Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 542
- 264
Alikuwa padre wa jimbo la Iringa kabla Mafinga jalijawa jimbo. Baada ya Mafinga kuwa jimbo akawa ni padre wa jimbo la Iringa. He is a good man namjua sababu tumesoma seminari Mafinga wote na baadaye tukawa walimu wote Mafinga seminari. Anastahilo sana. He is a humble manAmani kwenu watu wa MUNGU
Jimbo kuu la iringa limepata askofu mpya
Hongera kwake
Sijui alikuwa Padre wa wapi huyu
Wenye kumjua tafdhari
SAYUNI BOY
baada ya Jimbo la Iringa kugawanywa na kupatikana Jimbo la mafinga,Pd Romanus akawa wa jimbo la Mafinga na mpaka anateuliwa kuwa askofu alikuwa vicar wa jimbo la mafingaAlikuwa padre wa jimbo la Iringa kabla Mafinga jalijawa jimbo. Baada ya Mafinga kuwa jimbo akawa ni padre wa jimbo la Iringa. He is a good man namjua sababu tumesoma seminari Mafinga wote na baadaye tukawa walimu wote Mafinga seminari. Anastahilo sana. He is a humble man
Roman katika suala la elimu kwa mapadre wake ni balaa sana, wengi ni vichwa sanaHeshima kwake inaonekana na shule IPO sana
Cha ajabu wanakaa mezani kujadili ushoga uruhusiwe ama la, hivi hata akili ya kawaida tu haitoshi kujua ushoga ni upumbavuRoman katika suala la elimu kwa mapadre wake ni balaa sana, wengi ni vichwa sana
Ulihudhuria nini mkuu hivyo vikao?Cha ajabu wanakaa mezani kujadili ushoga uruhusiwe ama la, hivi hata akili ya kawaida tu haitoshi kujua ushoga ni upumbavu
Mbona ni fani ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kerala nchini India.Hongera kwa Askofu Mteule, mtaalam wa wanyama pori!
Mkuu umeanza tena? Walikaa wapi na wewe ukaweza kuwaona hata kama ulitumia Nguvu.Cha ajabu wanakaa mezani kujadili ushoga uruhusiwe ama la, hivi hata akili ya kawaida tu haitoshi kujua ushoga ni upumbavu
Mi pia nakipenda sana, huwa natulia kusikiliza jinsi padri anavyotiririka, kinasomwa wakati wa kujiandaa kupokea sakramenti ya komunioKwa njia yake yeye pamoja naye na ndanii yake
Wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unavitia vitu vyote heshima na utukufu ....
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani..... Ulikamilishe katika upendo pamoja na Umkumbuke Baba Mtakatifu wetu , maaskofu, mapadri na maklero wote
KWa wema usikilize Sala za jamaa
Iliyokusanyika mbele yako kwa maombezi ya bikra maria mama Mungu na Mtakatifu Yosefu mchumba pamoja na watakatifu waliokupendeza tangu hapo kale...
Uwakumbuke ndugu zetu waliofariki wakiwa na tumaini la kukutana nawe
Hiki kipande nakipenda sana nakuwa na utulivu mno japo Kuna maneno nimeruka!! sikumbuk yote!
Ni Sakramenti ya Ekaristi takatifu. Sijawahi sikia Sakramenti ya komunio.Mi pia nakipenda sana, huwa natulia kusikiliza jinsi padri anavyotiririka, kinasomwa wakati wa kujiandaa kupokea sakramenti ya komunio
Siyo mtumishi.Ni muumini/muamini.Majimbo makuu
Dar es salaam , ruwaichi
Mwanza masalu nkwande
Songea Damian dallu
Arusha, aman isack
Tabora, lugambwa
Mbeya, nyaisonga
Nilichanganya madensa mtumish
Uko sahihi kabisa, nimechanganya.Kukomunika ni kitendo cha kupokea hiyo sakramenti, asante sana kwa hayo masahihishoNi Sakramenti ya Ekaristi takatifu. Sijawahi sikia Sakramenti ya komunio.
Nanukuu: "Hiki kipande nakipenda sana nakuwa na utulivu mno japo Kuna maneno nimeruka!! sikumbuk yote!"Kwa njia yake yeye pamoja naye na ndanii yake
Wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unavitia vitu vyote heshima na utukufu ....
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani..... Ulikamilishe katika upendo pamoja na Umkumbuke Baba Mtakatifu wetu , maaskofu, mapadri na maklero wote
KWa wema usikilize Sala za jamaa
Iliyokusanyika mbele yako kwa maombezi ya bikra maria mama Mungu na Mtakatifu Yosefu mchumba pamoja na watakatifu waliokupendeza tangu hapo kale...
Uwakumbuke ndugu zetu waliofariki wakiwa na tumaini la kukutana nawe
Hiki kipande nakipenda sana nakuwa na utulivu mno japo Kuna maneno nimeruka!! sikumbuk yote!
Yap! una kumbukumbu nzuri. Je, uliishia hapo kuwa mministranti au uliendelea Seminari etc.?Kuna yule Askofu Paul Luzoka kama sijakosea jina, alikuwa Kigoma kisha Tabora, sijui kwasasa yuko wapi namkubali sana, alinibatiza na badae akanipa kipaimara, alikuwa mtu wa maendeleo sana, mpaka leo nakumbuka kale kakofi kake ka kipaimara badae nikaja kuwa mtumikiaji na nikawa natumikia kwenye misa zake
Yep yeh nashukuru kwa masahihisho nikiwa mwenyw nakiimba kama nafanya Ibada yaanNanukuu: "Hiki kipande nakipenda sana nakuwa na utulivu mno japo Kuna maneno nimeruka!! sikumbuk yote!"
Sio tu umeruka maneno bali pia umebadilisha baadhi ya maneno e.g.
1........Mt.Yosefu mchumba .... Hapana. Ni Yosefu mume wake huyo bikira....
Kwanini siyo mtumish?Siyo mtumishi.Ni muumini/muamini.
Tupo wengi tujipongeze na Pepsi barrrriiidiii 😂😝..... Unapata amani sana hasa nikienda Misa za asubuhiiMi pia nakipenda sana, huwa natulia kusikiliza jinsi padri anavyotiririka, kinasomwa wakati wa kujiandaa kupokea sakramenti ya komunio
Kila dhehebu lina namna ya miundo ya maneno yake na matumizi kiutofauti na wengine.Kwanini siyo mtumish?