Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Kila akikumbuka aliko Sugu mikono inatetemeka anashindwa kuandika!
 
1.5trilion inatisha ndyo mana kina sugu wapo ndani kisa nikuwanyamazisha nakuwaogopesha wengne wasipaze sauti zao
 
pascal Mayalla...hii ndio sababu inayopelekeaga "lile gazeti unalosemaga kuwa linamtukana Jiwe "" Liwe linaona umuhimu wa kufanya vile ijapokuwa huwa unaona kuwa hawatendi vyema "" nadhani ukirejea toka huko "" utakuwa unakubaliana na hiki nilichokwambia ..nakile wanacho kiwasilisha wale waandishi wa lile gazeti ""
 
Mwisho wa ugomvi wa Mwalimu na Mwanafunzi ilikuwaje? Nitashukuru ukimalizia

Baadaye mwl. alishauriwa na kamati ya nidhamu kuwa wote (yeye na mwanafunzi) walikuwa na makosa. Kwamba hata kama mwanafunzi alikuwa na makosa, angemwadhibu kwa taratibu zilizowekwa kisheria. Pia nahisi walimu wenzake watakuwa walimsaidia kufundisha kwa approach tofauti na ile ya awali maana lesson derivery ili improve sana.

Lakini pia mwanafunzi aliombwa amuombe msamaha mwalimu ili asijisikie vibaya, kitu ambacho mwanafunzi alifanya na maisha yakaendelea.

Funzo kubwa la mi kuandika hivi, ni ile nukuu ya Headmaster. Viongozi wetu hawataki kuoneshwa kule wasipoona. Wanafikiri vyeo vyao ni vya milele. Ndiyo maana wanakuwa na viburi vya kunyayasa, kukejeli na kudharau wenzao!
 
Yaani bunge limekosa kazi? Mbona jana Bashite kawazodoa wabunge waliokosoa kampeni yake ya umbeya na hawajamfanya chochote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…