Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

Unasema kuhusu zamani kaka watu hawakuelimika na kustaarabika vya kutosha.
Japo mie mnyamwezi wa Ndevelwa sio mtu wa pwani ila hayo mambo sio ya kusema ya kabila fulani.
Yamesambaa kila kabila hata kanda ya ziwa unayakuta kwa wingi kwasasa.
Nimezaliwa na kukulia kaskazini sijawahi kuona huo upuuzi. Sio zamani na wala sio sasa.
 
Nimezaliwa na kukulia kaskazini sijawahi kuona huo upuuzi. Sio zamani na wala sio sasa.
Unasemea kaskazini ya Arusha,Manyara ama kilimanjaro kaka??
Mie nimefika njiro pia nimefika karibia na maeneo ya Arusha boys islamic kuna wadada wa kimeru na KiArusha wanatoa nyuma kama hawana akili nzuri.
Tena wengine nimesoma nao nawajua.
Tabora kuna chuo sikitaji nimekutana na toto za Manyara zinatoka umburuni zinatoa kimba kufuru ya rahmani.
Kilimanjaro rombo watoto wa kirombo na Siha wanatoa nnyaa ile balaa.
Mie nimetembea bro hunidanganyi.
Haya mambo hayahusiani na dini wala kabila ni utashi wa mtu tu.
UBAYA HAUNA KWAO karne hii.
 
“ lakini polepole wataelewa tu” = ni suala la muda wataliwa tu.
Mbona Mombasa, Tanga, Dsm na Zanzibar, waislam mnakula hadi kutembea na viberiti vya mavy mkinusa au mnaona RC wanawaingilia anga zenu?

Mtajuana wenyewe mie dini yangu hairuhusu Firrhaji
 
Sawa ila Zbar asilimia 99.9999999 ni wa dini ya haqi
Zanzibar wengi wahamiaji kule kutoka bara wapo pia. Arusha, Kilimanjaro na sehemu nyinginezo kesi za ushoga zipo kibao. Huko mikoani watu wanawaingilia hadi kuku.
Wewe endelea kukaza fuvu kumezeshwa wimbo wa ukasuku Zanzibar wapo wengi wakati taratibu kanisa linawazoesha taratibu. Hizi zama za utandawazi taarifa zina sambaa. Tumeona mikoa kibao kuna ushoga.
 
Mbona Mombasa, Tanga, Dsm na Zanzibar, waislam mnakula hadi kutembea na viberiti vya mavy mkinusa au mnaona RC wanawaingilia anga zenu?

Mtajuana wenyewe mie dini yangu hairuhusu Firrhaji
Hakuna dini inayoruhusu hilo suala.
Hata Qur'an imesema hukumu ya msagaji kufungiwa bila kula mpaka kifo na hukumu ya mlawiti kwa ushoga atangazwe hadharani na kupewa adhabu zingine zinazofanana na uzito wa hiyo aibu.
Huo ni utashi wa mtu.
 
Asante papa kwa kuwaambia ukweli waafrika kwamba ni suala la muda wataelewa tu na kuukumbatia ushoga kama walivyoacha tamaduni zao na mila zao na kuukumbatia ukristo na uislam.

Kwa maana hiyo, kama watu wa afrika waliweza kuacha mambo yao na kuukumbatia uyahudi, uroma na umedi hawatokuwa na akili ya kuukataa ushoga
Ushoga upo kabla hata waafrika hawajaacha tamaduni zao sio kitu kipya.
 
Ndio asingetengua ile kauli yake ya mwanzo aone sasa kama waafrika ambao ndio waumini wengi wa hilo kanisa duniani kama wasingelikacha na kuanzisha Africa catholic lisilokuwa na upuuzipuuzi wa mtu mweupe.

Wazungu wengi siku hz ni mafirauni hayakwendi kanisani,wala misikitini,imani imebaki Afrika tu ndio maana wakaogopa.kwani tayari mataifa ya Afrika kadhaa tayari yalishapingana na msimamo wa Papa Shoga la sasa
 
Unasemea kaskazini ya Arusha,Manyara ama kilimanjaro kaka??
Mie nimefika njiro pia nimefika karibia na maeneo ya Arusha boys islamic kuna wadada wa kimeru na KiArusha wanatoa nyuma kama hawana akili nzuri.
Tena wengine nimesoma nao nawajua.
Tabora kuna chuo sikitaji nimekutana na toto za Manyara zinatoka umburuni zinatoa kimba kufuru ya rahmani.
Kilimanjaro rombo watoto wa kirombo na Siha wanatoa nnyaa ile balaa.
Mie nimetembea bro hunidanganyi.
Haya mambo hayahusiani na dini wala kabila ni utashi wa mtu tu.
UBAYA HAUNA KWAO karne hii.
Ukiona kaskazini kumeshaanza kuharibika basi pwani kumeoza
 
Back
Top Bottom