Siku mke wako amebakwa ndiyo utajuaWatanzania ni wajinga ,na ujinga huo wamejazwa na CCM yaani wezi wa tozoooo wanasifiwa wezi wa pikipiki wanapigwa risasi huku vijana Kwa wazee wakisifiana kuwa huyu aliyeiba fedha nyingi ni mtu mzuri ,watanzania acheni ubinafsi tubadilike tunagawanywa kama paka na CCM huku wao na watoto wao wakisoma shule za ulaya
Bado sio sababu afu heri mpigane tu kwanini unamkata mtu pangaHayo mabilioni wangetumia kuwapa watu Maisha mazuri usingewaona hayo wakata mapanga.
Unatumika kisiasa mkuu,wezi gani wa mabillion wataje?Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Mkuu samahani kwako wewe wezi wa mabilioni wapo sahihi na wala wizi wao hauna madhara ?
Nchi hii kweli nimeamini wananchi wake wamejaa roho mbaya saana ,unawezaje kuhalalisha wizi wa mabilioni ambayo ilikuwa inaweza kwenda kujenga vituo vya afya ama kununua madawa hospitalini.
Hujawahi kujiuliza vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa huduma kuwa mbali ama ukosefu wa dawa vipi vingapi ?
Wapi nimesema panya road waachwe tu wafanye watakalo ?Nimeamini nchi hii ina wajinga wwngi mmoja wao ndio wewe. Kwa hio unataka panya road waachiwe tu ee?
Mda umefika kuanza kuwatajaKundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Wapi nimesema panya road waachwe tu wafanye watakalo ?
Mimi nakushangaa wewe mwerevu unaeona ni haki panya road kupigwa risasi lakini majizi yaliyopelekea kuzaliwa panya road menyewe yaendelee kula mema ya nchi
Mtoa maada anahtaji utaratibu uliotumika kuwamaliza panya road huo huo utumike kumaliza mezi ya nchi hii.
Sijui waziri wa nini kunaubadhirifu kwenye wizara anayoiongoza yeye na katibu wake tunasikia tuu walitaka kuwakimbia na wakawa wanajihami askari wetu wazalendo wakawapyupyupyu
Ni hivyo mkuu na sio kutetea uhalifu au wewe waonaje hili
Bensaanane ,Azory Gwanda na Lissu kwa uwanda wako wa uelewa hawa walikula tozo na ushuru ama mkopo wa Jamhuri ya Tanzania?Wakianza kuwapukutisha mnaowataka mtaanza kulalamika mfano bado mpo naslogan ya ben,azory,lissu(ukute walianzanae mkalalamika kaonewa) kila kukicha.
Acha kutetea panya road. Angalia hapo kwa akina selasin na mbatia nani aliyejua nccr ina utajiri wa kutosha. Angeporomoshewa risasi mbatia wote mngeibuka kulaumu na kutetea sio fisadi
Panya road ni tishio zaidi kwa mwananchi wa kawaida kuliko hao wezi wa mabilioni.Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Mkuu temeke iyo niliwahi poteza viatu na simu baada ya kukutana na kundi la vijana kati 6/7.Mtu anakuchana chana na sijui nyembe, panga mara bisibisi ili akunyang'anye simu ya laki hana maana.
Ila ni upumbavu pia kumtetea MTU anayeiba hela huku watu wanahitaji madawa na huduma za afya bora,wanakufa Kwa kukosa Barabara nzuri za kuwafikisha vituo vya afya,wanapata shida Kwa kukosa maji Safi na salama ya uhakika,wafanyakazi kulipwa hela kidogo ila huku watu wengine wakiiba mabilioni ya hela.
Soma,vzr hiyo post ndio ujibu ili usiangukie kwenye kundi la wajingaWezi wa mabilioni hawashiki mapnaga na kuua wasio na hatia,wezi wa mabilioni hawakato watoto wachanga miguu kisa kupora simu. Acheni kutetea upumbavu
Mwizi wa babilioni ndio anatengeneza mwizi wa kukata mapangaMwizi wa mabilioni anakata watu mapanga vibaya vile?
Wataje mkuu ahat wawili tuKundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Soma,vzr hiyo post ndio ujibu ili usiangukie kwenye kundi la wajinga
Bensaanane ,Azory Gwanda na Lissu kwa uwanda wako wa uelewa hawa walikula tozo na ushuru ama mkopo wa Jamhuri ya Tanzania?
Kiukweli tunahtaji walioko madarakani akila au ofisi yake ikakutwa na ubadhirifu pyupyupyu iwahusu.
Wewe unaleta watu ambao hawapo serikalini huku sisi tunahtaji wale ambao hawezi kubana matumizi yao kipindi hiki kigumu wakiendelea kununua magari ya anasa kila kukicha.
Hao ubinafisi wao umekuja kuwazalisha panya road,Kwa hiyo tukiwakomesha hawa na panya road na wao wataisha wenyewe tu
Labda wewe huelewiUnajaribu kuhusianisha na kuwianisha vitu ambavyo havindi pamoja.