Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
skudu alikupandisha nye.ge huko nyuma nini mbona unamtaja kila wakati?kachezewe na SKUDU huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
skudu alikupandisha nye.ge huko nyuma nini mbona unamtaja kila wakati?kachezewe na SKUDU huko
Wanaridhika mapema mnoKwani wachezaji wa Tanzania tatizo liko wapi?
Tunakwama wapi?
Mfano Agent atamchukua nani kumpeleka huko nje?Ma agent...
Wabongo hatuna ma agents level hiyo..
WA Nigeria na west Africans now wako Wengi Sana hiyo sekta
Unawajua wote under 20 na under 17?Mfano Agent atamchukua nani kumpeleka huko nje?
Kwa gharama za nani?Yaani Samata kanishangaza sana..
Alikuwa anatakiwa anawaalika Tu wenzie wanafanya mazoezi huko Uturuki au kule Belgium baasi
Kama hawajulikani, maana yake hawacheziUnawajua wote under 20 na under 17?
Hewala...hapo kwenye utoto hapo..unaweza kukuta yuko kwenye sehemu ambayo anaweza kupambana lakini anajiangusha kumtegemea refaaWabongo wajifunze kuchagua mawakala bora, unaweza ukakuta Wakala kampambania sana mchezaji wake kupata timu ulaya na mijitu kutoka Magharibi inajua kutumia hizi nafasi,Sakho akiacha utoto wake baada ya misimu miwili au mitatu anaweza akacheza League 1.
Kuna yule ameeenda Arabuni kufanyakazi za Ndani kutoka Uto lkn anavyosifiwa sasa! Simba is Next Level Sakho aongeze Bidii atafika mbaliiii
mshahara wa mtu unataka kuujua ili iweje?Kuhusu mshahara?
Waarabu wanasajili wachezaji wa ligi kuu za Ulaya.Kuna yule ameeenda Arabuni kufanyakazi za Ndani kutoka Uto lkn anavyosifiwa sasa! Simba is Next Level Sakho aongeze Bidii atafika mbaliiii
Hivi huyu Samatta ni Kabila gani? Nauliza kwa nia njema tu.Yaani Samata kanishangaza sana..
Alikuwa anatakiwa anawaalika Tu wenzie wanafanya mazoezi huko Uturuki au kule Belgium baasi
Kuna kijana ni mtoto wa rafiki yangu somebody Mabuyu, yule mtoto aliibuka kuwa mchezaji bora kwenye Copa coca cola iliyofanyika Brazil.Mfano Agent atamchukua nani kumpeleka huko nje?
Mzaramo...wa Nigeria hapo Genk Tu sasa tungekuwa na wachezaji kama watano..na Belgium yote kama 20Hivi huyu Samatta ni Kabila gani? Nauliza kwa nia njema tu.
Mndengereko na mzaramoHivi huyu Samatta ni Kabila gani? Nauliza kwa nia njema tu.
Vipi bei aliyonunuliiwa ni Bilioni ngapi ?Kuhusu mshahara?