Ni vizuri pia, wengi wanatoka kesho j3 ya pasaka kuliko leo. Pasaka ni sherehe ya ndani, kama una familia ndo vizuri zaidi.Yani kwakweli leo nipo JF muda mrf mnooo yani nikiacha labda dkk 10 tuu...hahaha..mm sio mtembezi hasa siku za sikukuu mkuu nikishashiba nakaa zangu tuu nyumbani..labda ninywe kidogo dompo maana bia sinywi..naona hata uvivu kutoka..
Safi, mimi nafata Jameson hapa liquor store, nirudi kuangalia series ya Berlin mpaka usingizi utakapokuja.Pasaka inaendelea.. ndani, nakula cashewnuts huku naangalia Dhohari huku nikisubiri jua kali. Baada ya hapo kitandani π
Ila wewe nae ni mwenzetu sana, nakukubali sana mwananguAaaah kumbe ni hapo, afu hapo pembeni ni Krista park na sio crystal.
Yalikua maeneo yangu sana hapo Krista park.
Mambo ya Dini na imani ni magumu sana mkuuBado naendelea kujiuliza, ni kwann sikukuu za kidini ndio ambazo, Gest, Lodge ,Bar zinajaa walevi ngono zembee.
Yaan unafunga mwezi mzima,unakula usiku tu Mara Moja.
Alafu kile kilele Cha mfungo wako, Unaenda kuzinzi na kunywa Pombe??.
Huwa mnafunga au mnamua tu kushinda njaa kubana matumizi?.
Kweli kabisa...sherehe za kutembea yani nyomi kama lote..beach..sijui bustani za picha sijui madisko toto ni sherehe ya Idd inakuwaga na amsha amsha sio ya kitoto..watu wanalipiziaNi vizuri pia, wengi wanatoka kesho j3 ya pasaka kuliko leo. Pasaka ni sherehe ya ndani, kama una familia ndo vizuri zaidi.
Hana baya hahaha...Ila wewe nae ni mwenzetu sana, nakukubali sana mwanangu
Karibu, leo sina mood ya kutoka ila kesho mapema sana nipo kiwanja changu cha nyumbani Haris nyuma ya TRA pale, karibu sana.Waohh
Waohh!
Kumbe tungi imeunganishwa na kingolwira, kweli maendeleo huko sio madogo.
One day nitarudi Morogoro aisee.
Me nakwambia mwanangu, ukizama PM, Game la kimasihara linapigwa hapoHahahahaha kwann mkuu
Sasa ikiwa hili ndio jibu.. kwann mjitese kufungaa Sasa ? Unashinda njaa ukijua mambo ya Dini ni magumu,?.Mambo ya Dini na imani ni magumu sana mkuu
Haswaaah, sahivi nadanga kwa mikoa ya wengine.Maeneo yako ya kudanga ?
[emoji482][emoji482][emoji482]Ila wewe nae ni mwenzetu sana, nakukubali sana mwanangu
Hebu sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me nakwambia mwanangu, ukizama PM, Game la kimasihara linapigwa hapo
Koka kokaaa....Haswaaah, sahivi nadanga kwa mikoa ya wengine.
Hahahahaha huko PM sifiki MkuuMe nakwambia mwanangu, ukizama PM, Game la kimasihara linapigwa hapo
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa dada nisemejee? Yeye si alikua ananiona nadanga, na ukute alikua mteja wangu.Koka kokaaa....
Hapa nyumbani tulimla kondoo toka Vingunguti, na sasa niko hapa Sinza Kamanyola namshushia kwa Whiskey na ndizi choma. Niko na washikaji toka mchana hapa tukiwasubiri vijana wachovu wa Zanzibar watafutao watu wa kuwachapa viboko wakiwa wanafurahia maisha yao ila mpaka mida hii hatujawaona wanapita maana tunataka kuwashikisha adabu mpaka wajute kuzaliwa.Asalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako.
Karibuni.
Kashasahau π uzuri majibu yako huwa hayakeri unamjibu mtu kulingana na alichokiandika hahahah[emoji23][emoji23][emoji23] sasa dada nisemejee? Yeye si alikua ananiona nadanga, na ukute alikua mteja wangu.
Uwiiiiiih
ππ lazima unywe? Em lala hukoSafi, mimi nafata Jameson hapa liquor store, nirudi kuangalia series ya Berlin mpaka usingizi utakapokuja.