black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Tunao ishi katika ulimwengu wa pesa hzo tuna jua karaha yake na raha Yake,,karaha Yake unapo daiwa mrejesho na muda wa kufanya mambo ukiwa umefika si wote watakupeleka au watakuelekeza wengne wanakupima iman Kwanza
Kila Jambo Lina subira ,bila uvumilivu kuwa nao huwez kufanikiwa hata kidogo nakushaur anzia na kidogo Kwanza
Huwez kufanikiwa Kama mwili mchafu lazima tuukogeshe Kwanza ndio harakati zingne zianze
Mafanikio hayo yanahtaji uvumilivu kuna mitihani mingi Sana ndani yake
Kumbuka unaingia katika maagano mazito Sana ndugu ila karibu Sana Tena karibu Sana
Nakushaur chukua ndere tu ya mvuto na kupendwa na watu na kila neno lako lisipingwe kuwa na kabiashara kadogo ndani ya miez sita utaona habar yake utajishangaaa
Kila Jambo Lina subira ,bila uvumilivu kuwa nao huwez kufanikiwa hata kidogo nakushaur anzia na kidogo Kwanza
Huwez kufanikiwa Kama mwili mchafu lazima tuukogeshe Kwanza ndio harakati zingne zianze
Mafanikio hayo yanahtaji uvumilivu kuna mitihani mingi Sana ndani yake
Kumbuka unaingia katika maagano mazito Sana ndugu ila karibu Sana Tena karibu Sana
Nakushaur chukua ndere tu ya mvuto na kupendwa na watu na kila neno lako lisipingwe kuwa na kabiashara kadogo ndani ya miez sita utaona habar yake utajishangaaa