Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Status
Not open for further replies.
Sawa mlokole, endelea kusubiria ashindwe na kulegea!
Isingekua hofu ya Mungu ningekuunganisha kule mbunge mmoja darasa la Saba alikoenda.
Kaka hata mtu akija kukudai akikuona tu anasahau.
Maduka ya majirani zako yanatiwa wingu wateja hawayaoni.
Utauza mpaka umalize ndio wingu linafunguka.
Hirizi hii moja tu utapiga hela ushindwe pa kuzihifadhi. Sharti lake moja tu. Mkeo atakua anagawa uroda Kama pipi.
 
Njoo!!! nikufanyie mimi ndagu!!! kwa masharti nafuu! ki hivi lazima ujitoe wewe Mwenyewe kafara kabla ya kukupa utajiri!!! yaani nikuue wewe kwanza!! So ufe siku 7 then!! kwa masharti rahisi kabisa utakuwa km hivi ''wakati nakuua usifinye finye macho!!

km ikitokea umefinya maksudi au bahati mbaya hii ni ishara ya kwenda moja kwa moja!! hurudi.
km uko tayari! nione kwa e-mail nyarusare@gmail.com ..... siku ya kuja usiangalie nyuma!! wala kumuaga Mtu yeyote awae! wala kusema sema na mtu njiani! uwe bubu wa muda!

Hela ya kwanza utakayo pata uilete madhabahuni! kadri utakavo kuwa unakufa hela zinakuja hizoooooo
 
Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.

Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.

Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.

Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.

Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.

Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujapata wapi ? Nenda Pm .
 
Lucifer anatafuta watu wa aina flani, wenye akili flani, wenye ushawishi kwenye jamii, sio kila mtu, hao wengine anawafanya vibweng'o tu na misukule inayoishi.

Hata andiko ulilolinukuu, shetani alimwambia Yesu amsujudie ili ampe Mali kwani yeye Lucifer humpa AMTAKAYE, sio amtafutae!!! Sasa we endelea kujipendekeza kwake uone atakavyoiteketeza familia yako!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.

Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.

Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.

Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.

Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.

Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.

Hail Lucifer!

ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
Vipi ngende liwale Kyle kwa mpiga miti umefika
 
Mkuu,mtafute Luanda magere alietoa story yake r.f.a,ukimpata pale nadhani itakua umefanikiwa,akitia mpaka namba yake ya Vodacom,Kama vipi mpigie mwambie uko wapi,umfuate na ongea nae,atakueleza Kila kitu na michongo yote.
Ila nadhani usiongee nae kwenye simu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom