chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,183
- 2,871
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia ya kwenda mbinguni lazima iwe nyembamba, na waendao lazima wawe wachache. Huu ndio msingi wa neno la Mungu.Takwimu alizopokea Papa zimemfikirisha mara kadhaa na kuona kuwa endapo akiwatenga mashoga basi atabaki na idadi ndogo sana ya waumini wa Katholiki, ili kuzuia anguko hilo akaona awaruhusu mashoga kuwa waumini wa kanisa la Katholiki.
Bujibuji Simba Nyamaume kasema Shetani ndio baba wa dini zote, mkampiga kwa maweTaasisi gani ya kidini ulimwenguni sio agent wa shetani?
Papa amechanganyikiwa na hizi kesi za ushoga anaona vijana wote wanakimbilia kutafunana wao kwa wao sasa anasikitika watabebwa na dini ganiNjia ya kwenda mbinguni lazima iwe nyembamba, na waendao lazima wawe wachache. Huu ndio msingi wa neno la Mungu.
Papa ni wakala wa Mungu au Shetani?
Na kumsukumia moto wa hayariUmshikishe ukuta sio
Mimi nitakifanya kile kibabu, hadi kiniite honey 🍯Hii kali Samia imemshinda ameamua kusema fanyaneni wakubwa kwa wakubwa sio wadogo
Umesha wahi kwenda Hotel kisha ukaùiiza sahani hii ililiwa na nani?Nani anamfira🤣
Kwa hiyo kanuni na sheria za Mungu plus dhambi inabadilika kuwa halali kutegemea idadi ya wanaofanya ikiwa kubwa au sio?Ndugu zangu tuzungumze kwa uwazi kuhusiana na uamuzi wa Papa Francis kuwapa mashoga uhuru
Wakosoaji wakubwa wa uamuzi huu ni madhehebu mengine yasiyo ya Katholiki huku wakidai kuwa dini ya Katholiki inaruhusu ushoga
Kabla ya kumtuhumu Papa ni kuwa idadi ya mashoga duniani imeongezeka sana kiasi kwamba inatishia idadi ya wale wasio mashoga. Takwimu alizopokea Papa zimemfikirisha mara kadhaa na kuona kuwa endapo akiwatenga mashoga basi atabaki na idadi ndogo sana ya waumini wa Katholiki, ili kuzuia anguko hilo akaona awaruhusu mashoga kuwa waumini wa kanisa la Katholiki.
Wenzangu wa madhehebu mengine wakiwemo Waislamu, Wahindu na wengineo, mnapomnyooshea kidole Papa mnamaanisha kuwa hakuna muumini wetu hata mmoja duniani ambaye ni shoga.
Swali la kujiuliza, je katika dhehebu lako hakuna muumini wenu hata mmoja duniani ambaye ni shoga?
Turejelee msemo wa kuwa kabla hujatoa boliti katika jicho la mwenzako basi hakikisha katika jicho lako umekwishatoa!
Nipe SLP yakeMwandikie barua kwamba unataka kumfilimba 🤣
Anaogopa kanisa kukosa waumini ndio mana anataka watu watafunane ila bado wawepo kanisaniKwa hiyo kanuni na sheria za Mungu plus dhambi inabadilika kuwa halali kutegemea idadi ya wanaofanya ikiwa kubwa au sio?
Ukweli usemwe jamaa kapuyanga na hii inaonyesha kwamba hapa kuna imani ya mchongo.
Usitetee uovu kemea haijalishi kausifia nani.
Kwani dini ni biashara kwamba wateja wakipungua huuzi....
info@vaticanrome.it mwambie Hello Papa I want to eat your AssNipe SLP yake
Ili aendelee kukusanya sadaka. Hvyo swali je, anamtumikia Mungu au wanadamu?Anaogopa kanisa kukosa waumini ndio mana anataka watu watafunane ila bado wawepo kanisani