Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Iluminat ikianza mwaka 1700
Kanisa katoliki likianza mwaka wa 30 bk hoja yako nini sasa
RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) kwenye mkutano wa Ravenna, mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
.
.
n.k
 
RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
.
.
n.k
Nimegundua hujielewi wala hujui unachozungumza
 
Katika hali ya kushangaza, Papa Francis amejitokeza hadharani kuunga mkono matumizi ya vichipu vya RFID, yaani Radio Frequency Identification kwa wanadamu. Amesema tekinolojia hii inaleta matumaini makubwa katika kutatua matatizo mengi ya wanadamu na hivyo kuboresha ustawi wao.

Matamshi haya yanakuja huku akijua msimamo wa kiimani wa makanisa mengi ya Kikristo na hata kanisa Katoliki lenyewe. Makanisa mengi ya kikristo yanaamini kwamba RFID chipping ni alama ya mnyama au Shetani kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Ufunuo. Tukio hili kufuatana na imani ya makanisa haya, linaashiria mwisho wa dunia.

Katika kitabu cha Ufunuo13 msitari wa 16-18 tunasoma maneno haya, 16Naye alimlazimisha kila mtu, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea chapa katika mkono wake wa kulia au paji la uso, 17 ili kila mtu asiweze kununua au kuuza mpaka awe na hiyo chapa, ambalo ndilo jina la huyo mnyama au namba ya jina lake. 18 Hii inahitaji hekima, kama mtu ana ufahamu aitafute namba ya huyo mnyama, kwa sababu ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.

Kwa wale wachunguzi watakubaliana na mimi kwamba namba hii inatumika sana siku hizi.Wapo ambao wanaitumia kwa uwazi kwenye bidhaa. Wanamuziki wa Rock hasa nchi za Ulaya na Marekani nao wanaitumia sana, lakini wengi wanatumia kwa siri, kwa hiyo inahitaji umakini mkubwa kuweza kujua kwamba ni 666. Hata logo ya Olympic ina namba 666. Matumizi ya namba hii kwenye barcodes ni wazi kidogo!

Katika hotuba yake ya kila wiki Vatican, Papa alizungumzia juu ya imani aliyonayo kwenye tekinolojia ya RFID. Aliwahakikishia waumini wake kwamba hakuna athari zozote za kiroho au kiafya zinazoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID. Hata hivyo inafahamika kwamba yapo matatizo makubwa ya kiafya yanayoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID vinapochoka, ikiwa ni pamoja na maumivu makali mwilini na majipu mwili mzima.

Aliendelea kwa kusema wamechunguza maandiko vizuri na hivyo wanaweza kusema kwamba hakuna ushahidi wowote unao-onyesha kwamba vichipu vya RFID ambacho kinawekwa mwilini kina muwakilisha Shetani. Nadhani alisahau Ufunuo 13:16-18! Aliongeza kusema RFID ni baraka kutoka kwa Mungu mwenyewe ambayo ameileta kwa wanadamu.

Aliwaomba wauminu wa Kanisa Katoliki waipokee baraka hii kwa moyo mmoja. Alimalizia kwa kusema kuanzia sasa itakuwa lazima kwa kila mfanyikazi wa Vatican kuwekewa kichipu cha RFID.

Kusoma zaidi:Google "Pope Francis goes public in support of RFID implantation. "
www.theepochtimes.com/n3/687952-pope-francis-rfid-hoax-goes-public-with-support-of-rfid-micro-chip-implantation-is-fake/?utm_expvariant=D002_02&utm_expid=21082672-12.InTAp1P_QWuf9wSnIRJAqg.1
 
Mkuu, hawa watu wanapaswa kuonewa huruma. Wana ujinga mkubwa juu ya uelewa wa maandiko matakatifu hasa hiyo namba 666
Hamna kibaya kujifanya unatafsiri kilichoandikwa sawa sawa ati maana yake ni tofauti.. Wewe ubadilishe kivipi na walioandika si wangeandika unavyotaka wewe... Someni na msibadilishe neno au maneno imeandikwa ole wao watakaobadilisha neno au kuongeza... Kama mnaona biblia kilichoandikwa maana yake ni nyingine basi andikeni mpya kama mtakavyo kama Roman wanayao... Me huwa nachukia sana watu wanaojidai kitafsiri tofauti na story ya bible... Kama mnaiweza isomeni na msipotoshe wengine... Amueni na mseme biblia imekosewa na sio biblia ina mafumbo... Hiyo 666 kwenye paji kama itakuja basi ni hivyo hivyo kama ilivyo... Mbona Manchester united ipo wazi red devil
 
