Nani alikwambia kwamba Yesu alimaanisha kanisa la Roman Cathilic. Ninachojua mimi KANISA ina maana wote waliokubali na kumuamini YESU. Hawa ndio kanisa. Haijalishi anatoka dini ganiPapa Francis sio mtakatifu na wala sio kila papa ni mtakatifu ndio maana kuna mapapa wachache ambao tunawaita watakatifu. Sababu ni kwamba Cheo cha Upapa ndio Cheo kitakatifu kwa kuRefer maneno ya Yesu mwenyewe alipomteua Peter kua papa wa kwanza Mathayo 16:18
[18]Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa (Roman Catholic)langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Hawa jamaa hovyo sanaNani alikwambia kwamba Yesu alimaanisha kanisa la Roman Cathilic
Kwanza wana abudu sana sanamu. Sanamu wanaloamini kwamba ndie YESU na Sanamu la bikira Maria. Ukitaka ukosane na mkatoliki wewe gusa yale masanamuHawa jamaa hovyo sana
Na hayo masanamu sijui yanawasaidia nini kwakweli,kwenye biblia yao wameondoa Amri ya pili inayokataza kutoabudu sanamuKwanza wana abudu sana sanamu. Sanamu wanaloamini kwamba ndie YESU na Sanamu la bikira Maria. Ukitaka ukosane na mkatoliki wewe gusa yale masanamu
Mkuu acha masihara bad, we ni mtakatifu? Kweli?Ukiokoka tu unampokea roho mtakatifu, kwahiyo unakua mtakatifu.
Acha papa tu, hata sisi Wotee tulio okoka niwa takatifu.
Bapo kwenye .....automatically.....ndipo ulipobugi. Ujue kuna mapapa maelfu walishapita na kati yao ni wachache tu ni watakatifu!Nawaza utakatifu anapewaje kiongozi kibinadamu tu?
Je, kuna ushahidi wa maandiko unaoonesha kuwa Papa anakuwa mtakatifu automatically?
Na Kama Roho mtakatifu anaongea na watu wake kipi wafundishe why wampangie cha kufundisha dunia nzima?
Oya mimi sio mroma.Dini ya mashoga halafu mnajiita watakatifu?
Sure 100%Mkuu acha masihara bad, we ni mtakatifu? Kweli?
Kanisa haliwezi kujengwa juu ya binadamu Petro, Kanisa limejengwa juu ya Mwamba ambaye ni Bwana Yesu, ndiye jiwe kuu la pembeni .Papa Francis sio mtakatifu na wala sio kila papa ni mtakatifu ndio maana kuna mapapa wachache ambao tunawaita watakatifu. Sababu ni kwamba Cheo cha Upapa ndio Cheo kitakatifu kwa kuRefer maneno ya Yesu mwenyewe alipomteua Peter kua papa wa kwanza Mathayo 16:18
[18]Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa (Roman Catholic)langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Naamini ungekuwa ni Mkatoliki, usingeuliza swali lililo takiwa kuulizwa na mtoto mdogo anayefanya mafundisho, kwa ajili ya kupokea Komunyo ya kwanza.Nawaza utakatifu anapewaje kiongozi kibinadamu tu?
Je, kuna ushahidi wa maandiko unaoonesha kuwa Papa anakuwa mtakatifu automatically?
Na Kama Roho mtakatifu anaongea na watu wake kipi wafundishe why wampangie cha kufundisha dunia nzima?
Sasa ndugu siungejifunza tu.Kwanza wana abudu sana sanamu. Sanamu wanaloamini kwamba ndie YESU na Sanamu la bikira Maria. Ukitaka ukosane na mkatoliki wewe gusa yale masanamu
Kwanza wana abudu sana sanamu. Sanamu wanaloamini kwamba ndie YESU na Sanamu la bikira Maria. Ukitaka ukosane na mkatoliki wewe gusa yale masanamu
Sasa si bora kuabudu sanamu kuliko kuuziwa maji, sabuni, kwa bei ya kulangua kwa kudanganywa eti yana upako!Na hayo masanamu sijui yanawasaidia nini kwakweli,kwenye biblia yao wameondoa Amri ya pili inayokataza kutoabudu sanamu
Utakatifu ni kwa ofisi anayoshikilia. Mtu aliyekufa tu ndiye anaweza kuwa mtakatifu. Kuanzia Mtume Petro, ambaye ndiye alikuwa Papa wa kwanza, mpaka Papa Francis wa sasa kumekuwa na mapapa 266. Kati ya hao wote ni 83 tu ndiyo wametangazwa kuwa watakatifu.Nawaza utakatifu anapewaje kiongozi kibinadamu tu?
Je, kuna ushahidi wa maandiko unaoonesha kuwa Papa anakuwa mtakatifu automatically?
Na Kama Roho mtakatifu anaongea na watu wake kipi wafundishe why wampangie cha kufundisha dunia nzima?
Acha kudanganya umma Petro hajawahi kuwa papa weweUtakatifu ni kwa ofisi anayoshikilia. Mtu aliyekufa tu ndiye anaweza kuwa mtakatifu. Kuanzia Mtume Petro, ambaye ndiye alikuwa Papa wa kwanza, mpaka Papa Francis wa sasa kumekuwa na mapapa 266. Kati ya hao wote ni 83 tu ndiyo wametangazwa kuwa watakatifu.
Hicho kiti kinatakiwa kukaliwa na mtu anayeishi kusudi la Mungu pekee na si vinginevyo......mbali na hapo anakuwa amesaliti.Sasa unauhakika gani Kama Papa anaishi kusudi la Mungu wakati Siri ya MTU anaijua mwenyewe nyingi mnajua anawaza Nini mpaka mmwite holy father
Na kimsingi mafuta, maji, sabuni na chupi ya upako ni ibada ya sanamu ile ile anayoiponda hapa......Sasa si bora kuabudu sanamu kuliko kuuziwa maji, sabuni, kwa bei ya kulangua kwa kudanganywa eti yana upako!
Wajanja wanatajirika na kuishi maisha ya kifahari kupitia majasho yenu! Nyinyi maskini wa akili na mali mnaishia tu kumezeshwa sumu na kufundishwa umbea! Kanisa Katoliki ni kama Bahari ya Hindi, Pacific, au Atlantic! Lilikuwepo, lipo na litadumu milele.
Vp ma. Pengo hamuwezi mpa utakatifu yule shoga wa pale st. Petro osterbayHicho kiti kinatakiwa kukaliwa na mtu anayeishi kusudi la Mungu pekee na si vinginevyo......mbali na hapo anakuwa amesaliti.
Mimi ni mkatolikiOya mimi sio mroma.
Nikuulize wewe ni dini gani?
Umemjibu kwa Hekima sana.Ya wakatoliki waachie wakatoliki.
Upeo wako wa kudadavua Mambo ni Mdogo Sana.WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"
Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu? Lakini Wakatoliki wana baba yao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.
ya hii ya 9, Mungu kakataa kuwa na ubia ktk jina lake la mamlaka linalobeba wadhifa wake. Kumwita mtu baba Mtakatifu na kiongozi mkuu wa dini ni KUFURU.
Mwenye masikio na asikie ambayo roho awaambia Wakatoliki
Mathayo 23:9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.