Panya Road wavamia Bunju Magengeni, maduka yafungwa kwa kuhofia usalama

Panya Road wavamia Bunju Magengeni, maduka yafungwa kwa kuhofia usalama

Napenda kuwapa update kwamba askari wamefanya yao ,wamewapa vyuma panya road walioshiriki na kuleta taharuki maeneo ya boko na bunju....wote wameuawa.

Big Up sana ,hakuna kucheka na Panya road wala jambazi..
Tatizo la watu wa DSM hata wakiona mtu amevamiwa na anapiga yowe akiomba msaada wanajitia ubize

Hao mapanya rodi yamelelewa kwenye mitaa na ndugu jamaa na wazazi wanajua hayo magenge ila hawasemi maana wananufaika sana
 
Wanaume wa Dar mnaminywa mmbupu na vitoto vinavyo nuka maziwa mna akili ninyi ? Kazi kula urojo na chipsi tu
 
Mwanza miaka ya 2000 katikat nyamilizo na kapimpilo wanafunga mtaa
Hahaaaa ,umenikumbusha wale machokoraa wa pasiansi ,bwiru ,kirumba na nyamanoro ,mapimpiri na manyirizu , wale vibaka walishughulikiwa wakapotea ,ni kama hao watoto wapumbavu waliokosa malezi wanaojiita panya road , dawa ni kuwakamata na kuwaua kikatili ,tena publicly , kata miguu kata mikono ,kata vichwa ,choma moto kwa tairi na petroli , tembezea chuma za vichwa ,uone mbona watapoteza wenyewe ?
 
Back
Top Bottom