Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Unafahamu maudhui ya kitabu cha Ufunuo...Unafahamu walengwa hasa wa kile Kitabu...? Unafahamu kiliandikwa nyakati zipi...?naamini ukisoma Ufunuo wa Yohana kwa msaada wa Roho Mtakatifu utagundua kuwa kauli uliyotoa ni mbaya sana.. Mwenyezi Mungu akufunulie neno lake takatifu, Amen
Sawa kabisa Hosea 4:6 anatuambia..Imeandikwa, "..watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."
Ni Biblia ipi hiyo unayoizungumzia au ni zile Manuscrpit za Kibibi Ellen G White..? Maana zile manuscript ndo zimejaa mambo ya ajabu yaliyopotosha mana halisi ya vitabu vya Ufunuo vya Yohana na Daniel...hivi ndugu yangu ni lini utaukimbia ukweli? nakushauri usome Biblia Takatifu na umwombe Mungu akufunue akili kabla hujachelewa maana huhitaji kuweka kidole kwenye moto ukibisha kuwa hauunguzi
Labda ni Ufunuo mwinngine....Ila siyo ile Apokalpse ya Yohane ninayoifahamu kilichoandikwa yapata mwaka 54BK hadi 68.... Mkuu labda ni kitabu kingine unamaanisha...Ufunuo wa Yohana waelezea kila kitu. Muombe Mwenyezi Mungu kabla hujakisoma ili akufunue akili haya yote yapo humo
Ant-Christ yupo wapi...? Usianiambie kasome Biblia...Inamaana hujui kuwa papa ni agent wa anti-Christ?@Chemtrail
He has no followers but christ has. Baba mtakatifu ana chukua nafasi ya Petro mtume. So ni kiongozi mkubwa katika kanisa katoliki ila si Mungu. Wakatoliki ni wafuasi wa kristu. Mama Maria akuombee upate kuelewa imani ya kikristu ndani ya kanisa katoliki.He will deceive many and having many followers in the world.he claims to take a position of GOD in earth!..he has a title name VICARIOUS FILII DEI means In place of GOD.
hakuna ajuaye siku ya kurudi kwa YESU KRISTO ila Mwenyezi Mungu mwenyewe. Binadamu ni nani hata aweze kuijua?
pili, njia pekee ya kukamilika kiimani Kikristo ni kupitia BIBLIA TAKATIFU pekee na ndio chanzo cha waprotestant kujitenga na Kanisa la Roma ambalo linafundisha kuwa Pope ndie aliye "infallible"
tatu, unachokisema kimepotoka ndugu. nakushauri ukisome kitabu cha Ellen White "Tumaini Kuu" ili uone essence ya kitabu chake ni nini maana umekitaja as if ni biblia.
nne, fatilia kisa cha Luther mpaka kuja kuuwawa kwake halafu uje uniambie nani alikuwa mpinga kristo kama sio Pope Gregory VII na wenzake. walikuwa wanatoa "vyeti vya msamaha wa dhambi" as if wao ndo wenye authority ya kusamehe dhambi
tano, Fatilia chanzo cha French revolution 1789 na "Guillotine." na kisa cha watu kuchomwa moto hai katika kipindi hiko
na leo Pope anaidhinisha "microchip" mwenye kuelewa na aelewe ila nashauri watu walinganishe statement ya Pope na maandiko ya Biblia kwenye Ufunuo wa Yohana kabla ya kuja kumbishia mleta uzi.
Mkuu hivi umeishia darasa la ngapi..?ndo "MAJESUTI"
Hivi mkuu, naomba nikuulize swali, Hivi unamfahamu William Miller pamoja na Millerite Group...? Maana mambo mengine kazima ujue chanzo,, Nijibu hapo
Umetolea wapi hii...?source ..?USIBISHE USILOKUWA NA UHAKIKA NALO.. KISA CHA POPE GROGORY VII NA WALIOMFUATIA KUAGIZA LUTHER NA WAFUASI WAKE WACHOMWE MOTO WANGALI HAI NI NINI?
Ehhh! Sasa mbona hujajibu nilichokuuliza....?? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga...?I AM AFRICAN UNBROKEN SPIRIT. I DON'T FALL UNDER ANY LOW LEVEL LIFE OF CAVE DWELLERS A.K.A THE BEAST. NAFAHAMU SANA JINSI YA MADUDU YANAYOFANYWA NA WATU WA ULIMWENGU HUU HADAA. SIHITAJI KUINTERTAIN UPUMBAVU UNAOITWA UCHUNGAJI, DINI, NA WASHIRIKA WA MAENDELEO AMA WAFADHILI.
SINA IMPURITIES HIZO. AM FREE AND AND CLEAN. I JUST LET MY WORKS TO BE SEEN. MY AFRICAN LAND IS THE LAND OF GODS. PURE LAND OF LIFE AND DESTINY. THE HOLY LAND OF ALL LANDS. SIHITAJI MISUMARI KICHWANI MWANGU.
Ohhh! hawa Wasabato wako wengi....RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) kwenye mkutano wa Ravenna, mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
.
.
n.k
EXACTLYKutenganisha kanisa katoliki na illuminat ni sawa na kutenganisha mapacha walioungana moyo (wanao-share moyo mmoja).
Hebu ngoja kwanza.... Unamfahamu William Miller, Joseph Bates, Hiram Edson...?? Umeshawahi kuwasikia hawa watu...Wewe unayejielewa na mwenye kujua, eleza unachojua kwa kuambatanisha references!
Ukweli upi...?Na bado mtaona mengi zaidi ya hayo. ,,, siku mnakuja kuugundua ukwel mshachelewa,,,,,
Na wewe ulivyo zuzu ukaunga mkno hoja,.... DaahEXACTLY
Fact
Nimekumbuka movie moja ya The Physicist. Dr alikataliwa kumfanyia mtu operation miaka ya Middle Ages kwa sababu viongozi wa kanisa waliamini ni kinyume na Mungu kumpasua mtu.
I mean; sometimes imani zinaweza kutufanya kuwa wajinga na kukataa kubadilika.
Pia kama ina faida na manufaa kwanini tuzuie kwa kuona ni mwisho wa dunia na ushetani? Kwanza sio kila mtu ni mkristu na sio kila mtu ana dini hiyo inayotazama mwisho wa dunia kihivyo. So haiwezekani kukataa jambo mtazamo wa dini moja ambayo haina facts bali ni conspiracies tu.
Hizi conspiracy zinachanganya watu na kujaza watu ujinga wa kufikiri. Kila kitu mnaona 666.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mbona chip za kwenye magari/GPS /tracking systems tumezikubali?
wewe c z.uzu na ch.izi huwezijua mambo ya Illuminati conspiracy yapo nje ya uwezo wako,tuliaNa wewe ulivyo zuzu ukaunga mkno hoja,.... Daah