Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Wana GOAT [emoji238] MessiYaan nyie n watu wa kutombwa tu kila siku jamani
Hii timu haina tofauti na Malaya wa kimboka pale buguruni
Mechi 4 mfululizo mmepigwa
Buyern ×2
Lyon×1
Lens×1
Jamaa msumbufu sana yule, na akiendeleza ujinga wake atamaliza hajabeba UEFA.Mbappe leo kawekwa rasmi sokoni na PSG, mwenye mzigo mkubwa akajibebee kipaji kile..
Kama alitaka kwenda R. Madrid bure ili akapewe signing fee ya maana, imekula kwale, mwarabu amemshtukia..
hii balaa, mchezaji mkubwa akikataa ku sign mkataba mpya na kabakiza mwaka mmoja aisee huwa ni option moja tu - Kumuuza ili upatepo chochote, maana mkataba ukiisha anaondoka bureee.Mbappe leo kawekwa rasmi sokoni na PSG, mwenye mzigo mkubwa akajibebee kipaji kile..
Kama alitaka kwenda R. Madrid bure ili akapewe signing fee ya maana, imekula kwale, mwarabu amemshtukia..
Shabiki lialia wa psg uongo!🤣🤣Daah kudadeki influence yake ni massive..kwnz ukiona zile video jana anavotolewa airport utadhan lbd rahis wa marekani kaingia ufaransa mzee..PSG kwl wamejua kumpa heshima mchezaj bora wa mda wote...na sasa kesho ataanza tizi na tunachotarajia sisi mashbik lia lia wa Psg ni furaha tu.