Waw! Hapo mm nakuwaga bize nakiandaa (naki-seti)kinanda U60 tayari kwa nyimbo za komunio. Inapendeza sana.Tupo wengi tujipongeze na Pepsi barrrriiidiii 😂😝..... Unapata amani sana hasa nikienda Misa za asubuhii
Nini maana ya mtumishKila dhehebu lina namna ya miundo ya maneno yake na matumizi kiutofauti na wengine.
Usiwe na mbichwa mgumu kuelewa kama msukuma kashiba michembe mixer masangu makavu.Kanisa Katoliki lina miundo na matumizi yake kipekee.Neno mtumishi mpelekee Masanja na walokole wengine.Nini maana ya mtumish
Kuna mtu alikudanganya
Siyo kweli mtumish ni neno ambalo limetoakana na neno mtumwaUsiwe na mbichwa mgumu kuelewa kama msukuma kashiba michembe mixer masangu makavu.Kanisa Katoliki lina miundo na matumizi yake kipekee.Neno mtumishi mpelekee Masanja na walokole wengine.
Ila wewe ni kaongo sana.Ndiyo unyumbuaji wako wa maneno unavyokutuma iwe hivyo?Siyo kweli mtumish ni neno ambalo limetoakana na neno mtumwa
Sisi sote ni watumwa yaan watumishi wa KRISTO, uwe msabato au mkatoliki bado wewe ni mtumwa wa kristo
Ndo maana nimekwambia Kuna mtu alikudanganya
Ngoja nikuache na ubishi wakoIla wewe ni kaongo sana.Ndiyo unyumbuaji wako wa maneno unavyokutuma iwe hivyo?
Weweeee! Kwa Wakatoliki, neno mtumishi linatumika kwa wale madogo (waministrants) wanaosaidia huduma altareni e.g. kugonga kengele, kubeba msalaba kumpelekea padre vikombe, chetezo n.kSiyo kweli mtumish ni neno ambalo limetoakana na neno mtumwa
Sisi sote ni watumwa yaan watumishi wa KRISTO, uwe msabato au mkatoliki bado wewe ni mtumwa wa kristo
Ndo maana nimekwambia Kuna mtu alikudanganya
Kutoka mtumwa kuwa mtumishi.Basi hata kutoka punda itakuwa pudding.Ngoja nikuache na ubishi wako
Mkuu anza kupenda pia Maelezo baada ya "Kweli Ni Vyema Na haki......" Kila jumapili yafuatilie kwa Ukaribu na Kisha Uungane na viumbe wote kuimba kwa furaha "Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Wa Majeshi....."Kwa njia yake yeye pamoja naye na ndanii yake
Wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unavitia vitu vyote heshima na utukufu ....
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani..... Ulikamilishe katika upendo pamoja na Umkumbuke Baba Mtakatifu wetu , maaskofu, mapadri na maklero wote
KWa wema usikilize Sala za jamaa
Iliyokusanyika mbele yako kwa maombezi ya bikra maria mama Mungu na Mtakatifu Yosefu mchumba pamoja na watakatifu waliokupendeza tangu hapo kale...
Uwakumbuke ndugu zetu waliofariki wakiwa na tumaini la kukutana nawe
Hiki kipande nakipenda sana nakuwa na utulivu mno japo Kuna maneno nimeruka!! sikumbuk yote!
Ibada ile nilikuwa naijua vzr hata hapo nilikuwa napapendaMkuu anza kupenda pia Maelezo baada ya "Kweli Ni Vyema Na haki......" Kila jumapili yafuatilie kwa Ukaribu na Kisha Uungane na viumbe wote kuimba kwa furaha "Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Wa Majeshi....."
Kumbe unacheza na piano keys!!Waw! Hapo mm nakuwaga bize nakiandaa (naki-seti)kinanda U60 tayari kwa nyimbo za komunio. Inapendeza sana.
Yaap niliendelea baada ya O-level nikandelea huku kwingineYap! una kumbukumbu nzuri. Je, uliishia hapo kuwa mministranti au uliendelea Seminari etc.?
SahihiWeweeee! Kwa Wakatoliki, neno mtumishi linatumika kwa wale madogo (waministrants) wanaosaidia huduma altareni e.g. kugonga kengele, kubeba msalaba kumpelekea padre vikombe, chetezo n.k
Hiyo defn. yako ya eti ni mtumwa wa kristo sio kweli kwani Yesu hakuja kutumikiwa bali kutumika ref.aliwatawadha miguu wanafunzi wake ile Alhamisi.
Mkuu,ktk Kanisa Katoliki utakaposema mtumishi moja kwa moja watu wataelewa unamaanisha wale watumishi wa altareni na siyo padre au askofu.Nini maana ya mtumish
Kuna mtu alikudanganya
Mtumish ni kwa ujumla yaan ufuas wa YESU KRISTOMkuu,ktk Kanisa Katoliki utakaposema mtumishi moja kwa moja watu wataelewa unamaanisha wale watumishi wa altareni na siyo padre au askofu.
Padre au Askofu anatambulika kama kuhani,sijui kila kitu nipo tayari kuelimishwa.
Hayo yote sikatai but protocol hauwezi ukamsimamisha Askofu let's say Ruwaichi kwa kumwambia “mtumishi Ruwaichi nakuomba usimame” lazima utatia neno “Mtumishi wa Bwana Askofu Ruwaichi.....” hapo ndiyo italeta maana.Mtumish ni kwa ujumla yaan ufuas wa YESU KRISTO
Hizo padre, askofu, mtawa , kateksita, mchungaji ni vyeo tu lakini wote ni watumishi