Panya road wanauawa kwa risas. Je, wezi wa mabilioni ya kodi za Watanzania wanabakije salama?

Panya road wanauawa kwa risas. Je, wezi wa mabilioni ya kodi za Watanzania wanabakije salama?

Subiri
Watanzania ni wajinga ,na ujinga huo wamejazwa na CCM yaani wezi wa tozoooo wanasifiwa wezi wa pikipiki wanapigwa risasi huku vijana Kwa wazee wakisifiana kuwa huyu aliyeiba fedha nyingi ni mtu mzuri ,watanzania acheni ubinafsi tubadilike tunagawanywa kama paka na CCM huku wao na watoto wao wakisoma shule za ulaya
Siku mke wako amebakwa ndiyo utajua
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Unatumika kisiasa mkuu,wezi gani wa mabillion wataje?
 
Nimeamini nchi hii ina wajinga wwngi mmoja wao ndio wewe. Kwa hio unataka panya road waachiwe tu ee?
Mkuu samahani kwako wewe wezi wa mabilioni wapo sahihi na wala wizi wao hauna madhara ?

Nchi hii kweli nimeamini wananchi wake wamejaa roho mbaya saana ,unawezaje kuhalalisha wizi wa mabilioni ambayo ilikuwa inaweza kwenda kujenga vituo vya afya ama kununua madawa hospitalini.

Hujawahi kujiuliza vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa huduma kuwa mbali ama ukosefu wa dawa vipi vingapi ?
 
Nimeamini nchi hii ina wajinga wwngi mmoja wao ndio wewe. Kwa hio unataka panya road waachiwe tu ee?
Wapi nimesema panya road waachwe tu wafanye watakalo ?

Mimi nakushangaa wewe mwerevu unaeona ni haki panya road kupigwa risasi lakini majizi yaliyopelekea kuzaliwa panya road menyewe yaendelee kula mema ya nchi

Mtoa maada anahtaji utaratibu uliotumika kuwamaliza panya road huo huo utumike kumaliza mezi ya nchi hii.

Sijui waziri wa nini kunaubadhirifu kwenye wizara anayoiongoza yeye na katibu wake tunasikia tuu walitaka kuwakimbia na wakawa wanajihami askari wetu wazalendo wakawapyupyupyu

Ni hivyo mkuu na sio kutetea uhalifu au wewe waonaje hili
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Mda umefika kuanza kuwataja
 
Wakianza kuwapukutisha mnaowataka mtaanza kulalamika mfano bado mpo naslogan ya ben,azory,lissu(ukute walianzanae mkalalamika kaonewa) kila kukicha.

Acha kutetea panya road. Angalia hapo kwa akina selasin na mbatia nani aliyejua nccr ina utajiri wa kutosha. Angeporomoshewa risasi mbatia wote mngeibuka kulaumu na kutetea sio fisadi
Wapi nimesema panya road waachwe tu wafanye watakalo ?

Mimi nakushangaa wewe mwerevu unaeona ni haki panya road kupigwa risasi lakini majizi yaliyopelekea kuzaliwa panya road menyewe yaendelee kula mema ya nchi

Mtoa maada anahtaji utaratibu uliotumika kuwamaliza panya road huo huo utumike kumaliza mezi ya nchi hii.

Sijui waziri wa nini kunaubadhirifu kwenye wizara anayoiongoza yeye na katibu wake tunasikia tuu walitaka kuwakimbia na wakawa wanajihami askari wetu wazalendo wakawapyupyupyu

Ni hivyo mkuu na sio kutetea uhalifu au wewe waonaje hili
 
Wakianza kuwapukutisha mnaowataka mtaanza kulalamika mfano bado mpo naslogan ya ben,azory,lissu(ukute walianzanae mkalalamika kaonewa) kila kukicha.

Acha kutetea panya road. Angalia hapo kwa akina selasin na mbatia nani aliyejua nccr ina utajiri wa kutosha. Angeporomoshewa risasi mbatia wote mngeibuka kulaumu na kutetea sio fisadi
Bensaanane ,Azory Gwanda na Lissu kwa uwanda wako wa uelewa hawa walikula tozo na ushuru ama mkopo wa Jamhuri ya Tanzania?

