Ni agizo la kanisa katoliki, Biblia inamtaka Padre, Shemasi na Askofu ni lazima waowe.
1 Tim 3:2-3
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha.