PAROKO: Tusikae kimya sasa kusubiri Miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari.

PAROKO: Tusikae kimya sasa kusubiri Miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari.

Hakika, alilosema Paroko ni jambo la msingi sana, inaonekana imekuwa style ya viongozi wa nchi hii, kila wakiharibu kwenye awamu zao, wanasubiri muda wao ukishamalizika ndio watunge vitabu kujuta kwa maovu waliyotufanyia.
Lazima tuwe mstari wa mbele kulikataa hilo Jambo lililoanza kuota mizizi
 
Leo ikiwa ni Wiki ya Pili ya Tamko la Maaskofu kusomwa Makanisa yote ya Roman Catholic, nimevutiwa na Maneno aliyoyaongea Paroko mmoja kwenye Ibada " Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"

Amenukuu Maneno yaliyopo kwenye Kitabu cha "My Life, My Purpose" cha Hayati Benjamin Mkapa alipojutia mambo mbalimbali ya Ovyo aliyoyafanya wakati wa Utawala wake ikiwemo kashfa maarufu ya EPA "Wahuni walitumia uaminifu wangu kwa chama kunishawishi nikubali Ninajisikia kuwa nilitumika na kusalitiwa..."

"Kama Wahuni waliweza kumlaghai Rais Mkapa kuingia Mikataba ya ajabu basi hawawezi kushindwa kumlaghai Rais Samia kwamba Mkataba huu una tija"

SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
Roho Mtakatifu ana namna ya ajabu kabisa ktk kuwasiliana na watu wake.

Haijapata kutokea akatumia lugha ngumu.

Mungu awatuze maaskofu, mashekhe, wachungaji, walii, wainjilisti na waalimu na Neno lake. Yeye anajua nani anamtumikia Mungu na yupi anasimama na adui

Baraka iwe juu yao.
 
Leo ikiwa ni Wiki ya Pili ya Tamko la Maaskofu kusomwa Makanisa yote ya Roman Catholic, nimevutiwa na Maneno aliyoyaongea Paroko mmoja kwenye Ibada " Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"

Amenukuu Maneno yaliyopo kwenye Kitabu cha "My Life, My Purpose" cha Hayati Benjamin Mkapa alipojutia mambo mbalimbali ya Ovyo aliyoyafanya wakati wa Utawala wake ikiwemo kashfa maarufu ya EPA "Wahuni walitumia uaminifu wangu kwa chama kunishawishi nikubali Ninajisikia kuwa nilitumika na kusalitiwa..."

"Kama Wahuni waliweza kumlaghai Rais Mkapa kuingia Mikataba ya ajabu basi hawawezi kushindwa kumlaghai Rais Samia kwamba Mkataba huu una tija"

SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
Watabweka Sana, mwarabu huyu hapa
 
Roho Mtakatifu ana namna ya ajabu kabisa ktk kuwasiliana na watu wake.

Haijapata kutokea akatumia lugha ngumu.

Mungu awatuze maaskofu, mashekhe, wachungaji, walii, wainjilisti na waalimu na Neno lake. Yeye anajua nani anamtumikia Mungu na yupi anasimama na adui

Baraka iwe juu yao.
Amina
 
Leo ikiwa ni Wiki ya Pili ya Tamko la Maaskofu kusomwa Makanisa yote ya Roman Catholic, nimevutiwa na Maneno aliyoyaongea Paroko mmoja kwenye Ibada " Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"

Amenukuu Maneno yaliyopo kwenye Kitabu cha "My Life, My Purpose" cha Hayati Benjamin Mkapa alipojutia mambo mbalimbali ya Ovyo aliyoyafanya wakati wa Utawala wake ikiwemo kashfa maarufu ya EPA "Wahuni walitumia uaminifu wangu kwa chama kunishawishi nikubali Ninajisikia kuwa nilitumika na kusalitiwa..."

"Kama Wahuni waliweza kumlaghai Rais Mkapa kuingia Mikataba ya ajabu basi hawawezi kushindwa kumlaghai Rais Samia kwamba Mkataba huu una tija"

SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
Huyu paroko angejikita kwenye masuala ya kiroho, hajui lolote kuhusu uchumi wa bandari kwa ujumla.

Ni tatizo lile lile la watanzania kuwa na elimu za kuokotaokota huko google kisha wakitoka nje wanaanza kuongea kwa kirefu kuhusu suala wanalolijua kwa maarifa madogo sana.

Ni matatizo ya ukosefu wa elimu na yeye ni mfano tu wa namna watanzania tulivyo na urahisi wa kucheza na masuala ya kitaalam.
 