Maandiko yanatimia !! Hatuwezi kuzuia kutimia kwa unabii. Yesu alisema, " Mbingu na nchi zitapita lakini Maneno yangu hayatapita" Cha msingi usiwe mmojawapo wa watakaoyatimiza maandiko !!
 
The issue watu wenye kuamini Dini kwa uoga always huchanganya madesa... The issue Mpinga kristo haihusiani na kukosa maarifa ili kutoangamia na solution za bible za kuepukana na majanga ni kujenga juu ya mwamba imara ukiumwa na nyoka uitizame sanamu ya nyoka same kama ile nembo Muhimbili hospital... Kula vyakula vilivyokatazwa kwenye agano la kale zaidi angalizo lipo kwenye ufunuo.. Sasa ikija volcano mnakufa kimbunga mnakufa mvua mnakufa,jua mnakufa,baharini mnakufa angani mnakufa... Maalifa labda kwenda Mars au Jupiter....

Historia inaonesha Mpinga kristo ilikuwa ni serikali ya Roma miaka ya Yesu kwani alitabiliwa ndie atakuwa mfalme Wa wayahudi so walihakikisha anaishi bila Amani na ndio ilivyokuwa siku ya uchungu ilibidi azaliwe zizini asiuliwe akiwa kichanga,and then akatoroshwa Egypt hadi Roman walipojiridhisha watoto wote wameuawa akarejeshwa baada ya miaka kadhaa... And then alipotimiza miaka 12 akasepa ughaibuni nchi za Iraq Uturuki hadi uchina masomoni akarejea alipofikisha miaka 30 akaishi kidogo Wa Roma wakamtight akamalizwa ila yasemekana Wanafunzi wake wakamuiba akiwa amezirai wakamtibu na dawa kali sana ya manemane akazinduka na aliwaaga akapanda mlima akateremkia upande Wa pili akasafiri huko uturuki hadi India mji uitwao Kashmir na ndipo kaburi lake lipo hadi leo hii fika huko utapata historia yake na huko uchina Tibet chuo kikuu Kuna signature zake na alikuwa msomi haswa...
mimi sijui unalolisema ndugu yangu ila naamini kilichoandikwa kwenye BIBLIA (UNION VERSION) na kinanitosha. hayo mengine wala sitahangaika nayo
 
Huu tunasema ni umbumbumbu katika usomaji na uelewa wa maandiko. Huyu haelewi hata tafsiri ya namba 666.
 
RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) kwenye mkutano wa Ravenna, mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
Endelea kukariri biblia. Wenzio wanasoma theology yaani elimu ya dini -chuoni- seminary kwa miaka 9 na bado hawaimalizi. Mtangulize Mungu katika kila jambo na utafanikiwa. Kuisoma biblia juu juu na kuitafsiri bila kujua chimbuko lake waachie yale makanisa ya Miujiza na wapiga pesa.
.
.
n.k
 
Hakuna sababu ya kuhamaki. Kwanza ungekuwa na busara ungenishukuru. Mimi sipati faida yeyote kuleta taarifa hii, I am just helping you to make an imformed decision. Hata hivyo kama unataka kupata taarifa kamili
Google"Pope Francis goes public in support of the RFID implantation. " Kwanza taarifa hii is just a tip in the iceberg, mambo makubwa zaidi na ya kushangaza yatatokea katika kanisa la Katoliki katika siku za hivi karibuni!

Nakubaliana na wewe kwamba kuna mambo mengi makubwa na ya kushangaza yanafanywa na Pope francis. Mimi ni mkatoliki lakini kuwa mkatoliki hamaanishi nisifanye utafiti taarifa inayoonyesha negatice side ya kanisa langu. Badala ya mtu kutukana au kukejeli fanya utafiti wako.

