Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Hujui kinachoendelea nyuma ya pazia wewe ndio maana unaongea maneno hayo. Google "The secret oath of the Jesuits "uone mpango wao kwako na mimi na ukweli kuhusu wao.
Hivi hujui kua google ni GIGO? Garbage In Garbage Out. Anaweza lala mjinga mmoja akakurupuka akaandika anachojisikia kisa ana kiblog uchwara. Hivi una yaamini kila yanayooneshwa na google?? Km wewe ni intellectual sidhan km utakua na akili nzuri kuipa google 100% ya research zako.
Hlf btw Kanisa Katoliki ndo Kanisa Mama, ndo maana kny mafunzo hakuna sehemu mtu unafundishwa kumbagua mwenye imani tofaut n wewe. Wote ni wamoja. Ila nyie watu ndo hua mnaletaga utengano mpk mashuleni. Hamshirikiani na wenzenu chaaaaa
 
Kumbe upo,dah,nashukuru bwana.Naona unani-mind sana.Labda hizi nondo zitakusaidia kuchomoka huko.Nina nia njema, sio mbaya mkuu,ingawa uliniita kila jina baya hapa duniani.Kama nilivyosema awali,ni muhimu kila mtu aka-make informed decisions,sio kuburuzwa.Umaamuma ni mbaya sana.
Huu uzi mimi ndio nauendesha maana mbumbumbu kama nyie mmeshindwa jibu maswali yangu....Wenzako wote nikiwapiga maswali wanakimbia..

Niitie Kitaka aje maana namuona yupo online kwenye huu uzi lakini anakodoa macho..

Haya natumai pamoja na kunyemelea uzi ulioanzisha wewe umeshapata majibu ya maswali niliyokuuliza.......Usipoteze muda
 
Wanaoficha uovu wao hayo ndio maneno yao,mbona tunajua.Wamefundishwa kujitetea hivyo na Shetani.Reputed Journals in the world kama Nature na The Economist unazipata Goole,unaongea nini wewe.
Hivi hujui kua google ni GIGO? Garbage In Garbage Out. Anaweza lala mjinga mmoja akakurupuka akaandika anachojisikia kisa ana kiblog uchwara. Hivi una yaamini kila yanayooneshwa na google?? Km wewe ni intellectual sidhan km utakua na akili nzuri kuipa google 100% ya research zako.
Hlf btw Kanisa Katoliki ndo Kanisa Mama, ndo maana kny mafunzo hakuna sehemu mtu unafundishwa kumbagua mwenye imani tofaut n wewe. Wote ni wamoja. Ila nyie watu ndo hua mnaletaga utengano mpk mashuleni. Hamshirikiani na wenzenu chaaaaa
 
Ni swali zuri.Sina hakika na unachokisema,lakini kama kweli umeiona namba 666, ina maana kwamba kampuni hiyo inamilikiwa na Satanist ambaye anamuabudu Shetani.Symbology ina maana sana kwa Satanists.Ni kwamba Satanist anapoitumia symbol yeyote inayomuwakilisha Shetani,kwanza anajitambulisha kwa Satanists wenzie,lakini pia ni kama maombi kwamba utawala wa Shetani uje.Ni kama wewe kama ni Mkristo katika sala ya Bwana unaposema "UFALME WA MUNGU UJE,"Satanists wao kwa matumizi symbols kama 666 wanasema "ufalme wa Shetani uje.'
Usikute ulishiriki kuua wale watafiti kule Dodoma...
 
Hivi hujui kua google ni GIGO? Garbage In Garbage Out. Anaweza lala mjinga mmoja akakurupuka akaandika anachojisikia kisa ana kiblog uchwara. Hivi una yaamini kila yanayooneshwa na google?? Km wewe ni intellectual sidhan km utakua na akili nzuri kuipa google 100% ya research zako.
Hlf btw Kanisa Katoliki ndo Kanisa Mama, ndo maana kny mafunzo hakuna sehemu mtu unafundishwa kumbagua mwenye imani tofaut n wewe. Wote ni wamoja. Ila nyie watu ndo hua mnaletaga utengano mpk mashuleni. Hamshirikiani na wenzenu chaaaaa
Mkuu hawa ni wale wanaokaa kwenye vijiwe vya kahawa ....Ni wakuonea huruma...
Huenda ni Msabato maana hawa wanamatatizo makubwa....
 
Ukiniambia umesoma nini kwenye zile nondo nitakujibu.
Huu uzi mimi ndio nauendesha maana mbumbumbu kama nyie mmeshindwa jibu maswali yangu....Wenzako wote nikiwapiga maswali wanakimbia..

