Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

naamini ukisoma Ufunuo wa Yohana kwa msaada wa Roho Mtakatifu utagundua kuwa kauli uliyotoa ni mbaya sana.. Mwenyezi Mungu akufunulie neno lake takatifu, Amen
Unafahamu maudhui ya kitabu cha Ufunuo...Unafahamu walengwa hasa wa kile Kitabu...? Unafahamu kiliandikwa nyakati zipi...?

Hivi huko makanisani kwenu mnaendaga kufundishwa ujinga au...?
 
Imeandikwa, "..watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."
Sawa kabisa Hosea 4:6 anatuambia..

Unajua mkuu Kibibi Ellen G White ilikuwa ni laana iliyowakosesha maarifa Wasabato wengi.... Hii ilikuwa ni laana nyingine katika dunia...Unamfahamu au ulishawahi msikia...?
 
hivi ndugu yangu ni lini utaukimbia ukweli? nakushauri usome Biblia Takatifu na umwombe Mungu akufunue akili kabla hujachelewa maana huhitaji kuweka kidole kwenye moto ukibisha kuwa hauunguzi
Ni Biblia ipi hiyo unayoizungumzia au ni zile Manuscrpit za Kibibi Ellen G White..? Maana zile manuscript ndo zimejaa mambo ya ajabu yaliyopotosha mana halisi ya vitabu vya Ufunuo vya Yohana na Daniel...
 
Ufunuo wa Yohana waelezea kila kitu. Muombe Mwenyezi Mungu kabla hujakisoma ili akufunue akili haya yote yapo humo
Labda ni Ufunuo mwinngine....Ila siyo ile Apokalpse ya Yohane ninayoifahamu kilichoandikwa yapata mwaka 54BK hadi 68.... Mkuu labda ni kitabu kingine unamaanisha...
 
He will deceive many and having many followers in the world.he claims to take a position of GOD in earth!..he has a title name VICARIOUS FILII DEI means In place of GOD.
He has no followers but christ has. Baba mtakatifu ana chukua nafasi ya Petro mtume. So ni kiongozi mkubwa katika kanisa katoliki ila si Mungu. Wakatoliki ni wafuasi wa kristu. Mama Maria akuombee upate kuelewa imani ya kikristu ndani ya kanisa katoliki.
 
hakuna ajuaye siku ya kurudi kwa YESU KRISTO ila Mwenyezi Mungu mwenyewe. Binadamu ni nani hata aweze kuijua?

pili, njia pekee ya kukamilika kiimani Kikristo ni kupitia BIBLIA TAKATIFU pekee na ndio chanzo cha waprotestant kujitenga na Kanisa la Roma ambalo linafundisha kuwa Pope ndie aliye "infallible"

tatu, unachokisema kimepotoka ndugu. nakushauri ukisome kitabu cha Ellen White "Tumaini Kuu" ili uone essence ya kitabu chake ni nini maana umekitaja as if ni biblia.

nne, fatilia kisa cha Luther mpaka kuja kuuwawa kwake halafu uje uniambie nani alikuwa mpinga kristo kama sio Pope Gregory VII na wenzake. walikuwa wanatoa "vyeti vya msamaha wa dhambi" as if wao ndo wenye authority ya kusamehe dhambi

tano, Fatilia chanzo cha French revolution 1789 na "Guillotine." na kisa cha watu kuchomwa moto hai katika kipindi hiko

na leo Pope anaidhinisha "microchip" mwenye kuelewa na aelewe ila nashauri watu walinganishe statement ya Pope na maandiko ya Biblia kwenye Ufunuo wa Yohana kabla ya kuja kumbishia mleta uzi.

Hapo kwenye Red
Kanisa la kisabato pamoja na yule kahaba wa marekani aliyepatwa na ugonjwa wa akili Ellen g Whitte wanafahamu...au ulikuwa hujui...?

Hapo kwenye BLUE
Hapana njia pekee kukamilika kiimani ni Kupitia kwa Yesu Kristo Pekee...Biblia ni Msaada kufanikisha ilo pamoja na mapokeo mengine

Hapo kwenye zambarau..
OK! Nilikuwa nataka kujua najadiliana na nani...Ohhh! Kumbe wewe ni mfuasi wa Bi Ellena White...? sasa kwa taarifa yako hivyo vitabu vyake karibia vyote nimevisoma na bado naendelea kuvisoma...
 
