Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Status
Not open for further replies.
Hata wewe ulpozaliwa hukutokea bure, kuna kazi ilifanyika kubwa. In my world everything comes with a price.
Vizuri kwamba unafahamu hilo. Na huko utakapopewa utajiri uwezekano ni mkubwa mbeleni wakatataka vya kuzaliwa, hivyo hakikisha unafanya kazi haswa uwe na stock ya kutosha.
 
Kwa muandiko huu ni dhahiri bado hujafikia lengo.
Na kutakia mafanikio mema.
 
Mtafute Lwanda magere akupe connection
 
Ingekuwa mganga anatoa utajiri watz tungekuwa na mamilionea wengi
 
90% ya watz wanaserch still not yet thus Ingekuwa ni rahisi watz wengi wangekuwa matajiri
 
Utajiri wa dini ya nguvu za Giza sio wa kila mtu jombaa, it's not childs play. By the way lini umefanya sensa ya kujua tuna mamilionea wangapi na vyanzo vyao vya utajiri ni vipi bila kupepesa macho.
Waafrika uamini shortcut ya waganga.
Mungu umpa mtu kwa wakati wake ukifika, Hakuna cha mganga wala kuombewa,vyote hivyo wengi wamefanya,ufanya still maisha yao ni magumu
 
Yule kuku wa mbeya bado yupo, alivuma sana mwanzoni mwa miaka ya 2000, vijana wengi wameondoka kupitia yeye
Uko utajiri ila wa punje uko tayari!!?[emoji1787]

Yaani kuku anatengewa punje idadi atakayokula ni miaka yako ya kuishi baada ya kupewa miburungutu ya fwedha.

Akila punje 5 utafaidi hizo hela kwa miaka 5 tu na hela hela kwei sio vijihela
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…