Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Status
Not open for further replies.
Kuna sehemu Ludewa sharti lake ni kupanda Tu mamba,baada ya hapo umaskini utausikia kwenye bomba.
 
Ukipata namimi nishtue mkuu Twende pamoja Kwanini duniani tuteseke na mbinguni nako tukateseke haiwezekani Kwakweli.
 
Mpaka leo hakieleweki!! Au hakuna utajiri wa hii kitu? Au ni story za kitaa?
 
Chief miez miwil mbele tena rud kachek mazingira anaweza akawa asharud
 
Mkuu miezi miwili sio mingi. Kama hutojali naomba unipe hiyo connection

Umasikini ni wakulaaniwa na kila mwenye akili timamu
 
Kama ni Mambo ya Siri wenye wataalamu wao wanaendelea kufanya Siri .

Hawakupi connection [emoji1787]
 
Unakwama wapi wewe nenda pale posta Freemason hall, ukifika ongea na mlinzi friendly atakueleza namna ya kuingia...

Miaka miwili nyuma ilikuwa unaenda na Elfu hamsini na hiyo sio kwamba pesa ya kuwalipa hapana ile nipesa unayo toa na kuwaaminisha kwamba kweli we umedhamiria pia wamefanya hivyo ili kuweka uzio kwa wenzangu na mimi kujaribu jaribu maana mtu akijua free basi anaingia kichwa kichwa mwisho wa siku anakua hasara tu.

Kiufupi Utapewa fomu ujaze then watakutafuta, kuna namna wanafanya wanacheki Nyota yko.

NB. Ukijiunga uko tu ndugu yangu kwa Mungu hesabu maumivu. Kule hautoki na ukitoka ujue maiti kila la kheri.
 
Nenda Tunduma Mbeya kwa fundi wa Punje za mahindi kuliwa na kuku.... Idadi ya Punje atakayomeza ndiyo idadi ya miaka utakayoishi kwa utajiri wowote unaoutaka. Akidonoa na kutema life span yako hapo ni ½ mwaka.

Inasemakana lakini...
(NB: sorry lakini maana nimetoa ushauri huu bila kusoma uzi mzima-nimesoma heading pekeee).
 
DDuuh
Duuuh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…