Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Ulifatilia Sakata lake la had kuongeza mkataba Uliopita?.. Unajua ni ngv gani ilitumika had kubadilisha mawazo yake wkt alikua anaenda Madrid.. Unajua kwmb Marais wa nchi zote 2 Qatar na France walitumika kumshawishi yy na mama yake(ikiweno ya kumfanya yy kua kama ndo mmiliki wa club maamuz yote ashirikishwe?) ilmrad tu abak.Unasemaje wamemdanganya wakati ni timu ya kwao? Yeye kazaliwa Paris...na bado analipwa hela nyingi kuliko wote
Hapa hatuongelei hela tunajua anapata hela nyng ni kwl.. Lkn tunazungumzia kwa Career yake ilikua ni sahihi zaid kwend Madrid.
Mbona kama anafuraha mbona saiv tena next summer anataka kuhama?.. Mwnyw anajua kbs kuendelea kubak Psg ni kupoteza mda yy bado mdg anabid kua kwny Club zenye caliber ya Madrid au Barcelona.