hizo Finyu zimepatikana chini ya kitanda chako? si ndio hizo wameleta, au hujui jana Ma Bank yamekomba mamilioni ya dola toka Bank kuu kuwezesha miamala?Mafanikio yapi na Dola imekuwa finyu?
Au siku hizi Wazungu na watalii wanakuja na Pesa ya madafu ya TShilings?
Namba hazidanganyi.
Nchi jirani wanavuka mpaka kuja kugombania dola za Marekani na ndio sababu Serikali ikadhibiti ili kulinda upatikanaji wake …tatizo mlikimbilia kuvaa uanaharakati kabla ya elimu sahihi ya masuala mnayotaka kujadili