Niitie Kitaka aje maana namuona yupo online kwenye huu uzi lakini anakodoa macho..

Haya natumai pamoja na kunyemelea uzi ulioanzisha wewe umeshapata majibu ya maswali niliyokuuliza.......Usipoteze muda
 
Wanaoficha uovu wao hayo ndio maneno yao,mbona tunajua.Wamefundishwa kujitetea hivyo na Shetani.Reputed Journals in the world kama Nature na The Economist unazipata Goole,unaongea nini wewe.
Huo unaosema ww ndio ushetani maana wewe ndo umekua judge wa mambo ya ki Mungu mpk unatoa hukumu kny Imani za wenzio. Nmesoma mafunzo yote na sijawahi ona mahali mtu anafundishwa kujitetea labda nyie kny mnapoabudu.
 
Wanaoficha uovu wao hayo ndio maneno yao,mbona tunajua.Wamefundishwa kujitetea hivyo na Shetani.Reputed Journals in the world kama Nature na The Economist unazipata Goole,unaongea nini wewe.
Masikini namkumbuka Lowasa na kauli yake
Elimu Elimu Elimu.......

We ni dhehebu gani..?
 
Wanaoficha uovu wao hayo ndio maneno yao,mbona tunajua.Wamefundishwa kujitetea hivyo na Shetani.Reputed Journals in the world kama Nature na The Economist unazipata Goole,unaongea nini wewe.
Nipo na wewe sambamba...

Hebu niambie wewe ni dhehebu gani ili tusipoteze muda..Maana mbumbumbu mwenzako Kitaja keshapotea anachungulia ...
 
Maamuma wanafarijiana,dah.
Nipo nawewe..

Tuendelee...Nilikuuliza maswali hujajibu hata moja...kitendo cha wewe ku-escape maswali rahisi ni ushahidi tosha wewe ni mtupu...Unazolewa kama takataka jalalani..

Jibu maswali...
 
Mkuu hawa ni wale wanaokaa kwenye vijiwe vya kahawa ....Ni wakuonea huruma...
Huenda ni Msabato maana hawa wanamatatizo makubwa....
Na hawanaga kanisa la kulikandia zaidi ya Kanisa Katoliki. Kweli chema siku zote ndio hukandiwa. Wahindi wapo wanaoabudu ng'ombe, nyoka etc ila Kanisa Katoliki ndo la kupingwa siku zote. Wengine wananena kwa lugha na hakuna wa kutafsiri lkn Kanisa Katoliki tu ndo hua linasemwa. Kweli ndipo kny chimbuko la ukristo
 
Mimi niko juu ya dhehebu mkuu.Yesu karibu anarudi bado unaongelea dhehebu?!I am serious,chomoka huko kama unataka kuurithi ufalme wa mbinguni.Ni jioni sana.
Masikini namkumbuka Lowasa na kauli yake
Elimu Elimu Elimu.......

We ni dhehebu gani..?
Masikini namkumbuka Lowasa na kauli yake
Elimu Elimu Elimu.......

We ni dhehebu gani..?
 
Nipo nawewe..

Tuendelee...Nilikuuliza maswali hujajibu hata moja...kitendo cha wewe ku-escape maswali rahisi ni ushahidi tosha wewe ni mtupu...Unazolewa kama takataka jalalani..

Jibu maswali...
Hawanaga hoja zaidi ya maneno ya kijiji cha abunuasi. Ahahahaaaaaaaaa
 
Mbona ya kwangu hujajibu.Hata hivyo nimesema sijibu maswali ya kizushi.
Nipo nawewe..

Tuendelee...Nilikuuliza maswali hujajibu hata moja...kitendo cha wewe ku-escape maswali rahisi ni ushahidi tosha wewe ni mtupu...Uzolewa kama zuzu jalalani..

Jibu maswali...
 
Mimi niko juu ya dhehebu mkuu.Yesu karibu anarudi bado unaongelea dhehebu?!I am serious,chomoka huko kama unataka kuurithi ufalme wa mbinguni.Ni jioni sana.
Ni muhimu sana kujua denomination.....Hata kule Dodoma wale watafiti waluawawa kwasababu ya watu kama wewe...Ni wachungaji wasiokuwa na elimu waliwapandikiza watu uongo eti wamekuja kuwekewa chip itakayo wanyonya damu..

Ulishiriki mauaji kule Dodoma..??
 
This is the Anti Christ we have been reading about. He comes as false religious leader the False pope!!0
 
Back
Top Bottom