Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nendeni basi katafute,Shetani awawezeshe.Kama hakuna ushirikina na giza bas asingeviweka duniani na asingewaumba majini
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni basi katafute,Shetani awawezeshe.Kama hakuna ushirikina na giza bas asingeviweka duniani na asingewaumba majini
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Wacha tutafute Hakuna tunzo Wala nishani katika dhikiNendeni basi katafute,Shetani awawezeshe.
Mdau anataka kua kama bilionea ginimbi!Ginimbi
Connection yangu wewe huitaki.Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.
Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.
Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.
Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.
Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.
Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.
Hail Lucifer!
ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
Mbona unashangaa mwanamama bushamama?!
Umaskini ni matesoMbona unashangaa mwanamama bushamama?!
Watu washajipindia had wanakaribia kuvunjika. Maisha yanaweza kukupiga hadi ukatamani kwenda kumhug mama SSH, umaskin unachanganya akili.
Toa mrejesho..Sana
Nina miaka 55 +15=65 siyo mbaya watoto watakuwa wamepata maliNani ataishi milele mkuu?! Ukishakufa na biashara yako inaishia hapo, hakuna sijui kwenda mbinguni au sjui motoni, wala upuzi mwingine ambao hua tunadanganywa ..nakuja pm niko tayari.
Uhakika naomba locationKuna sehemu Ludewa sharti lake ni kupanda Tu mamba,baada ya hapo umaskini utausikia kwenye bomba.
Duuh balaaUko utajiri ila wa punje uko tayari!!?[emoji1787]
Yaani kuku anatengewa punje idadi atakayokula ni miaka yako ya kuishi baada ya kupewa miburungutu ya fwedha.
Akila punje 5 utafaidi hizo hela kwa miaka 5 tu na hela hela kwei sio vijihela
Nenda Malawi ukitokea Ileje, ukipata mwenyeji wa Tunduma au Njombe ama Ileje atukuelekeza vizuri. Kuna mtaalamu yupo Malawi ukitokea Ileje watu sehemu hizo huenda kwake mara nyingi sana
Noma sanaNipe ramani