Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Mchezea toppeAhahaha huyu mzee akapimwe akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezea toppeAhahaha huyu mzee akapimwe akili
Hutaki acha, hajalazimisha.Ndio hvyo,anataka kurasimisha feelings zake kwa wengine
Kabisa tumechelewa mnooo."Papa akasema mitizamo ya wanaopinga anawaachia wao ila yeye anasonga mbele!."
Safi sanaa Papa, kanyaga twende, tumechelewa sanaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na yeye hata hajali kabisaa.Papa anapandisha watu munkari
Shokolobo huyoHutaki acha, hajalazimisha
Ni yeyeeShokolobo huyo
[emoji23][emoji16][emoji23]Hakuna mkatoliki atakaempinga PAPA.
PAPA ndio muwakilishi wa KANISA KATOLIKI DUNIANI.
Atakachosema LAZIMA KIFUATWE NA WAKATOLIKI WOTE.
YYT atakaepinga basi Kwa Imani zao AMELAANIWA.
Kwahio tujiandae kuona Ndoa za jinsia moja kwa wingi sana hapa Nchini.
Mi tayari nimeanza mpango nataka kufungua sehemu ya kushona magauni ya wanamme.
Wateja wa kumwaga.
NI... POLEPOLE...HATUA KWA HATUA...Ni aibu kwa Wakiristu kuunga mkono na kuuvumilia ushoga!.
Na hili hatuwasingizii maana kanisa la Anglican lenyewe linafungisha ndoa za mashoga kabisaa.
Na sasa kanisa la kikatoliki nalo limeanza kubariki "COUPLES" za mashoga badala ya kuwahubiria na kuwaombea waache dhambi ya UFIRAJI na UFIRWAJI la hasha!.
Na haya ni makanisa makubwa sana duniani.
Wakishabarikiwa kanisani, wataachaje kupeleka posa majumbani kwa wazazi wakatoliki ili dume lioe mtoto wao wa kiume?, mzazi gani mkatoliki atapingana na papa?NI... POLEPOLE...HATUA KWA HATUA...