Pasaka unailia kiwanja gani?

Pasaka unailia kiwanja gani?

Hahaha huu uchawi umeanza lini tena kwenye Siku takatifu, yaani chelsea hata mkituombea tufungwe hiyo haiwafanyi ninyi mje top four, tuombeeni mema tu hata kama hamtaki 😂😂
😂😂 Chelsea hao siku hizi hata hawanibabaishi. Liva sjui walinifanya nini, siwakubali siku hizi.

Mema nawaombea Man city. Forever Blue, ni dark/ light cha muhimu ni Blue.
 
Back
Top Bottom