Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Zenji hapa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ladwa nampata alikua na kiwanda nadhani cha misumari eneo la misufini barabara ya chuo kikuu cha sua .Sana
Ladwa Anajenga Godown Nyingi Hapa
Hahaha huu uchawi umeanza lini tena kwenye Siku takatifu, yaani chelsea hata mkituombea tufungwe hiyo haiwafanyi ninyi mje top four, tuombeeni mema tu hata kama hamtaki 😂😂Ndani… nawazoom Liverpool, natamani mno yafungwe
😂😂 Chelsea hao siku hizi hata hawanibabaishi. Liva sjui walinifanya nini, siwakubali siku hizi.Hahaha huu uchawi umeanza lini tena kwenye Siku takatifu, yaani chelsea hata mkituombea tufungwe hiyo haiwafanyi ninyi mje top four, tuombeeni mema tu hata kama hamtaki 😂😂
Na fimbo juu😄😄😄😄Nawakaribisha Zanzibar mpate pilau lenye karafuu na mdalasini halisi😆
Loo! Humu watu wachoyo hatualikani sawa bhna 😫Home kwa maza ni kubonya ubweche tu.
Kwa maana hiyo kanisani hujaendaKwa mangi..nalewa toka asubuhi
Usi tishe watu 😂Na fimbo juu😄😄😄😄
Niwe mkweli leo sijaenda maana kulala kwenyewe tu ilikua leo saa 12 asubuhi..Church kusingeendekaKwa maana hiyo kanisani hujaenda
Sawa, nikutakie Pasaka njemaNiwe mkweli leo sijaenda maana kulala kwenyewe tu ilikua leo saa 12 asubuhi..Church kusingeendeka
Karibu tumalizie pasakaSawa, nikutakie Pasaka njema
Mimi nasubiri mwaliko tuNimeshiba pilau nazurura JF toka saa 7 mchana...
Haha mpk muda huu hujapata jamaniMimi nasubiri mwaliko tuha
Karibu tule ugaliNiko hapa hapa jf nasubiri mwaliko kutoka kwa mdogo wangu Saint Anne
Mdogo wangu nakukumbusha tu Idd ni baada ya Wiki tuKaribu tule ugali