Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Mbona wewe unatumia jina la aliyeolewa kumbe na wewe umeolewa!Kama karuhusu kuolewa, sembuse kuoa. Sioni cha kushangaza katika hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe unatumia jina la aliyeolewa kumbe na wewe umeolewa!Kama karuhusu kuolewa, sembuse kuoa. Sioni cha kushangaza katika hilo.
Wale mashehe ubwabwa nao wanasubiri maelekezo ya papa?Afanye haraka kuwapunguzia kufukuana.
Mimi mpogoro, mada inahusu mapadre ushehe waulize waarabu.Wale mashehe ubwabwa nao wanasubiri maelekezo ya papa?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wamechoka kutafuna mbususu kwa kificho na wao wanataka wale laivPapa anadai kuwa takwa la mapadri kutooa lilikuwa ni la muda tu(Takwa hilo lilianza karne ya 11). Anasema hakuna utata wowote iwapo watawa wataoa. Anadai mapadri wa kanisa la mashariki wanaoa na hakuna shida yoyote. Anafanya mpango kureview suala hilo.
======
In a new interview, Pope Francis discussed the possibility of relaxing the discipline of priestly celibacy. Speaking to the Argentinian news website info babe, Pope Francis recalled that in the eastern catholic church, married men are allowed to be.
WION
Hao wanaitwa Matowashi. Na Matowashi ni akina nani?Siyo dini, ni kanisa.
Biblia haijakataza Watawa kuowa au kuolewa, hizo ni Roman Catholic administration tu, usichanganye mambo
Hili suala ni muhimu Sana. Wacha jamaa waoe kwakweli.Papa anadai kuwa takwa la mapadri kutooa lilikuwa ni la muda tu(Takwa hilo lilianza karne ya 11). Anasema hakuna utata wowote iwapo watawa wataoa. Anadai mapadri wa kanisa la mashariki wanaoa na hakuna shida yoyote. Anafanya mpango kureview suala hilo.
======
In a new interview, Pope Francis discussed the possibility of relaxing the discipline of priestly celibacy. Speaking to the Argentinian news website info babe, Pope Francis recalled that in the eastern catholic church, married men are allowed to be.
WION
Kama karuhusu kuolewa, sembuse kuoa. Sioni cha kushangaza katika hilo.
Kwahiyo mapadre wanaoowa siyo mapadre?