Panya Road wavamia Bunju Magengeni, maduka yafungwa kwa kuhofia usalama

Panya Road wavamia Bunju Magengeni, maduka yafungwa kwa kuhofia usalama

Usiwe kiazi babu ndo maana nyie mnaitwa wa shamba,kitendo cha kutoka na gari me binafsi sikuona usalama zaidi kwa watumiaji wengine wa barabara,watu wanakimbia hovyo alafu niwashe gari unanitakia nini mimi na watu wengine huoni kama yangekuwa maafa,kuna watoto wadogo ambao nimesaidia mpaka wapande daladala kabla ya kupost fikiria,na hapo unaona kundi kama la watu mia linakimbia wewe usikimbie pia kimbia lakini usilete madhara kwa watu wengine
Kundi la watu 100 mnakimbia watoto 8? Mkuu wewe ni wahovyo kabisa
 
Ila hii nchi watu hatupo serious. Kama jeshi la polisi limeshindwa wawape go ahead wanachi wajilinde wenyewe.

Huu upumbavu hauvumiliki. Raia na mali zao kutokuwa salama ni upuuzu wa hali ya juu. Toeni tu go ahead japo nayo ni mbaya maana wasio na hatia pia wanaweza kuwa targeted.
Nafikiri huhitaji go ahead kujilinda unapovamiwa na hawa majambazi, inabidi watu waanze kufikiria investment kwenye guns kwa ajiri ya usalama wao, wale mbwa wakishajua kuna chamoto mtaa fulani sijui kama wanaweza kusogea
 
Mnalipa kodi halafu hamlindwi na mali zenu na roho zenu zinachukuliwa

Hivi hamna uchungu? Na mtakuwa hivyo wa hewala mpaka lini
Hapa siyo kwenu uingereza bana. Hivi kesi ya Nicola Bulley imefikia wapi? Wiki ya pili hii polisi bado hawajampata mama wa watu. Hadi kuna amateur sleuths investigators wanasaidia.
 
Hili kundi linatesa sana watu jmn hao hao waliokamatwq wapigwe mpk wataje wenzao
 
RC Makalla kupitia taarifa ya habari usiku huu amesema Panya road wanatokea mkoa wa Pwani na wamewakamata wote wakiwa wametoka Mapinga
Nimemsikia ndo nikajua dar mna RC wa hovyo sana. Eti anasema wametoka mkoa wa Pwani ili kuaminisha kwamba yeye amemaliza tatizo na haliko mkoani kwake. Ujinga huu.wa kiwango cha juu sana... tukio limetokea mkoani kwake anataka kujivua nini. Kwamba yeye ameimarisha ulinzi kwa wahalifu walioko mkoani kwake tu, kwamba wanaotoka mikoa mingine ulinzi wao haujaimarishwa wanaweza kuja kufanya uhalifu tu
 
Juz juz tu Arusha mmesimbuliwa na mtu mmoja
Arusha mitaa ya kihuni Sinoni miaka ya 80 kuna mbabe alikuwa akipita demu mkali hatongozi anaweka begani anatokomea nae migombani! Demu hata apige kelele vipi hakuna mtu anasogea!

Kuna siku alibeba sister mmoja namfahamu akaokolewa na polisi wa doria walikuwa wanakunywa baa ya jirani.

Sasa imagine mtu zaidi ya 30 wavamie mtaa na mapanga si vita hiyo?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Kataa wahuni, piganieni ipatikane KATIBA MPYA ndio mwarobaini wa migogoro yote hii. Huwezi kutumia ASILIMIA 90 ya bajeti kwenye ANASA tu, na kwenye maendeleo upeleke pesa kiduchu halafu utarajie mambo yatakuwa sawa tu.
Bila katiba mpya PANYA ROAD wataendelea kuongezeka maelfu kwa maelfu hadi akili zitakapowakaa sawa..

View attachment 2514266
View attachment 2514268
Matumizi ya kawaida hayawezi kupungua kidogo ?
 
Muliro anasema wamekamata Panya road 6 wakiwa na vitu walivyoiba ,kama ni kweli basi "wawataiti" hao 6 wataje mnyororo wao wote ,wajiridhishe kama ni kweli wamehusika ,wakisha confirm uhusika wao wote na mnyororo wao then wawapeleke msitu wa Pande Kibaha wawapige vyuma wote.
 
Polisi wetu wanafatilia madeal ya fedha tu ,ukikuta wana patrol na magari yao yale yenye namba za ajabu ajabu basi ujue wanafatlia madeal tu ,Hapo Boko Magengeni kama 2km kuna Kambi ya Jeshi 836 KJ Mbweni JKT ,tena kuna Boko Magereza kama 2km.

Mimi naona askari wanawachekea hao panya road ,wafanye kama walivyowafanya panya road wa mwembe yanga/tandika ,dawa ya jambazi na panya road ni chuma tu ,hao watu hawatakiwi kucheka nao ,mkicheka nao mtavuna mabua ,si umeona ujambazi ulivyokomeshwa? Inatakiwa Panya Road wale vyuma.

Napenda kuwapa update kwamba askari wamefanya yao ,wamewapa vyuma panya road walioshiriki na kuleta taharuki maeneo ya boko na bunju....wote wameuawa.

Big Up sana ,hakuna kucheka na Panya road wala jambazi..
 
Back
Top Bottom