Kiukweli tunahtaji walioko madarakani akila au ofisi yake ikakutwa na ubadhirifu pyupyupyu iwahusu.

Wewe unaleta watu ambao hawapo serikalini huku sisi tunahtaji wale ambao hawezi kubana matumizi yao kipindi hiki kigumu wakiendelea kununua magari ya anasa kila kukicha.

Hao ubinafisi wao umekuja kuwazalisha panya road,Kwa hiyo tukiwakomesha hawa na panya road na wao wataisha wenyewe tu
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Panya road ni tishio zaidi kwa mwananchi wa kawaida kuliko hao wezi wa mabilioni.
Wezi wa mabilioni hawavamii nyumba za watu na kisha kuwasababishia maumivu, majeraha na vifo. By the way hata kama fedha hiyo isipoibiwa na hao majizi, haina athari za moja kwa moja kwa kila mwananchi wa kawaida, ila panyaroad wana athari ya moja kwa moja kwa wananchi wote( Mfano: maeneo mengine vijana wataiga upanyaroad wakiona hakuna athari hasi ya upanyaroad hii itapelekea mateso na taabu kwa kila mwananchi). Hivyo, hizo athari hasi wanazozipata panyaroad zitawakatisha tamaa vijana wengine kujiunga na upanyaroad na hivyo upanyaroad utakufa.
NB
Ni ngumu sana, kucontrol upanyaroad kwa kutumia sheria ingawa sheria nzuri ni kiongozi mzuri zaidi kuliko mtu mwenye akili ya juu sana na busara ya juu sana.
Upanyaroad hauwezi kuisha kwa kuchekeana( Omba usipate bugudha hiyo ya panyaroad, lazima utakuwa sadist).
 
Mtu anakuchana chana na sijui nyembe, panga mara bisibisi ili akunyang'anye simu ya laki hana maana.
Mkuu temeke iyo niliwahi poteza viatu na simu baada ya kukutana na kundi la vijana kati 6/7.

Binafsi sina la kulishauri jeshi la polisi . Waachwe waendelee tu na mkakati wao mpaka mwisho
 
Ila ni upumbavu pia kumtetea MTU anayeiba hela huku watu wanahitaji madawa na huduma za afya bora,wanakufa Kwa kukosa Barabara nzuri za kuwafikisha vituo vya afya,wanapata shida Kwa kukosa maji Safi na salama ya uhakika,wafanyakazi kulipwa hela kidogo ila huku watu wengine wakiiba mabilioni ya hela.

Unajaribu kuhusianisha na kuwianisha vitu ambavyo havindi pamoja.
 
Wezi wa mabilioni hawashiki mapnaga na kuua wasio na hatia,wezi wa mabilioni hawakato watoto wachanga miguu kisa kupora simu. Acheni kutetea upumbavu
Soma,vzr hiyo post ndio ujibu ili usiangukie kwenye kundi la wajinga
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Wataje mkuu ahat wawili tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cheki hii punguani wewe unadhani fisadi ana alama, umeshaanza utetezi kabla hata ya suala hnalotaka kufanyiwa kazi. Panyaroad wapukutishwe
Bensaanane ,Azory Gwanda na Lissu kwa uwanda wako wa uelewa hawa walikula tozo na ushuru ama mkopo wa Jamhuri ya Tanzania?

Kiukweli tunahtaji walioko madarakani akila au ofisi yake ikakutwa na ubadhirifu pyupyupyu iwahusu.

Wewe unaleta watu ambao hawapo serikalini huku sisi tunahtaji wale ambao hawezi kubana matumizi yao kipindi hiki kigumu wakiendelea kununua magari ya anasa kila kukicha.

Hao ubinafisi wao umekuja kuwazalisha panya road,Kwa hiyo tukiwakomesha hawa na panya road na wao wataisha wenyewe tu
 
Back
Top Bottom