𝗠𝗨𝗡𝗚𝗨 𝗧𝗨𝗦𝗔𝗜𝗗𝗜𝗘

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘩𝘶𝘶 𝘢𝘭𝘪𝘶𝘬𝘢𝘵𝘢𝘢 𝘮𝘢𝘨𝘶𝘧𝘶𝘭𝘪 𝘬𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢 𝘢𝘬𝘢𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘬𝘪𝘤𝘩𝘢𝘢 𝘱𝘦𝘬𝘦𝘦 𝘯𝘥𝘪𝘦 𝘢𝘯𝘢𝘦𝘸𝘦𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘶𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘬𝘢𝘶𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘩𝘶𝘶 𝘶𝘮𝘦𝘱𝘪𝘯𝘨𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘛𝘓𝘚 (𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢 𝘭𝘢𝘸 𝘚𝘰𝘤𝘪𝘦𝘵𝘺 𝘪𝘯𝘢 𝘮𝘦𝘮𝘣𝘦𝘳 𝘬𝘢𝘳𝘪𝘣𝘶 7000) 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘴𝘢𝘮𝘪𝘢 𝘺𝘶𝘬𝘰 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘵𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢 𝘵𝘶𝘮𝘦𝘯𝘺𝘢𝘮𝘢𝘻𝘢

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘱𝘪𝘯𝘨𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘩𝘢𝘳𝘢𝘬𝘢𝘵𝘪 𝘯𝘢 𝘮𝘢𝘸𝘢𝘬𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘸𝘢𝘮𝘣𝘢 𝘯𝘪 𝘮𝘣𝘰𝘷𝘶 𝘩𝘢𝘶𝘯𝘢 𝘮𝘢𝘴𝘭𝘢𝘩𝘪 𝘺𝘰𝘺𝘰𝘵𝘦 𝘯𝘢 𝘷𝘪𝘱𝘦𝘯𝘨𝘦𝘭𝘦 𝘯𝘪 𝘷𝘪𝘣𝘰𝘷𝘶 𝘴𝘦𝘳𝘪𝘬𝘢𝘭𝘪 𝘪𝘱𝘰 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢

𝘸𝘢𝘯𝘢𝘴𝘪𝘢𝘴𝘢 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢 𝘊𝘏𝘈𝘋𝘌𝘔𝘈 𝘈𝘊𝘛 𝘬𝘢𝘴𝘰𝘳𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘊𝘊𝘔 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘣𝘢𝘢𝘥𝘩𝘪 𝘺𝘢𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘊𝘊𝘔 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢

𝘮𝘢𝘢𝘴𝘬𝘰𝘧𝘶 𝘯𝘢𝘰 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢 𝘬𝘸𝘢 𝘩𝘰𝘫𝘢 𝘮𝘢𝘢𝘬𝘶𝘮𝘶 𝘯𝘢 𝘮𝘱𝘬𝘢 𝘴𝘢𝘴𝘢 𝘩𝘢𝘸𝘢𝘫𝘢𝘫𝘪𝘣𝘪𝘸𝘢
𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘬𝘢𝘢 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢 𝘯𝘢 𝘢𝘵𝘢𝘦𝘯𝘥𝘦𝘭𝘦𝘢 𝘬𝘶𝘬𝘢𝘢 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗮𝗺𝗸𝗲 𝘀𝗮𝘀𝗮 𝘄𝗼𝘁𝗲 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗷𝗶𝗼𝗻𝗲𝗮
 
Roho Mtakatifu ana namna ya ajabu kabisa ktk kuwasiliana na watu wake.

Haijapata kutokea akatumia lugha ngumu.

Mungu awatuze maaskofu, mashekhe, wachungaji, walii, wainjilisti na waalimu na Neno lake. Yeye anajua nani anamtumikia Mungu na yupi anasimama na adui

Baraka iwe juu yao.
Kwenye hili masheikh waondoe
 
Wao kanisa wanaandika lini kitabu cha kujutia kuwa mawakala wa Wakoloni ( Majambazi wa rasilimali) Afrika ?

Kitabu cha kujutia kuratibu mauaji ya Kimbari na Wayahudi kinatoka lini?
 
Huyu paroko angejikita kwenye masuala ya kiroho, hajui lolote kuhusu uchumi wa bandari kwa ujumla.

Ni tatizo lile lile la watanzania kuwa na elimu za kuokotaokota huko google kisha wakitoka nje wanaanza kuongea kwa kirefu kuhusu suala wanalolijua kwa maarifa madogo sana.

Ni matatizo ya ukosefu wa elimu na yeye ni mfano tu wa namna watanzania tulivyo na urahisi wa kucheza na masuala ya kitaalam.
Kumshambulia Paroko haisaidii, Jibu hoja
 
Back
Top Bottom