Go to Google, Youtube, na sehemu nyingine ambapo taarifa zaweza kupatikana upate ukweli. Personally I believe we are at the end of times. Pope Francis and Obama are doing a lot to fulfill the prophecy.

>The Obama care
>Human trafficking done by Rome
>Engineering of eliminating Religious boundaries between Catholics, Lutheran(took place in US by pope francis), Muslims and Jews then to pray under one roof(one religion) na vitu vingi vya kushangaza vinavyofanywa na Pope na Obama.
>Pope kusema hawezi kuwakemea au kuwatenga Mashoga (Hata picha yake ilitokea kwenye from page ya jarida la taasisi ya Mashoga pindi alipotoa hiyo kauli; go find it)

Analysts are saying kwamba kazi ya Pope is to bring one religion while ya Obama is to bring One world government (the new world order). Sikushawishi uamini maneno yangu, go find yourself

I respect somebody who bring challenges, new ideas; but I ignore people whom their job is to criticize or argue with no point of reference.
This is real and it is happening now. Do your homework so that you can make right decisions
 
Nakubaliana na wewe kwamba kuna mambo mengi makubwa na ya kushangaza yanafanywa na Pope francis. Mimi ni mkatoliki lakini kuwa mkatoliki hamaanishi nisifanye utafiti taarifa inayoonyesha negatice side ya kanisa langu. Badala ya mtu kutukana au kukejeli fanya utafiti wako.

Go to Google, Youtube, na sehemu nyingine ambapo taarifa zaweza kupatikana upate ukweli. Personally I believe we are at the end of times. Pope Francis and Obama are doing a lot to fulfill the prophecy.

>The Obama care
>Human trafficking done by Rome
>Engineering of eliminating Religious boundaries between Catholics, Lutheran(took place in US by pope francis), Muslims and Jews then to pray under one roof(one religion) na vitu vingi vya kushangaza vinavyofanywa na Pope na Obama.
>Pope kusema hawezi kuwakemea au kuwatenga Mashoga (Hata picha yake ilitokea kwenye from page ya jarida la taasisi ya Mashoga pindi alipotoa hiyo kauli; go find it)

Analysts are saying kwamba kazi ya Pope is to bring one religion while ya Obama is to bring One world government (the new world order). Sikushawishi uamini maneno yangu, go find yourself

I respect somebody who bring challenges, new ideas; but I ignore people whom their job is to criticize or argue with no point of reference.
This is real and it is happening now. Do your homework so that you can make right decisions
mkuu upo sahihi sana...asikiae na afahamu!
 
RC (Vatican church) ni miongoni mwa waanzilishi wa Illuminat. Kwa taarifa yako huo mwaka unaotangazwa Illuminat kuanzishwa ni wa vitabuni tu. Kimsingi walishaanza kutenda kazi miaka mingi kabla yake.
Nikupe mfano: RC ilirasimisha ubatizo wa kunyunyiza maji (contrary to the Bible) kwenye mkutano wa Ravenna, mwaka 1311 BK lakini walikuwa wakitumia ubatizo wa aina hiyo miaka mingi kabla (rejea waraka wa Papa Kornelio I akizungumzia kifo cha Novatian (Novatus)). Pia walimu kama Hippolytus wa Rumi, mwaka 215 BK, Fabius wa Antiokia; mwaka 250 BK; Cyprian, mwaka 255 BK; na wengine walitetea ubatizo wa kumwagia na kunyunyiza.
Kanisa Katoliki ni wapinga Kristo namba moja kwa sababu mnaipinga Biblia na kufundisha uongo, mfano:
1. Hakuna kuokoka duniani (Luka 19:9-10)
2. Hakuna watakatifu duniani (Zaburi 16:3)
3. Mnakunywa pombe (kileo)- (1Petro 4:2-5, Waefeso 5:18)
4. Mnabatiza kwa kunyunyiza kinyume na maana ya neno ubatizo (baptisma (noun), baptizo(verb)). Yesu alibatizwa kwa maji mengi (Mathayo 3:13-17)
5. Mnabatiza watoto wachanga (Marko 16:16 - Mtoto hajui chochote hivyo hawezi kuamini)
6.Mnapinga kunena kwa lugha mpya (Matendo 2:1-4)
7. Mnaombea marehemu ili Mungu awasamehe dhambi zao (Waebrania 9:27)
8. Mmejenga kanisa la Vatican juu ya kaburi la Petro ili kufanania kauli ya Yesu kwenye Mathayo 16:18 kumbe Yesu hakumaanisha hivyo
.
.
.
n.k
Umeandika vizuri ila hapo kwenye namba 6.