Hivi mkuu, naomba nikuulize swali, Hivi unamfahamu William Miller pamoja na Millerite Group...? Maana mambo mengine kazima ujue chanzo,, Nijibu hapo

I AM AFRICAN UNBROKEN SPIRIT. I DON'T FALL UNDER ANY LOW LEVEL LIFE OF CAVE DWELLERS A.K.A THE BEAST. NAFAHAMU SANA JINSI YA MADUDU YANAYOFANYWA NA WATU WA ULIMWENGU HUU HADAA. SIHITAJI KUINTERTAIN UPUMBAVU UNAOITWA UCHUNGAJI, DINI, NA WASHIRIKA WA MAENDELEO AMA WAFADHILI.

SINA IMPURITIES HIZO. AM FREE AND AND CLEAN. I JUST LET MY WORKS TO BE SEEN. MY AFRICAN LAND IS THE LAND OF GODS. PURE LAND OF LIFE AND DESTINY. THE HOLY LAND OF ALL LANDS. SIHITAJI MISUMARI KICHWANI MWANGU.
 
I AM AFRICAN UNBROKEN SPIRIT. I DON'T FALL UNDER ANY LOW LEVEL LIFE OF CAVE DWELLERS A.K.A THE BEAST. NAFAHAMU SANA JINSI YA MADUDU YANAYOFANYWA NA WATU WA ULIMWENGU HUU HADAA. SIHITAJI KUINTERTAIN UPUMBAVU UNAOITWA UCHUNGAJI, DINI, NA WASHIRIKA WA MAENDELEO AMA WAFADHILI.

SINA IMPURITIES HIZO. AM FREE AND AND CLEAN. I JUST LET MY WORKS TO BE SEEN. MY AFRICAN LAND IS THE LAND OF GODS. PURE LAND OF LIFE AND DESTINY. THE HOLY LAND OF ALL LANDS. SIHITAJI MISUMARI KICHWANI MWANGU.
Ehhh! Sasa mbona hujajibu nilichokuuliza....?? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga...?
 
RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) kwenye mkutano wa Ravenna, mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
.
.
n.k
Ohhh! hawa Wasabato wako wengi....

William Miller pamoja na kundi lake la kina Ellen G White walitenda kosa kubwa sana hapa Duniani..

anyway Wasabato ni moja ya CULT zilizopata kuenea duniania hasa afrika..Wenza Jehova Witness bado wana jikongongoja..
 
Na bado mtaona mengi zaidi ya hayo. ,,, siku mnakuja kuugundua ukwel mshachelewa,,,,,
 
Wewe unayejielewa na mwenye kujua, eleza unachojua kwa kuambatanisha references!
Hebu ngoja kwanza.... Unamfahamu William Miller, Joseph Bates, Hiram Edson...?? Umeshawahi kuwasikia hawa watu...


Maana ili tuende pamoja tunatakiwa tuwekane sawa kwenye historia ya hao watu..
 
a287cdca7ecd8e65121a56970b04ef61.jpg


Nimekumbuka movie moja ya The Physicist. Dr alikataliwa kumfanyia mtu operation miaka ya Middle Ages kwa sababu viongozi wa kanisa waliamini ni kinyume na Mungu kumpasua mtu.

I mean; sometimes imani zinaweza kutufanya kuwa wajinga na kukataa kubadilika.

Pia kama ina faida na manufaa kwanini tuzuie kwa kuona ni mwisho wa dunia na ushetani? Kwanza sio kila mtu ni mkristu na sio kila mtu ana dini hiyo inayotazama mwisho wa dunia kihivyo. So haiwezekani kukataa jambo mtazamo wa dini moja ambayo haina facts bali ni conspiracies tu.

Hizi conspiracy zinachanganya watu na kujaza watu ujinga wa kufikiri. Kila kitu mnaona 666.
Fact
 
Back
Top Bottom