Polisi wetu wanafatilia madeal ya fedha tu ,ukikuta wana patrol na magari yao yale yenye namba za ajabu ajabu basi ujue wanafatlia madeal tu ,Hapo Boko Magengeni kama 2km kuna Kambi ya Jeshi 836 KJ Mbweni JKT ,tena kuna Boko Magereza kama 2km.
Mimi naona askari wanawachekea hao panya road ,wafanye kama walivyowafanya panya road wa mwembe yanga/tandika ,dawa ya jambazi na panya road ni chuma tu ,hao watu hawatakiwi kucheka nao ,mkicheka nao mtavuna mabua ,si umeona ujambazi ulivyokomeshwa? Inatakiwa Panya Road wale vyuma.