Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

Ibada zangu zitahamia kwa masikini huko kanisani nitaenda labda kufunga ndoa tu. Once akili ya kukataa ndoa ikiondoka[emoji2]
 
Kanisa katoliki linaliwa ushoga kama mchwa anavyokula mbao taratiiiibu

Katoliki wote karibuni sana kwenye makanisa yetu ya kipentekoste
 
Asante papa kwa kuwaambia ukweli waafrika kwamba ni suala la muda wataelewa tu na kuukumbatia ushoga kama walivyoacha tamaduni zao na mila zao na kuukumbatia ukristo na uislam.

Kwa maana hiyo, kama watu wa afrika waliweza kuacha mambo yao na kuukumbatia uyahudi, uroma na umedi hawatokuwa na akili ya kuukataa ushoga
Mtapigana sana miti church maana mshapewa kibali
 
Ndio waafrika hasa wakatoliki watatekeleza uyasemayo papa.

Ritz kahtaan
Hakuna mkatoliki atakaempinga PAPA.
PAPA ndio muwakilishi wa KANISA KATOLIKI DUNIANI.
Atakachosema LAZIMA KIFUATWE NA WAKATOLIKI WOTE.
YYT atakaepinga basi Kwa Imani zao AMELAANIWA.

Kwahio tujiandae kuona Ndoa za jinsia moja kwa wingi sana hapa Nchini.

Mi tayari nimeanza mpango nataka kufungua sehemu ya kushona magauni ya wanamme.
Wateja wa kumwaga.
 
Mbona Mombasa, Tanga, Dsm na Zanzibar, waislam mnakula hadi kutembea na viberiti vya mavy mkinusa au mnaona RC wanawaingilia anga zenu?

Mtajuana wenyewe mie dini yangu hairuhusu Firrhaji
Umemkuta nani? Nimekwambia mi muislam? So mmeona wivu nanyi mliwe? Papa kawa papa, tumtie chunvi tule
 
Hakuna mkatoliki atakaempinga PAPA.
PAPA ndio muwakilishi wa KANISA KATOLIKI DUNIANI.
Atakachosema LAZIMA KIFUATWE NA WAKATOLIKI WOTE.
YYT atakaepinga basi Kwa Imani zao AMELAANIWA.

Kwahio tujiandae kuona Ndoa za jinsia moja kwa wingi sana hapa Nchini.

Mi tayari nimeanza mpango nataka kufungua sehemu ya kushona magauni ya wanamme.
Wateja wa kumwaga.
Kwamba mkuu unataka KIBU DEE MKANDAJI avae gauni, pamoja na ndugu zake?.
 
Back
Top Bottom