Papa Francis asema kuipa silaha Ukraine inakubalika kimaadili lakini majadiliano ni muhimu

Papa Francis asema kuipa silaha Ukraine inakubalika kimaadili lakini majadiliano ni muhimu

Jina la Israel maana yake ni "MTU aliyepigana na malaika" hata MUNGU mwenyewe alibariki vita Toka enzi na enzi na watu walishinda.

Jaribu kusoma vitabu vitakatifu utapata majibu
Mkuu,

Kuna vitu ukiviangalia katika logical context utaelewa level ya ujinga miongoni mwa watu.

Mtu akivamiwa na SMG kwa hiyo akakimbilie BIBLIA? Hiyo akili ya kufikiria binadamu anaitumia kufanya kazi gani?

Hata uislamu unasema " Pray to Allah, but tie your Camel"

Maisha ya mwanadamu ni pamoja na kuwajibika kwa ngazi tofauti tofauti, nothing is for free- Hata kuiona kesho kuna uwajibikaji ndani yake.

Jeshi la polisi lipo kwa ajili ya kutulinda na kutuhakikishia usalama wetu, lakini pia wanatuhamasisha kuwa na defensive weapons nyumbani kwa kuamini usalama unaanza na mtu mwenyewe.
 
Inabidi na Palestine apewe silaha akabiliane na Israel wakati wanasubiri mazungumzo!
Any success on the Battlefield strengthen your negotiation position, kadiri unavyokuwa dhaifu dhidi ya adui yako, mazungumzo lazima yata-reflect hilo.
 
Hapa naona papa Kakosea,alitakiwa ajikalie Kimya. Kiongozi wa Kiiman Kama yeye Ni hatari kujiinguza kwenye masuala ya kisiasa Kama haya.

Mimi naunga mkono kabisa Ukraine apewe Silaha nzito hata Kama Ni Makombora ya Nyuklia ya Masafa Marefu Ni Sawa TU.
Nadhani kauli hii ameitoa baada ya Putin kukataa kuonana nae mwanzoni wa hii vita.
 
Jina la Israel maana yake ni "MTU aliyepigana na malaika" hata MUNGU mwenyewe alibariki vita Toka enzi na enzi na watu walishinda.

Jaribu kusoma vitabu vitakatifu utapata majibu
Hakuna karatasi/takataka takatifu, ni ujinga kuamini hivyo. Biblia/Quran haina tofauti sana na vitabu vya historia na katiba.
 
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.

Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.

========

Jana Alhamis Papa Francis amesema inakubalika kimaadili kwa mataifa kuipa silaha Ukraine ili kuisaidia nchi hiyo kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.

Akiwa kwenye ndege kutoka kwenye ziara ya siku tatu nchini Kazakhstan, Papa Franscis ameihimiza Kiev kufungua mazungumzo japokuwa yanaweza 'kunuka' kwasababu itakuwa ngumu kwa upande wa Ukraine.

"Kujilinda sio tu haikatazwi bali pia ni kuonesha upendo kwenye ardhi yako. Mtu ambaye hajilindi na halindi chochote, hakipendi. Wale wanaolinda chochote wanakipenda" Alisema Papa

KUHUSU MAZUNGUMZO
Siku zote huwa ni ngumu kuelewa mjadala na nchi ambayo imeanza vita, ni ngumu lakini wazo halitakiwi kutupwa. Siwezi kuondoa wazo la mjadala na mamlaka yoyote iliyo vitani, hata kama na mchokozi

CHANZO: Reuters

View attachment 2358331
Hii ni Vita ya dini Kati ya kanisa la mashariki [ Orthodox ] na kanisa la magharibi [ Kanisa katoliki la Roma ] .

: Dini ni moja ya jambo la kipumbavu kupata kuanzishwa hapa duniani.
 
Duuu!! Sawa mkuu nimekuelewa
Umefanya busara sana, kila mtu asimamie anachokiamini, na siyo kwa sababu yeye haamini na wewe uamini, that's insane. Picha ya profile yake tells it all.

China, members wa pulitburo hawaruhusiwi kuwa na imani kwa Mungu yeyote, ni lazima wame atheist. Wakomunisti kila kitu ni mabavu kuliko akili. CCP Members by default ni ma atheist kwa sababu ukiamini imani nyingine unafukuzwa chama- Si upumbavu huu
 
Umefanya busara sana, kila mtu asimamie anachokiamini, na siyo kwa sababu yeye haamini na wewe uamini, that's insane. Picha ya profile yake tells it all.

China, members wa pulitburo hawaruhusiwi kuwa na imani kwa Mungu yeyote, ni lazima wame atheist. Wakomunisti kila kitu ni mabavu kuliko akili. CCP Members by default ni ma atheist kwa sababu ukiamini imani nyingine unafukuzwa chama- Si upumbavu huu
Huu ni ujinga kuongea vitu vya uongo kuhusu CPC na China.
 
Umefanya busara sana, kila mtu asimamie anachokiamini, na siyo kwa sababu yeye haamini na wewe uamini, that's insane. Picha ya profile yake tells it all.

China, members wa pulitburo hawaruhusiwi kuwa na imani kwa Mungu yeyote, ni lazima wame atheist. Wakomunisti kila kitu ni mabavu kuliko akili. CCP Members by default ni ma atheist kwa sababu ukiamini imani nyingine unafukuzwa chama- Si upumbavu huu
Upo sahihi kabisaa
 
Ukweli ni upi?

Wewe umesema ni upumbavu kuwa atheist, lakini down the line unasema wanaoamini Mungu ni wapumbavu, were do you stand? Is it logically correct.
Dini ni upumbavu na kuwa atheist ni upumbavu mwingine ulio kubuhu ni hivyo tu naweza kusema.
 
Dini ni upumbavu na kuwa atheist ni upumbavu mwingine ulio kubuhu ni hivyo tu naweza kusema.
Kaka embu twende taratibu,

1-Atheist hawamini mambo ya uwepo wa Mungu hivyo automatically hawawezi kuwa na dini,

2-na wenye dini wanaamini kwa Mungu wao wenyewe wanayemwamini.

3-Kwendana na wewe umesema kwamba ma-atheist ni wapumbavu na wenye dini ni wapumbavu.

* OK, napopata tabu sasa, wewe ni atheist au not atheist? Na kama kama haupo kwenye makundi haya mawili( Atheist & no atheist), upo kundi gani? Kama nitakuwa sijakukwaza mkuu
 
Huu ni ujinga kuongea vitu vya uongo kuhusu CPC na China.
"
The regulations were issued by the Communist Party's powerful Organization Department.
Chinese media quoted an official, explaining the new regulations, as saying: "There are clear rules that retired cadres and party members cannot believe in religion, cannot take part in religious activities, and must resolutely fight against cults."

""Party members should not have religious beliefs, which is a redline for all members...Party members should be firm Marxist atheists, obey party rules and stick to the party's faith...they are not allowed to seek value and belief in religion," Wang Zuoan, director of the State Administration for Religious Affairs (SARA) wrote in an article released in the Qiushi Journal on Saturday, the flagship magazine of the CPC Central Committee"
 
Back
Top Bottom