Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni agizo la kanisa katoliki, Biblia inamtaka Padre, Shemasi na Askofu ni lazima waowe.Kwani mapadri kutooa ni agizo la nani? Ipo kwenye Biblia? Ni agizo la Mungu? Nini maana ya Padri kutoruhusiwa kuoa?