Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Yohana ni mataga? Mimi mataga siwajui.Ila hata aje vipi atatulia tu.
Habari kama hizi kwa nini msijadili na wavuta bhangi huko vijiweni?Wewe unajifanya humjui kiongozi wa CCM anyevuta bangi na kugawa vyeo kwa vimada wake wengi hawana sifa zaidi ya kumvulia nguo
alipewa stress na yule mke wake aliekimbilia Marekani?Namuona Pascal Mayala anarudi katika maisha ya kawaida, Huyo Jmaa aliwahi kuishi katika maisha ya stress za kimapenzi kwa mda sana, kupenda ni kubaya.
Mkuu, Mayalla kakukosea nini kiasi cha kumtusi kiasi hiki?Huyo ni mbwa tu msaka vyeo tu..... Anyways sasa anapenda kuukwaa udc yy na musiba baada ya kulamba makalio kipindi kirefu
Pascal Mayalla wokovu unamjia taratibu
HahaaaaahaaaahaaaKwani alilewa akiwa bungeni kama Dr Kitwanga?
ANGEKUA ANALEWA NA KIRA BATA NA VIMADA KAMA USEMAVYO NAZANI LE MUTUZ MEDIA LINGEMUANIKA LIVEKuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Ushahidi wa wabunge (CCM) kujadili maisha binafsi upo hadharani.Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Yakiletwa mambo ya maisha binafsi ya viongozi wakubwa wa Umma waliopo mrengo wako,utasema maisha binafsi yameingiliwa.Kiongozi wa umma maisha yako yanamulikwa popote ulipo. Bungeni au uraiani. Ndio maadili ya viongozi yanatakiwa kuwa hivyo.
Kama wanalewa na kufanya ya hovyo yanatakiwa yaletwe ili washughulikiwe. Umesahau mkuu wa nchi alishagusia juu ya walevi?Yakiletwa mambo ya maisha binafsi ya viongozi wakubwa wa Umma waliopo mrengo wako,utasema maisha binafsi yameingiliwa.
Sikuwahi kudhani Kapuku Pascal ana sekretari hapa jf , maana hata akizungumzia chooni lazima ulete habari zake ! hongera pasco kwa kuwa na katibu muhtasi ndani ya ofisi ndogoNi katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.
Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.
Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.
Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.
Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.
Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa........ Sugu anastaafu ubunge utarudi kuuza cocoa kajunjumele!Sikuwahi kudhani Kapuku Pascal ana sekretari hapa jf , maana hata akizungumzia chooni lazima ulete habari zake ! hongera pasco kwa kuwa na katibu muhtasi ndani ya ofisi ndogo
umepewa za uso unaleta uzushi ! pascal kutwa kucha yuko jf , kisa cha kuleta mambo yake wakati mwenyewe yupo ni kipi , au hii nayo ni ID yake ?Hahahaaaa........ Sugu anastaafu ubunge utarudi kuuza cocoa kajunjumele!
Kama ni mbunge wangu mtarajiwa pale Kibamba kwanini nisilete taarifa zake?umepewa za uso unaleta uzushi ! pascal kutwa kucha yuko jf , kisa cha kuleta mambo yake wakati mwenyewe yupo ni kipi , au hii nayo ni ID yake ?
Kwa taarifa yako na wengine wa Kariba yako ni kuwa, Mbowe kawa maarufu Mara dufu na amejadiliwa kuliko bajeti ya serikali! Hii maana yake ni kuwa watanzania wamelidharau bunge pamoja na mijadala yao juu ya bajeti na wamewapuuza mno! Huu ni uchambuzi na mtazamo wa kisomi na ninyi msiojua kupima hoja na perception za watu hamtagundua jinsi baadhi ya viongozi wa ccm mnaodhani wapo pamoja na mwenyekiti kumbe wanampiga na kumharibia kisayansi! Endeleeni kumjaza sifa huku Mbowe akiibuka shujaa wa mioyo ya watanzania!Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Mambo ya ajabu kusema mambo binafsi ya mtu badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifaNi katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.
Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.
Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.
Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.
Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.
Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Spika ni mzigo mkubwa sana.Taswira ya ishu ya Mbowe inaonesha namna Bunge lilivyo sheheni mautopolo wa kifikra, very absurd for Tanzania image, we need revised criteria for someone to qualify to contest for an MP seat. Do we really need to become rebels to reform the way we run our issues in TZ? Many of those MPs are womenizers why such nuisance with Mbowe private life?, I can really assume God punishing some of them to death before October,2020. Let's join hands for Mbowe regardless of our political affiliation, let's win smart and wisely. Our Mps portrayal is sowing pandemic for Tanzania.
Kule ni sehemu rahisi ya interview kuonekana ili kupata teuzi.Kwahiyo kiongozi wa umma akilewa anajadiliwa bungeni!!
Kumsema vibaya mpinzani ni kujiongezea cv za uteuzi na usajili upya kumbuka hii ni lala salama cv muhimu.Mambo ya ajabu kusema mambo binafsi ya mtu badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifa