Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Hoja yako haina mashiko hata kidogo, ndoa za jinsia zimepigwa marufuku kwenye maandiko matakatifu BIBLIA hakuna namna ya kuhalalisha huo ushetani,

kama anahofia kubaki na watu wachache kwenye majengo yake basi angetia mkazo kukemea huo ushetani na kuunyima nafasi kabisa kwenye jamii ya wakatoliki, kama ambavyo amepiga marufuku wakatoliki kujiunga na freemason ili wasipate nafasi ya kuendelea kujitanua na kuongezeka,

lakini anacho kufanya yeye ni kubariki huo ushetani na kuwaambia wengine wanaouchukia kwamba wale wanaofanya ndoa za jinsia moja ni sawa na wao, yule mzee ni mshenzi tuu na Kila anaemuunga mkono na yeye mshenzi vile vile shetani kabisa 😡😡😡😡😡
Yeye anachotaka ni wafuasi wengi ili apate sadaka, kufirana firaneni sana yeye anachotaka msijitenge akose sadaka, yupo kimaslahi zaidi
 
Nilicho gundua jamii za kishoga zipo kazi kueneza ushoga hata jamiiforum wapo
 
siokila anae vaakanzu nimuislamu mzee.
kunasheria ukizikiuka mojakwamoja umejivua uislamu wako mkuu hatakama unaitwa muhammedi.

mfano kulakitimoto kulewa ushoga wizi ujambazi uchawi nk....
Ngoja nikufundishe kufafanua, sema kuwa Mashoga wapo katika dini yetu ya Kiislamu lakini hawajahalalishwa na dini lakini usiseme kuwa hawapo huo ni uongo mweupe mkuu
 
Zipo kazini
Mashoga wamepata nguvu baada ya Smartphone kuingia wanajifunza kwa vitendo wakiongozwa na video za ulawiti wanazokutana nazo kwenye tovuti za ngono, lakini usiseme kuwa kuna watu wanapromote JF, kinachofanyika hapa JF ni uchambuzi wa ushoga ambao tayari wameshatazama kwenye video za kulawitiana kupitia mitandao ya ngono
 
Huwa kuna technique au kanuni ambayo huwa MAWAKALA WA AJENDA huwa wanazitumia...

Ukitaka jambo lako lipenye ktk mindset za jamii, anza taratibu kwa hatua ...

Nakupa mfano wa wazi:-

( i) miaka ya nyuma, dini zote kubwa zilimlinda sana mwanamke juu ya utu wake kimavazi na nafasi yake ( hususan ktk uislamu ukiweka kinga nyingi zisimdhuru mwanamke)....

Nadhani wanajua nguvu na ushawishi wa mwanamke kubadili mambo..baada ya hapo watafika ktk OBJECTIVE

Tumeshudia jinsi walivyoibadilisha mindset hiyo hatua kwa hatua, kwa kisingizio cha usawa na ustaarabu...

Waliutafuta MLANGO wa kupitia hiyo ajenda na hatua kwa hatua viongozi wa DINIB hawakushtuka wala kukemea, leo hadi wanawake wanatinga hadi na min- skirt, na mwanzo ilishtua ila sasa ishazoeleka..( eneo la ibada ) hata mahubiri ni kama hayana athari kubwa zaidi kutekeleza ratiba..

(ii) MLANGO mwingine wanaupitia ni SOCCER na MUSIC. , Huko wanajua ukipitisha ajenda ( hereni, , Mavazi nusu uchi, mashairi ya Ngono, kamari ( betting) etc utawakamata kizazi kikubwa ambacho baadaye ndio watakuwa wasimamizi Wa TAASISI mbalimbali..
Hata jamii ijenga MAKANISA Na MISIKITI Na hata wahudhurie Kwa maelfu, athari yake Ni dogo au hakuna kabisa Kwa kuwa kizazi chao ndani ya 12 hours wanakutana Na Yale yaliyokutazwa nayo church/masjid.

Kwanza ukifanya utafiti Ni idadi ndogo za vijana wanao kwenda church/Masjid. ( Na ndio chanzo cha kuibuka wahubiri Wa mchongo/ maokoto )


(iii) Kuanzia miaka ya 2000, neno UGAIDI lilichipuka
- Miaka ya nyuma watu waliishi bila kuogopa lakini hili neno limetangazwa hatua kwa hatua hadi limezoeleka na imefika hatua kuwa kizazi cha sasa kinaamini imani fulani inafundisha UGAIDI..

.mtoto aliezaliwa baada ya mwaka 2000 ni ngumu sana kutafiti na kupima real uislam ( Huu Ni MLANGO wanaoutafutia ufunguo )

ISSUE ni kwamba ukitaka jambo liwe ni Imani ktk mioyo ya watu, basi lifanye lizoeleke ili isishtue akili/nafsi linapotajwa au kutekelezwa....

Sasa issue ya USHOGA, mwanzo lilikuwa linashtua, akili/ nafsi......kwa kuwa lipo clear ktk maandiko.

Nini cha kufanya ..?...
ni kutafuta MLANGO wa kulipitishia.. na si kulipisha zima zima bali kwa hatua ili liguse kizazi kwa kizazi...

Amesema leo POPE ..ila baada ya miaka kadhaa litasemwa na ASKOFU, ...baadaye itasemwa na TAASISI, ..baadaye wana harakati wa haki za binadamu ( wanasheria) n.k....

Litazoeleka ktk TV , ( chombo muhimu kabisa cha AJENDA ) kupitia alama na harakati zao... Baadaye kizazi kinachokuja kitaona kumbe si jambo la ajabu kiiivyo...

Ninachosema ni watu wawe nature ya kudadisi, watambue ktk hii Dunia kwa sasa kuna ARCHITECTURES wako nyuma ya pazia kusukuma AJENDAs' ...

kushtukia ni kufahamu namna ya MILANGO wanayoitumia ...( ama wahusika kwa kujua au kwa kutojua)
 
Huwa kuna technique au kanuni ambayo huwa MAWAKALA WA AJENDA huwa wanazitumia...

Ukitaka jambo lako lipenye ktk mindset za jamii, anza taratibu kwa hatua ...

Nakupa mfano wa wazi:-

( i) miaka ya nyuma, dini zote kubwa zilimlinda sana mwanamke juu ya utu wake kimavazi na nafasi yake ( hususan ktk uislamu ukiweka kinga nyingi zisimdhuru mwanamke)....

Nadhani wanajua nguvu na ushawishi wa mwanamke kubadili mambo..baada ya hapo watafika ktk OBJECTIVE

Tumeshudia jinsi walivyoibadilisha mindset hiyo hatua kwa hatua, kwa kisingizio cha usawa na ustaarabu...

Waliutafuta MLANGO wa kupitia hiyo ajenda na hatua kwa hatua viongozi wa DINIB hawakushtuka wala kukemea, leo hadi wanawake wanatinga hadi na min- skirt, na mwanzo ilishtua ila sasa ishazoeleka..( eneo la ibada ) hata mahubiri ni kama hayana athari kubwa zaidi kutekeleza ratiba..

(ii) MLANGO mwingine wanaupitia ni SOCCER na MUSIC. , Huko wanajua ukipitisha ajenda ( hereni, , Mavazi nusu uchi, mashairi ya Ngono, kamari ( betting) etc utawakamata kizazi kikubwa ambacho baadaye ndio watakuwa wasimamizi Wa TAASISI mbalimbali..
Hata jamii ijenga MAKANISA Na MISIKITI Na hata wahudhurie Kwa maelfu, athari yake Ni dogo au hakuna kabisa Kwa kuwa kizazi chao ndani ya 12 hours wanakutana Na Yale yaliyokutazwa nayo church/masjid.

Kwanza ukifanya utafiti Ni idadi ndogo za vijana wanao kwenda church/Masjid. ( Na ndio chanzo cha kuibuka wahubiri Wa mchongo/ maokoto )


(iii) Kuanzia miaka ya 2000, neno UGAIDI lilichipuka
- Miaka ya nyuma watu waliishi bila kuogopa lakini hili neno limetangazwa hatua kwa hatua hadi limezoeleka na imefika hatua kuwa kizazi cha sasa kinaamini imani fulani inafundisha UGAIDI..

.mtoto aliezaliwa baada ya mwaka 2000 ni ngumu sana kutafiti na kupima real uislam ( Huu Ni MLANGO wanaoutafutia ufunguo )

ISSUE ni kwamba ukitaka jambo liwe ni Imani ktk mioyo ya watu, basi lifanye lizoeleke ili isishtue akili/nafsi linapotajwa au kutekelezwa....

Sasa issue ya USHOGA, mwanzo lilikuwa linashtua, akili/ nafsi......kwa kuwa lipo clear ktk maandiko.

Nini cha kufanya ..?...
ni kutafuta MLANGO wa kulipitishia.. na si kulipisha zima zima bali kwa hatua ili liguse kizazi kwa kizazi...

Amesema leo POPE ..ila baada ya miaka kadhaa litasemwa na ASKOFU, ...baadaye itasemwa na TAASISI, ..baadaye wana harakati wa haki za binadamu ( wanasheria) n.k....

Litazoeleka ktk TV , ( chombo muhimu kabisa cha AJENDA ) kupitia alama na harakati zao... Baadaye kizazi kinachokuja kitaona kumbe si jambo la ajabu kiiivyo...

Ninachosema ni watu wawe nature ya kudadisi, watambue ktk hii Dunia kwa sasa kuna ARCHITECTURES wako nyuma ya pazia kusukuma AJENDAs' ...

kushtukia ni kufahamu namna ya MILANGO wanayoitumia ...( ama wahusika kwa kujua au kwa kutojua)
Uko vizuri sana mkuu kwenye maswala ya uchambuzi 💯
 
Wewe Huwa u afikilia kweli?
Yaani kipi kinafuatwa Sheria za mungu au idadi ya waumini?
Au wewe mwenzetu umeshahama group na hapa unawatetea wanzako indirectly???
Dunia ya leo haina watakatifu ndugu, ukianza kuhukumu utabaki wewe peke yako, Uislamu na Ukristo umejengwa na wachamungu na wasimcha huku idadi ya wasiomcha ikiwazidi wale wanaomcha
 
Yeye anachotaka ni wafuasi wengi ili apate sadaka, kufirana firaneni sana yeye anachotaka msijitenge akose sadaka, yupo kimaslahi zaidi
Mshenzi Sana yule bibi kizee😡😡
 
Aliona akibagua mashoga bado wezi, malaya, mafisadi, washirikina wapo

Sasa kwanini huyu huwa hasemwi maana yeye aliyafanya mubashara: MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Sasa kwanini huyu huwa hasemwi maana yeye aliyafanya mubashara: MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Yakweli hayo mkuu? Alimnyonya kwasababu gani
 
Hoja ya kuwa anawakaribisha ili awe na waumini (wafuasi wengi) ni kutuaminisha yeye haifuati maandiko matakatifu anatafuta wafuasi


Msimamo wake unatakiwa iendane na maandiko matakatifu kwenye biblia. Mtu kutafuta wafuasi kuna maana kubwa ana lengo lingine nje ya lile la kitabu ikiwemo kupata umaarufu au kukusanya pesa/ nguvu ya kisiasa /faida yeyote kutoka kwao
 
Hoja ya kuwa anawakaribisha ili awe na waumini (wafuasi wengi) ni kutuaminisha yeye haifuati maandiko matakatifu anatafuta wafuasi


Msimamo wake unatakiwa iendane na maandiko matakatifu kwenye biblia. Mtu kutafuta wafuasi kuna maana kubwa ana lengo lingine nje ya lile la kitabu ikiwemo kupata umaarufu au kukusanya pesa/ nguvu ya kisiasa /faida yeyote kutoka kwao
Nikweli ndugu lakini dunia ya leo sio ya Watakatifu tena ukifuata maandiko utakwama, jiulize watu wangapi hivi sasa ni waovu, nenda mahakamani uone kesi za uovu nadhani utapata jibu kuwa dunia ya sasa siyo
 
Uafanuzi kuhusiana na uamuzi wa Papa Fransis kuwakaribisha wapenzi wa jinsia moja katika kanisa Katoliki

Watu wengi duniani hasa dini ya Kiislamu, Wahindu na wengineo wamekuwa wakituhumu Imani ya Kikristo pamoja na kiongozi wetu Papa Fransis kana kwamba dini zao zinawaumini Watakatifu pekee jambo ambalo linaweza kuleta picha ya aibu na fedheha katika imani yetu kwa baadhi ya waumini wengine

Wapo walioenda mbali na kusema Papa Fransis na Imani ya Kikristo inajihusisha na Ushetani

Kwanza kabisa Papa ameweka mbele swala la maslahi katika kanisa hili, lengo la yeye kuchukua uamuzi huu anataka kanisa liwe na idadi kubwa ya waumini pasipokujali tabia na mienendo ya waumini wake akilenga kuwa atakayewahukumu ni Mungu pekee yeye hataki kujihusisha na swala la hukumu hilo ndilo lengo lake

Kawaida binadamu anapokuwa akihitaji wafuasi wengi hatabagua wezi, wavivu, washirikina na wengineo, dhamira yake italenga kuwa na idadi kubwa ya wafuasi

Kwahiyo Papa Fransis haenezi ushetani kama watu wanavyomtuhumu na wala Wakristo tusionee aibu imani yetu

Papa hataki kujihusisha kwenye hukumu ya wakosefu anataka Mungu awahukumu yeye mwenyewe, dhamira yake ni kuhakikisha kanisa linapata wafuasi wengi pasipokujali mienendo na tabia za waumini wake

Swala la hukumu ni jambo gumu sana duniani ndio maana watu wanamwachia Mungu

Nadhani amefikiri mara kadhaa kuhukumu waumini wa Kanisa Katoliki akashindwa pengine ameona kuwa akianza kutoa hukumu itabidi achanganye wote wakiwemo wezi, walevi, wavivu, washirikina, mafisadi, makahaba, wanyang'anyi, walawiti na wengineo

Katika hotuba ya Mwalimu Nyerere kuhusiana na ubaguzi alitoa mfano akasema kuwa nchi ya Tanzania imejengwa na makabila tofauti haikujengwa na kabila moja, madhara ya ubaguzi katika nchi ya Tanzania ni kuwa tukianza kuwaondoa Wazanzibari tukamaliza wote, tutajikuta Wazaramo wamebaki tutawaondoa tena wote, tukimaliza Wazaramo tutakuta kuna Wachaga tutaondoa wote tukimaliza tutagundua kuna Wahaya halikadhalika

Kwahiyo Papa ameona kuwa Kanisa Katoliki limejengwa na waumini wema na wabaya halikujengwa na Watakatifu pekee akianza kuondoa walawiti akamaliza atajikuta wezi wapo ataondoa atamaliza, atajikuta washirikina wapo halikadhalika kwahiyo hatabakiwa na waumini Watakatifu pekee

Ndugu zangu tuzungumze kwa uwazi kuhusiana na uamuzi wa Papa Francis kuwapa mashoga uhuru

Wakosoaji wakubwa wa uamuzi huu ni madhehebu mengine yasiyo ya Katholiki huku wakidai kuwa dini ya Katholiki inaruhusu ushoga

Kabla ya kumtuhumu Papa ni kuwa idadi ya mashoga duniani imeongezeka sana kiasi kwamba inatishia idadi ya wale wasio mashoga.

Takwimu alizopokea Papa zimemfikirisha mara kadhaa na kuona kuwa endapo akiwatenga mashoga basi atabaki na idadi ndogo sana ya waumini wa Katholiki, ili kuzuia anguko hilo akaona awaruhusu mashoga kuwa waumini wa kanisa la Katholiki.

Wenzangu wa madhehebu mengine wakiwemo Waislamu, Wahindu na wengineo, mnapomnyooshea kidole Papa mnamaanisha kuwa hakuna muumini wetu hata mmoja duniani ambaye ni shoga.

Swali la kujiuliza, je katika dhehebu lako hakuna muumini wenu hata mmoja duniani ambaye ni shoga?

Turejelee msemo wa kuwa kabla hujatoa boliti katika jicho la mwenzako basi hakikisha katika jicho lako umekwishatoa!

Uzi wako ni uchafu na ushetani mtupu! Umeshindwa hoja hapa, ni bora ukaachaana na huo uchafu, na hii inaonesha mwisho wa dunia unakaribia. Kama unadhani kwa kufanya hivyo Papa atapata waumini wengi basi hiyo dhana ni potofu na matokeo itakuwa ni kinyume chake yaani kukimbiwa na waumini wengi.
 
Uzi wako ni uchafu na ushetani mtupu! Umeshindwa hoja hapa, ni bora ukaachaana na huo uchafu, na hii inaonesha mwisho wa dunia unakaribia. Kama unadhani kwa kufanya hivyo Papa atapata waumini wengi basi hiyo dhana ni potofu na matokeo itakuwa ni kinyume chake yaani kukimbiwa na waumini wengi.

Am with you
 
Ukristo ni ushetani, hivi sodoma na gomora ipo wapi na ni mji wa kikristo ama upi maana ushakithiri kwa ushoga karne kadhaa huko nyuma hafi ukachomwa
 
Back
Top Bottom