Papa Francis asema wanachokifanya Israel ni ugaidi

Hapo ndio walipokaribisha zenji wakaleta hizo mambo ,wanaojiuza wote wanatoka huku kufuata wazungu.
 
Samahani nipo nje ya mada
Naomba unitajie mikoa inayoongoza kwa matukio ya ushoga na ulawiti Tanzania
Leta twakimu kamuulize Mwakiyembe upo makao makuu then uje ..

Acha propaganda hakuna hizo mambo ,kaulize takwimu kwanza.
 
Samahani nipo nje ya mada
Naomba unitajie mikoa inayoongoza kwa matukio ya ushoga na ulawiti Tanzania

Hizo ndio takwimu acha kudanganywa na matrix πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kama unabisha kafanye research ,maana hata mikoa unayodanganywa wanashangaa kuhusu hizo tetesi.
 
Ila Hamas walipoua wayahudi wanawake na watoto na watu wasio na hatia October 7 haikuwa ugaidi.? Mbona hakutoa tamko?
 
Nimeuliza tu lakini ndo maana nikatanguliza samahani
Ndio nakuelewa takwimu ni hizo ...Hizo nyingine propaganda maana hiyo ni biashara kama nyingine πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nadhani utajua watu fulani wanapakwa shombo ila ukweli usemwe,kakae hiyo mikao kama utaona hiyo michezo.

Mpaka mtandao wao unajulikana mpaka Sehemu za starehe
 
Najua ukweli unaujua ndo maana umeshindwa kutaja ukajificha kwenye hii habari.
Anyway acha UNAFIKI linapokuja suala la ushoga na ulawiti kwa sababu inajulikana ni wapi matukio yametolewa taarifa kwa wingi.
Kama unavyojua wapi wameweka adhabu kali ila unajisahaulisha kwa elimu ya kuletewa ,unalazimishwa kwamba sehemu fulani ila tambua hakuna ukweli.

Kama unaweza fanya research uoneπŸ˜…πŸ˜…
 
Hayo maombi mtapa laana tu Gaidi Marekani na washirika wake na waisaral weusi kama nyie mshangilia kuiliwa zaidi ya watoto na wanawake 25,000 huyo mungu mnae muomba atakuwa msege 🀣
Takwimu from Hamas? Mohamed kusema Allah ni bingwa wa uongo hakukosea hata kidogo ni Shetani...
 
Unaongelea miaka ipi? au enzi za Yesu ndio maana kila siku mnasema Yesu alikuwa Muislam? wajinga wa Historia always wajinga
 
Hili li papa nalo linaogopa wafuasi wa Shetani? kwanza sio Mkristo huyu... Amdanganye nani kuhusu War ya Gaza enzi za ujinga zishapita.. wacha adhabu ya Mungu itekelezwe Gaza malipo ni hapa hapa Duniani lets Arabs wapishe ardhi ya Israel kama wanapenda sana Dini wakahamie Mecca... Israel its for us.. kila shetani anapopata support kutoka kwa wahuni ndio kichapo wanachokula Arabs wa Gaza... Maandiko yapo wazi so kichapo ni pale pale hakikwepeki
 
Unaongelea miaka ipi? au enzi za Yesu ndio maana kila siku mnasema Yesu alikuwa Muislam? wajinga wa Historia always wajinga
Mbona hueleweki ? πŸ˜…πŸ˜…Yesu huyo Mungu wenu!?
 
Jamani huyo shetani anayefanya hamas aendelee kushikilia mateka 134 huku wapalestina wanaangalia ni hatari , na watu hawashiriki wanaendelea tu kusifu hamas. Ni muda mwafaka wa kuingia kwenye maombi mazito sana ili hamas na Israel utu uwaingie.
Mheshimiwa: Subiri kwanza kidogo; acha inyeshe tujue panapovuja na kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…