Mmh, kasome tena....
 
Nakubaliana na wewe kwamba kuna mambo mengi makubwa na ya kushangaza yanafanywa na Pope francis. Mimi ni mkatoliki lakini kuwa mkatoliki hamaanishi nisifanye utafiti taarifa inayoonyesha negatice side ya kanisa langu. Badala ya mtu kutukana au kukejeli fanya utafiti wako.

Go to Google, Youtube, na sehemu nyingine ambapo taarifa zaweza kupatikana upate ukweli. Personally I believe we are at the end of times. Pope Francis and Obama are doing a lot to fulfill the prophecy.

>The Obama care
>Human trafficking done by Rome
>Engineering of eliminating Religious boundaries between Catholics, Lutheran(took place in US by pope francis), Muslims and Jews then to pray under one roof(one religion) na vitu vingi vya kushangaza vinavyofanywa na Pope na Obama.
>Pope kusema hawezi kuwakemea au kuwatenga Mashoga (Hata picha yake ilitokea kwenye from page ya jarida la taasisi ya Mashoga pindi alipotoa hiyo kauli; go find it)

Analysts are saying kwamba kazi ya Pope is to bring one religion while ya Obama is to bring One world government (the new world order). Sikushawishi uamini maneno yangu, go find yourself

I respect somebody who bring challenges, new ideas; but I ignore people whom their job is to criticize or argue with no point of reference.
This is real and it is happening now. Do your homework so that you can make right decisions
Mara ya mwisho kupima magonjwa ya akili ni lini..?
 
unajua aya mambo yapo kwenye biblia hasa kitabu cha ufunuo kama mtoa Uzi alivyo toa mfano wa ufunuo kiukwel biblia ukisoma ufunuo wa yohana akiwa katika kisiwa cha patmo alifunuliwa na mungu mambo ambayo ayana budi kutokea siku za uson kama ayo
Kitabu cha Apokalpse cha Yohana hakukiandikwa kwaajili ya nyakati hizi...Huu upuuzi umeutolea wapi..
 
Wengi humu hawataki ukweli huo lakini kweli ni kweli tu ata kama hautaki, papa ni mwanachama wa Jesuit group ambao ndio wamejenga institutions nyingi ikiwamo shule ya Loyola, ni kitengo cha freemasonry aka illuminants.
Dada yangu hebu muulize mzazi wako kama alishawahi kukuangusha ukapigiza kichwa chini...Maana inaonekana kama akilizako hazipo...

Labda nikuulize Jesuit Group ndio nini...?
 
KNOWING IS WORTHIER/BETTER THAN BELIEVING. DONT WASTE UR ENERGY TO ARROGANT AND MIND RETARDED PEOPLE.
NO MATTER HOW INFORMATION U DROP, THEY WILL ALWAYS CASTE CURSES/CRITICISM TO YOU.

WE LOST THE WAR IN ANCIENT TIME BECAUSE SOME OF US A.K.A TRAITORS OPENED THE BACK DOOR OF OUR FORTRESS.

BUT THIS TIME WE WILL NOT SHOW MERCY TO OUR ENEMY BROTHERS.

MWAMSHO HUWA KWANZA KWA WATEULE. ILI WENGI WAPATE KUJIFUNZA KWA UJASIRI NA UMADHUBUTI WAO.

WAPUMBAVU KAMA HAO HUTOKANA NA UASILI WA MAKUZI YAKE.
Hivi mkuu, naomba nikuulize swali, Hivi unamfahamu William Miller pamoja na Millerite Group...? Maana mambo mengine kazima ujue chanzo,, Nijibu hapo
 
Back
Top Bottom