchezo hii awamu unapotea.Hiyo idea nimetoa mimi na yawezekana hujaisoma yote ndio maana unasema wasio na hatia watakufa...
Hebu waache ujinga, wavimwagie petrol hivyo vitoto wavioke kama ndafu uone kama vitafufuka na kuomba uji kama jamaa wa Masasi!! Ebo!!Mtaa mzima mnakimbizwa na vitoto vya miaka 15 na 16 mnashindwa vipi vidhibiti.
Jinsi ya kurusha hio petrol ndo mtihani,labda upande zile gun za kurushia moto zile hata wakiwa elf 2 unawafungulia moto ukiwa mbali wakajitibu.Hebu waache ujinga, wavimwagie petrol hivyo vitoto wavioke kama ndafu uone kama vitafufuka na kuomba uji kama jamaa wa Masasi!! Ebo!!
Huwezi dili na watu primitives kwa demokrasia.vibaka umalizwa kwa forceSidhani kama ni njia salama.
Speaker za aina gani?Hata speaker zinatoa msaada mzuri Sana mtaa mzima mkiamsha na yowe za maspeaker wanachanganyikiwa wasijue wakimbilie.
Speaker ni njia nzuri Sana ya kumchanganya mwizi au kibaka usiku sauti inasikika zaidi ya kilometa tano za degree 360 so hii inakuwa tayari ni alert maana Hakuna aogopacho kibaka kama yowe,mwano
Madukani zipo tele kuanzia elf 20,zile watumiazo machinga kutangazia bidhaa,zile usiku sauti yake inafika kilometa 5 degree 360 so watashindwa wakimbilie direction ipiSpeaker za aina gani?
Zinauzwa wapi?
Ooooo nimezijua.Madukani zipo tele kuanzia elf 20,zile watumiazo machinga kutangazia bidhaa,zile usiku sauti yake inafika kilometa 5 degree 360 so watashindwa wakimbilie direction ipi
Unarecord kabisa ukiwaona tu unawasha.Ooooo nimezijua.
Kwa maana hiyo unarekodi kabisa unaweka attention.
Ukiwasikia tu inawasha.
Nimeipenda hii njia.
Wapigeni asidi,dawa yao ni mishale tu wazingireni wakienda chini 12 awarudi tena,wakirudi tena kurevenge malizeni wote awatorudi tena,panyaroad uonea mitaa dhaifu.Juzi wamerudi kwa kasi,wamevania Mbagala mahala pa wazi,wameua sungusungu wawili,wamepora ,Hali kadhalik Chanika ,wakikutana na wewe Kama huna pesa wanasachi either umweweka pesa ktk simu,uwatumie hiyo fedha,Gongo la mboto wamechomwa moto wawili at least wamepaogopa