binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Wale wa papa “hajamaanisha hivyo” bado hawajaja humu? 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Uislam katika nchi za magharibi umechemka. Ni wakristo ndio labda wanaacha dini yao ila Uislam unazidi kukua huko. Sifa zote njema zinamstahiki Allah.wala misikitini,imani imebaki Afrika tu ndio maana
Kazi kweli kweliWengine tulisema humu, lakini baadhi ya wakumbatia ukatoliki uchwara wakatupingana ukali.
Tunasema tena, Papa na Vatican walishaupokea ubwabwa kwa 100%, kinachoendelea ni mchakato mdogo mdogo wa kuutekeleza kikamilifu kwa wakatoliki wote.
Nani huyo anamfuata mtu?Ujinga wenu mnafuata mtu ,baada ya mtu ni kufuata dini sio watu..
You nailed it.Asante papa kwa kuwaambia ukweli waafrika kwamba ni suala la muda wataelewa tu na kuukumbatia ushoga kama walivyoacha tamaduni zao na mila zao na kuukumbatia ukristo na uislam.
Kwa maana hiyo, kama watu wa afrika waliweza kuacha mambo yao na kuukumbatia uyahudi, uroma na umedi hawatokuwa na akili ya kuukataa ushoga
Kweli kabisaa.Asante papa kwa kuwaambia ukweli waafrika kwamba ni suala la muda wataelewa tu na kuukumbatia ushoga kama walivyoacha tamaduni zao na mila zao na kuukumbatia ukristo na uislam.
Kwa maana hiyo, kama watu wa afrika waliweza kuacha mambo yao na kuukumbatia uyahudi, uroma na umedi hawatokuwa na akili ya kuukataa ushoga
[emoji23][emoji23][emoji23]“ lakini polepole wataelewa tu” = ni suala la muda wataliwa tu.
Sasa ajabu nn?Wengine tulisema humu, lakini baadhi ya wakumbatia ukatoliki uchwara wakatupingana ukali.
Tunasema tena, Papa na Vatican walishaupokea ubwabwa kwa 100%, kinachoendelea ni mchakato mdogo mdogo wa kuutekeleza kikamilifu kwa wakatoliki wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani watu, khaaahKwa ufupi Papa anawaambia wakatoliki wa Afrika wapunguze Shobo
Kaskazini ipi Arusha na Kilimanjaro?Nimezaliwa na kukulia kaskazini sijawahi kuona huo upuuzi. Sio zamani na wala sio sasa.
Sasa hapo Papa katengua au kafuta kauli ipi?Ndio asingetengua ile kauli yake ya mwanzo aone sasa kama waafrika ambao ndio waumini wengi wa hilo kanisa duniani kama wasingelikacha na kuanzisha Africa catholic lisilokuwa na upuuzipuuzi wa mtu mweupe.
Wazungu wengi siku hz ni mafirauni hayakwendi kanisani,wala misikitini,imani imebaki Afrika tu ndio maana wakaogopa.kwani tayari mataifa ya Afrika kadhaa tayari yalishapingana na msimamo wa Papa Shoga la sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale wa papa “hajamaanisha hivyo” bado hawajaja humu? [emoji28]
Papa ni papaaa tu,anapumuliwaSasa hapo Papa katengua au kafuta kauli ipi?
Hahahahaaaaa“ lakini polepole wataelewa tu” = ni suala la muda wataliwa tu.
Kidogo sana! Huwezi kulinganisha na maeneo ya pwaniKaskazini ipi Arusha na Kilimanjaro?
Mbona ushoga ndo umejaa hapo. Lol
Kwani wewe maneno ya papa yanakuhus nn?Nani huyo anamfuata mtu?