Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Mpuuzi mmoja kama wewe huenda unakundi la watu kama 10 hivi wanaokutegemea kimawazo..Sasa ni dhambi kubwa mno kukuacha uendelee kuharibu watu kwa upuuzi..

Ninachokifanya ni kukuweka katika mstari angalau uweze kutumia akili yako...Wewe akili yako nimeichukulia kama zuzu flan hivi...
 
Kumbe alikueleza...? Ni degree za nini hizo..?

Hapo kwenye Red..

Lazima ukae kimya kama huyo zuzu mwenzako aliyeta thread na kushindwa kui-defend thread kwa maswali rahisi niliyomuuliza....
Haya sasa nawewe hebu jibu hilo swali..Inaelekea unajua haya mambo
 
sasa kama unataka nikae kimya,na unahisi papa yuko sahihi,unataka nieleze nn?
 
Hapana, tusikae kimya, lazima tuseme ili waujue ukweli. Wana muda mchache sana uliobaki. Jamaa akisha hamia Jerusalem, it is over. Na sio muda mrefu sana kutoka sasa.
 
sasa kama unataka nikae kimya,na unahisi papa yuko sahihi,unataka nieleze nn?
Nime-quote ulichokiandika.....Ndio maana nikakuweka kundi moja na huyo zuzu...

Ila kama hutojali ni jibu hayo maswali...
 
Hapana, tusikae kimya, lazima tuseme ili waujue ukweli. Wana muda mchache sana uliobaki. Jamaa akisha hamia Jerusalem, it is over. Na sio muda mrefu sana kutoka sasa.

Hii aina tofauti na yale mauaji makubwa yaliyotokea marekani baada ya William Miller kutabiri ujuio wa Yesu..(Great Diaappointment)... Ila huyu bwana alikija kusafishwa ni Kahaba mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa akili Hellen G White....Ilikuwa ni mwaka 1844
 
Nimekuulliza swali , Freemason wanakulipa dollar ngapi mbona husemi?Pia nimekuambia u-google "the secret oath of the Jesuits, " mbona hujaleta
mrejesho?
 
soma vitabu usiwe unatoka povu tuu mkuu,
 
Nimekuulliza swali , Freemason wanakulipa dollar ngapi mbona husemi?
Hii umetolea wapi...? Kwani thread ilikuwa ni yakulipana fedha..? Hao freemason wanapatikana wapi..?

Mimi kukuliza maswali uliyoshindwa kijibu ndio chanzo cha mimi kulipwa na hao freemason(Hii nzuri sana maana ni fursa)....Daah...Unalaana!!?
 
ndio maana nimeishia hapo mkuu,nilijua kuna watu wanaumia na huu ukweli,tufanye yaishe tuu mkuu and am so sorry
Kweli lazima isemwe..... Sasa kama wewe si mnafiki kwanini unaficha hiyo kweli..? Huenda wewe ni muongo ..

Halafu ni watu gani hao wanaumia..? Mbona unataka kuvika watu lawama za kuumia...? Hao watu wanaomia wako wapi..?

Lete hicho ulichoelewa kwenye vitabu tuchambue hapa....
 
Kuna ukweli hapa, lakini, Mwenye haki ataishi kwa imani,
 
Mungu Mwenye Enzi akubariki akuongezee maharifa na juhudi katika kuwaweka sahihi waja wake.
 
Hawajii kuwa biblia ni mali ya Kanisa...Tumefanya kuwapa tu na wao wafaidi Neno la Mungu....Na pia hawajui karibu vitabu vyote vya Agano Jipya vipo ili ku-suit mafundisho ya Kanisa..

Daah
Biblia ni Mali ya kanisa. Kanisa gani? Nisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…