Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020

Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020

Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Mkuu Zawadi Ngoda, kiukweli jf ni kubwa sana!, huwezi amini, huu uzi ndio nauona leo!. Thanks, I feel honored!.
Na kuhusu Samia, sio uzi huu tuu pekee nilimzungumzia,
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Samia nilianza nae 2010 kwenye uzi huu
Ndipo nikaja hapa
Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.

Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?.

Paskali
Pia hapa
Nilimzungumzia Samia

Ni katika kunikumbusha tuu, hotuba ya Rais Samia UN, imezidi kudhihirisha I was dam right nilipoyasema haya!.

P
 
Huyu Pascal Mayalla nimjuzi
Sana isipokuwa Utawala wa the late was iron rule
Mkuu Haya_Land, Its true, ulikuwa ni utawala wa mkono wa chuma, ila pia sio tuu umetunyoosha, bali pia umetufunza nidhamu ya matumizi, hakuna tena kushinda viti virefu, wala mlolongo au foleni za mpango kando!, tumerejea kwenye zéro graizing!. Tumenyooka, sasa tunaiheshimu pesa!, hivyo JPM ashukuriwe na apumzike kwa amani.

P
 
Na mm nakumbuka comrade Pascal Mayalla ndio alikuwa mwandishi wa kwanza pale nyumba nyeupe kuulizia katiba mpya kipindi mpendwa wetu jpm ana anza urais wake...sasa sijui safari hii ata semaje kama mm ata iitisha mikutano na mediaz
Mkuu luangalila , asante kukumbushia
P
 
Pia ndio alieleta uzi humu mwaka 2014 unaozungumzia kuwa raisi wa awamu ya 5 mwaka 2015 anaweza kuwa Magufuli. Na kweli baada ya uchaguzi Magufuli ndio alikuja kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwahiyo ni kweli jamaa ana maono
Mkuu Dudumizi, asante kukumbushia
P
 
Pascal Mayalla yule jamaa ni kichwa sana, sijui ni nini kilimtokea. Ni kati ya watu wachache ninao waheshimu kwa namna ya pekee humu JF.
Ana maono sana.
Mkuu Consigliere , asante kuniaminia na kuniheshimu, naomba uendelee kuniaminia vile vile, Pasco ni yule yule ila anabadilika kutokana na wakati, zama na mazingira.

P
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Mwamba Pascal Mayalla yupo vizuri. humu JF nimemsoma toka 2011 huko na kabla ya hapo nilimfuatilia kwenye vipindi vyake "live" kwenye runinga. Jamaa anajua. Anatafiti Kwa kina kabla hajajaza wino kwenye karatasi.

Hongera sana mkuu Pascal Mayalla . Shikilia hapo tu!
 
Mkuu Zawadi Ngoda, kiukweli jf ni kubwa sana!, huwezi amini, huu uzi ndio nauona leo!. Thanks, I feel honored!.
Na kuhusu Samia, sio uzi huu tuu pekee nilimzungumzia,
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Samia nilianza nae 2010 kwenye uzi huu
Ndipo nikaja hapa

Pia hapa
Nilimzungumzia Samia

Ni katika kunikumbusha tuu, hotuba ya Rais Samia UN, imezidi kudhihirisha I was dam right nilipoyasema haya!.

P
Pasco unapendaga sifa za kijinga kuna watu walitabiri mapema kabisa kuwa JPM ndio atakua rais 2015 angalia hii thread
 
Mkuu Dudumizi, asante kukumbushia
P
Mkuu ukweli lazima usemwe bila kujali wale watakaoumizwa na ukweli huu.
 
Mkuu ukweli lazima usemwe bila kujali wale watakaoumizwa na ukweli huu.
Mkuu Mr Dudumizi , I'd like to differ, sio kila ukweli ni lazima usemwe, ukweli mwingine ni ukweli mchungu wa hatari, ukisemwa badala ya kujenga, unabomoa!. Ukweli ambao ni lazima usemwe ni ule ukweli ambao ukisemwa utasaidia. Hivyo kabla ya kuusema ukweli wowote, unaufanyia objectivity test kwa kujiuliza, jee ukweli huu ukisemwa utasaidia?, utayajenga au utabomoa na kuharibu?. Je ukweli huo una maslahi kwa taifa au majanga?. Baada ya kupata majibu hayo, unajifanyia self censorship na kumua au kusema au kunyamaza na kupotezea!.

P
 
Mkuu Mr Dudumizi , I'd like to differ, sio kila ukweli ni lazima usemwe, ukweli mwingine ni ukweli mchungu wa hatari, ukisemwa badala ya kujenga, unabomoa!. Ukweli ambao ni lazima usemwe ni ule ukweli ambao ukisemwa utasaidia. Hivyo kabla ya kuusema ukweli wowote, unaufanyia objectivity test kwa kujiuliza, jee ukweli huu ukisemwa utasaidia?, utayajenga au utabomoa na kuharibu?. Je ukweli huo una maslahi kwa taifa au majanga?. Baada ya kupata majibu hayo, unajifanyia self censorship na kumua au kusema au kunyamaza na kupotezea!.

P
Nimekupata vizuri mkuu Pascal Mayalla, na pia shukran kwa elimu iliyonipa mkuu.
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Huyo ni mhusika mmojawapo katika kilichotokea aombe Mungu huko mbeleni atayasema tu yaliyokuwa gizani; usipumbazwe na mabandiko yake anayoyaleta kimafumbo mara Karma is a bitch nk. Watu wanataarifa nyingi tu ambazo ndizo zitamaliza mchezo wa shina la njama ovu.
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Duh na wewe kumbe ni mnafiki! Sikujua Hilo. Ulimsifu Sana jpm kuwa ni masihi mpaka ukaunga juhudi, Sasa unajiweka Tena kwa Mana akuone. Hivi huiamnj kabisa kuwa unaweza kuishi bila kulamba lamba watu?
Karibu mitaa hii.
P
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
The guy is fantastic

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom