Phobia
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,156
- 1,819
Subiri
Siku mke wako amebakwa ndiyo utajuaWatanzania ni wajinga ,na ujinga huo wamejazwa na CCM yaani wezi wa tozoooo wanasifiwa wezi wa pikipiki wanapigwa risasi huku vijana Kwa wazee wakisifiana kuwa huyu aliyeiba fedha nyingi ni mtu mzuri ,watanzania acheni ubinafsi tubadilike tunagawanywa kama paka na CCM huku wao na watoto wao wakisoma shule za ulaya