PAROKO: Tusikae kimya sasa kusubiri Miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari.

Mafanikio yapi na Dola imekuwa finyu?

Au siku hizi Wazungu na watalii wanakuja na Pesa ya madafu ya TShilings?

Namba hazidanganyi.
hizo Finyu zimepatikana chini ya kitanda chako? si ndio hizo wameleta, au hujui jana Ma Bank yamekomba mamilioni ya dola toka Bank kuu kuwezesha miamala?
Nchi jirani wanavuka mpaka kuja kugombania dola za Marekani na ndio sababu Serikali ikadhibiti ili kulinda upatikanaji wake …tatizo mlikimbilia kuvaa uanaharakati kabla ya elimu sahihi ya masuala mnayotaka kujadili
 
Maaskofu wamemtendea vibaya sana Rais Samia na ameamua kukaa kimya tu maskini. Wamemkwaza na kutaka kumtisha labda wakijua ataogopa kwa sababu ni mwanamke.

Wameshindwa kuitazama picha pana ya masuala ya shoroba haswa hii vita ya kiuchumi ya ufaidikaji wa nchi kupitia bandari tulizonazo.
 
Acg
Acha porojo
 
Huyu wa kwetu atasema makamaba na mwigulu ndo waliomshauri vibaya
 
Acg

Acha porojo
Soma ili uwe mwanaharakati mwenye vision badala ya kujidanganya kila kitu kinasubiri Katiba Mpya

Dunia nzima kuna uhaba wa dola kutokana na kuongezeka riba Marekani pamoja na Marekani kuchuka hatua yake ya kufanya treasury Management kulinda fedha yake lakini bado Nchi ipo salama tunapata kila kitu hata Chama chako kinazunguka mikoani wanajaza mafuta unadhani yale mafuta yananunuliwa kwa kwacha ya Malawi ?
 
Na umefuata njia sahihi kwenda bungeni. Nchi yenye watu wenye kujielewa ingekuwa imeshaachana na kina Mwabukusi mara tu baada ya kushindwa kesi kule Mbeya.
Nyie mna tabia za vinyonga mnabadilika kulingana na Mazingira.
Kesho Samia akitangaza kufuta mkataba huo mtaitisha Press kumpongeza kwa kusikia Sauti ya watu
 
Wahuni wameshaatajirikia ,utasikia mwizi anatetewa kuwa samia anawaonea watu ,sijui anavunja haki za binadami , due process haikufuatwa, R I P jpm
 
Nyie mna tabia za vinyonga mnabadilika kulingana na Mazingira.
Kesho Samia akitangaza kufuta mkataba huo mtaitisha Press kumpongeza kwa kusikia Sauti ya watu
Hawezi kufanya hivyo kwani atakwenda kuua uchumi mzima wa nchi hii. Usidhani kinachofanyika muda huu ni matokeo ya maamuzi ya jana au juzi.
 
Hawezi kufanya hivyo kwani atakwenda kuua uchumi mzima wa nchi hii. Usidhani kinachofanyika muda huu ni matokeo ya maamuzi ya jana au juzi.
Rais Mkapa alishasema Wahuni sio watu, Mlimpotosha.
Sasa mmehamia kumpotosha Samia
 
Hakika, alilosema Paroko ni jambo la msingi sana, inaonekana imekuwa style ya viongozi wa nchi hii, kila wakiharibu kwenye awamu zao, wanasubiri muda wao ukishamalizika ndio watunge vitabu kujuta kwa maovu waliyotufanyia.
Kikwete alisema atakuwa rais wa mwsho kuongoza nchi maskini kikowapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…